The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,168
- 10,184
Liverpool Reloaded ipo kwenye move tayari ni muda tu mambo yatakaa sawa.
YNWA
Lets go for Andre in January
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liverpool Reloaded ipo kwenye move tayari ni muda tu mambo yatakaa sawa.
YNWA
Ilikua intense game kwa kua hali ya hewa haikua powa kabisaaa. Kikosi kilikua well balanced huku tukitoka salama bila majeruhi wapya wala kadi.. Changamoto ni ile kucheza kutokea nyuma bado ni tatizo kubwa sana aisee especially kwa Kipa Kelleher. Mengine ni ya kawaida tu.
Tsimikas hakika amejipanga kuchukua namba ya Robbo azidishe tu bidii kwenye ma assist
YNWA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mpaka pale utakaposema salute Nunez ndio tutakwenda sawaa....
YNWA
Under Klopp sky is the limit.
YNWA
We are bit lucky kwa Matip na Gomez kutoumia kwa pamoja mpaka sasa. Konate well not that lucky. Hata bila kuwatoa its risky ku compete makombe yote ma nne na hao jamaa aisee maana Quansah kwa sasa lazima kuwe na game management kali yasije kumkuta ya Bajectic, Gomez kwa sasa namuona zaidi akiwa RB huku CBs wakiwa ni VVD, Konate, Matip na home boy Quansah, well kama Klopp akipata target kwa bei powa anunue tu kwa kweli maana gemu zimekua nyingi sana yaaani Europa, Carabao, EPL, FA na za kimataifa hivyo kikosi lazima kiwe kipana with quality over quantity.
YNWA
Wakati mwingine bhana unajiuliza hivi wale ilikua usajili ama PR ya Yankees kutuzuga mashabiki... Hivi Melo likua winter ama summer? I guess summer.
YNWA
Hivi huyu wajina wa kaka yetu Boss Maxence Melo
Alicheza mechi ipi na ipi!?
Mi nimesahau hata sura yake inafananiaje[emoji23]
Brighton[emoji2402]
Everton[emoji2402]
Toulouse [emoji460]️[emoji2402]
Nottingham Forest [emoji460]️
Bournemouth [emoji460]️
@Darwin’s last five matches [emoji122]
Should we say more ? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Captain Marvelous huyu Miss Liverpool ana Chuki zake binafsi na Nunez
André on Liverpool’s interest:
“I follow the games a bit and I know that Klopp’s work is exceptional. Without a doubt, he is a great coach, very intelligent and successful.
View attachment 2803634
Kipande cha mtu.
Tuweke kitita tusubiri makombe.
Nasikia alicheza mechi mbili sijui moja
Hata Mimi sikuziona[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] He doesn't score tap ins huyu hua zile goli exceptional
Mashabiki wanavyopenda wanampa shangwe hata akiwa benchi yaaani ni full ma singo yake...
Wewe kaa na, ma HB wako hukoo mkitegemea dogo avuruge uingie humu mazima.. Well kaa kwa kutulia
YNWA
Lavia sijawai kumuelewa sasa sijui ni elimu yangu ndogo ya mpira.Kabisa halafu jamaa sio hela kubwa. Bora ku risk £19M kuliko biashara ya kusajili injury prone Lavia kwa £50M
Nunez is a special kid, amazing person anasema Klopp.. Well tunaanza kuona why Klopp ambae si muumini wa kununua wachezaji ghali ali sanction hii dili lifanyike..Na hili ndilo huwa lanivutia hasaaaa..!!! Nunez Nunez Nunez,. Akiingia ni assits au Goli.
I like how Salah anampa mipande.
At Liverpool we support our own regardless of th form, they are pampered na singo huku wakipata ma hug kama yote kutoka kwa Klopp na ndio maana even when th going get tough Klopp always stand wit th players its kind off huona juhudi zao mazoezini na jitihada uwanjani namna vijana wanavyopambana aisee...Nunez atamkomesha tu..!!! Dawa yake huyu ni kumuandama tu kila Nunez akihusika kwenye Goli.
Ila Nunez nae asituvungue nguo tu, maana hakawi saaaana.
So far ame improve compare na last season. Nachokipenda ni ile ari ya Kops wanavyo muimba atleast anaona kumbe naweza kumbe i have supporters regardless of what im going tbrough..!!! He will rock it
😂 😂 😂 😂 😂 Ni PR ya FSG... Same case na Kabak.. Hakuna kingine kabisa ajabu wote mkopo ndio utaona ni danganya za matajiri.Alikuja summer. Yule hakuwa hata kwenye mpango wa Klopp. Ule usajili sijawahi kuuelewa mpaka leo.
Hincaple naona ni moto sana almost all transfer gossip site wanamhisha kutua Anfield kwa kweli aje..Yeah..!!! Kinachofurahisha Klopp anajua Konate he is not strong when it comes to injury. So i expect coming summer LCB atakuja Anfield file kubwa lipo kwa Piero Hincapie wa Leverkusen, na October hapo wakala wake alithibitisha mazungumzo bado yanaendelea ili atue summer ijayo. Huyu jamaa ni CB and LB
Kwa hiyo unaona kabisa, Klopp is willing kuchukua LCB wa aina yake. Na huenda ikawa even January
Thiago bhana sijui huu ushauri wa kutua EPL alimpa nani... Hii ligi sio ya Indian biscuits bones anahitaji hard core players... Kimsingi huu usajili ni hasara kubwa.. Amfuate Messi huko Miami.Sure, pale ni tupate DM. Najua coming summer Thiago atasepa hii ni sure 100% huo mshahara apewe Andre 150k nyingine tutafute RB tukamchukue Cash na TAA aingie MF moja kwa moja..!!!
😂 😂 😂 Imagine apo pale mbele ukitegemea pasi kisu kutoka kwa Henderson au Milner aaa not coming kabisa lakini sasa timu ina super harmony mdogo mdogo guys are getting kuelewana na taa imewaka..Huyu sio doubt tena, Gari limewaka,. Alikuja wakati usio sahihi.
Ujue kuna muda timu inakuwa vibaya kiasi mambo mabaya yanawaandama tu. Zile penalty za Salah kukosa wakati muhimu. Injuries za ajabu tu, missed chances za kutosha.
But this season they will greet him in the name of DARWIN NUNEZ…!!!