Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
π π π Nishakuzoea wewe hakuna nzuri kwa dogo...Siyo mzuri hivyo kama unavyotaka kutuaminisha[emoji1787]
He's supposed to be much better than that.Brighton[emoji2402]
Everton[emoji2402]
Toulouse [emoji460]οΈ[emoji2402]
Nottingham Forest [emoji460]οΈ
Bournemouth [emoji460]οΈ
@Darwinβs last five matches [emoji122]
Should we say more ? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Captain Marvelous huyu Miss Liverpool ana Chuki zake binafsi na Nunez
Nasikia alicheza mechi mbili sijui mojaMimi sijawahi kumuona kabisa, labda nika Google now
Kuna watu humu walikuwa wanamtukana Fabinho eti ni Mzito lakini Alisa prove wrong na alikuwa ni Mkata Umeme tegemeo ππ π π Nishakuzoea wewe hakuna nzuri kwa dogo...
YNWA
Niache bwanaπ π π Nishakuzoea wewe hakuna nzuri kwa dogo...
YNWA
π π π He doesn't score tap ins huyu hua zile goli exceptionalBwana bwana wee
Let us agree to disagree
Aluta continua,,dislike ziendelee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi atakapojua kufunga vizuri.
Sisi tunamuombea memaπ π π He doesn't score tap ins huyu hua zile goli exceptional
Mashabiki wanavyopenda wanampa shangwe hata akiwa benchi yaaani ni full ma singo yake...
Wewe kaa na, ma HB wako hukoo mkitegemea dogo avuruge uingie humu mazima.. Well kaa kwa kutulia
YNWA
I tell you man. Fabinho was dissed balaa lakini he took time bila kua na like for like na we got to fainali 2 Uefa, EPL 1 losing 2 by a whisker, Carabao na FA n CS, Super Cup n Club world cup.. Bila Fabinho tusingepata hata robo ya hayo mafanikio... Ndio Klopp alivurugwa dogo kusepa..Kuna watu humu walikuwa wanamtukana Fabinho eti ni Mzito lakini Alisa prove wrong na alikuwa ni Mkata Umeme tegemeo π
Watch marudio Liverpool vs Newcastle jibu utapata.Sisi tunamuombea mema
Ila hatishi kama mnavyotaka kutuaminishaπ€£
Exceptional goals?lolπ€£
Can u please give us the difference btn an exceptional goal and normal oneπ
Acheni kumlinganisha Fabinho na vitu vya ajabuπ€£I tell you man. Fabinho was dissed balaa lakini he took time bila kua na like for like na we got to fainali 2 Uefa, EPL 1 losing 2 by a whisker, Carabao na FA n CS, Super Cup n Club world cup.. Bila Fabinho tusingepata hata robo ya hayo mafanikio... Ndio Klopp alivurugwa dogo kusepa..
Nunez is heading there.
YNWA
Kwahiyo Bobby umesimamia ukucha mechi moja tu kisa aliscore pekeyake goal zoteπππWatch marudio Liverpool vs Newcastle jibu utapata.
YNWA
Nimerudi kuangalia.Watch marudio Liverpool vs Newcastle jibu utapata.
YNWA
Kwa hio akifunga Salah tunapata pointi 4 ila akifunga Captain Chaos tunapata pointi 3....kwamba wale mashabiki wote wanaokomaa na dogo hata akiwa benchi songi lake linapanda na vipofu au namna gani...Nimerudi kuangalia.
Bao zote mbili alifunga kwa style moja
Hata asingescore yeye,salah alikuwa ameshafika tayari kwa kumalizia.
Well ,aliperform vizuri ila haya ndo magoli exceptional?π€£
In Nunez I Trust Hahaha wewe tulia na Matip wako oooh Domy haha unataka hao softi softi doing things easy way wakati dogo Nunez yeye does things th mannish wayπ π π π¨π¨πKwahiyo Bobby umesimamia ukucha mechi moja tu kisa aliscore pekeyake goal zoteπππ
Acha kusoma na papara... Soma vyema comment.. Ipo hivi Fabinho alivyo join Liverpool alionekana flop hata Klopp hakumpa direct starting berth gradually alikua introduced kwa timu mpaka pale Klopp was double sure Fabinho was ready to conquer n th rest is history.. Same route ya Fabinho ndio hio hio ya Captain Chaos.. New League, new food, new language, new team mate, new formation but now hata ana salimia kwa kingereza wakati mwanzoni ilikua Allison, Fabinho au Thiago ndio wamsaidie dogo... Wewe ishi kwa kopi tu dogo taa ishawaka...Acheni kumlinganisha Fabinho na vitu vya ajabuπ€£
Nani huyo mwenye kengeza la mpira alikuwa anamtukana Fabinho?π
Fabinho havumi lakini yupo,,yaani Silent Killer ...na Ile style yake ya kushangilia akiscore.
Kiufupi roho inaniuma sana Fabinho kuondoka mapema hivi
Hivi ulikuwepo Liverpool enzi za akina Benteke, Lambert, Baloteli, Aspas, Andy Carrol, Downing, Reira nk nk kama ulikuwepo enzi hizo utajua utofauti sana wa Nunez na hao hapo.. Klopp yupo relaxed anajua talent ipo mdogo mdogo he will come aroundHe's supposed to be much better than that.
A chance is there and we want him to deliver more than that.
He's good though...ila kama akifanikiwa kuwa vile mimi natamani nimuone basi hizo records mnazoweka ni ndogo sana.
ongezea na hawa: Fabio Borini,Andriy voronin,David Ngong, Sinama Pongolle na Antonio Nunez.Hivi ulikuwepo Liverpool enzi za akina Benteke, Lambert, Baloteli, Aspas, Andy Carrol, Downing, Reira nk nk kama ulikuwepo enzi hizo utajua utofauti sana wa Nunez na hao hapo.. Klopp yupo relaxed anajua talent ipo mdogo mdogo he will come around
YNWA
You are trying to compare Nunez with other playersπ.Nunez is nunez and not someone else lolπHivi ulikuwepo Liverpool enzi za akina Benteke, Lambert, Baloteli, Aspas, Andy Carrol, Downing, Reira nk nk kama ulikuwepo enzi hizo utajua utofauti sana wa Nunez na hao hapo.. Klopp yupo relaxed anajua talent ipo mdogo mdogo he will come around
YNWA
π π π π Hakuwai kucheza EPL i guess alicheza Champions League ugenini Napoli dakika 13 tu na baada ya hapo alikua benchi mechi 5 hivi 2023 bila kupewa dakika msimu ulivyoisha akasepa zake kwa sasa yupo kwa mkopo Fiortena Italia.Hivi huyu wajina wa kaka yetu Boss Maxence Melo
Alicheza mechi ipi na ipi!?
Mi nimesahau hata sura yake inafananiaje[emoji23]
π π π π Let's the numbers do the talking... Haya maneno maneno utaishia kuyakana that i can foresee hivyo wewe ishi kwa kum diss dogo kama vipi mpigie babu Kyela afanye jambo kama la Henderson uone babu atakavyotoka duki kukujuza hii ngumu sana kutoka ndio kwanza kafika.You are trying to compare Nunez with other playersπ.Nunez is nunez and not someone else lolπ
Each one has his own uniqueness
The eras are also not the same..at the moment it is time for new professional footballπ€
Don't measure the quality of Nunez by the weakness of past players years agoππ