Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yaani hii timu Salah akija kuondoka nitalia sana
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Adika kabisa insha ya miss za dogo Nunez haha mie na Klopp we say its all cool he will get there one day full consistency.
He is the sure bet minus the costly misses...

YNWA
 
Mambo ya Captain Chaos hayooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Captain Marvelous njoo uchukue mdogo wako πŸ˜‚
Yaaani hatushindi mnajificha nyuma ya Nunez eee kwani pale mbele anacheza mwenyewe mwenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Uwe na utulivu dogo utapata presha ujue hii Liverpool haitaki hayo aisee i dissed Henderson since ananunuliwa na Sir Kenny Dalglish mwaka 2011 lakini hakuwai kunitoa povu kama hili lako kwa Nunez πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nilijua ipo siku ataodoka tu 1 day well i waited almost mwaka 2014 i guess Rodgers almost alimuuza dili likaingia mitini hivi hivi so akabaki mpaka Stev G alivyosikia kilio chetu akaona atupe early Xmas present na kumtoa mapema Anfield... Sasa ningekua na presha kw kua Henderson anapangwa mbona hata timu ningehama alivyo cheza powa i supported him na alivyokua bum most of the times i cursed th day he joined Liverpool matukio ni mengi sana ila kwa lile ugenini Chelsea msimu ule wa 2021 2022 alituuza na Milner tukatoka sare n guess what Kipara akapata ubingwa kwa pointi 1..hivyo Miss Liverpool uwe na utulivu Nunez is here to stay ndio kwanza ana 24 umri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚povu mpaka atue 30 haha utakonda sana dogo...

Chill huu mchezo hautaki hasira πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

YNWA
 
Mpira umetua mguuni
Yupo na kipa, hawezi funga


Tutaangaliaje kichwa Cha Salah walaki Bwana mdogo aliyepewa mpira mguuni yupo na kipa na anabutua tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Alipewa ile sio pasi bhana ni ajali kazini ukatua kwa Nunez lakini Nunez being Nunez akafanya yake aaa hata Klopp pale hakuvumiliia maneno yalimtoka ndio nature ya kazi ile.. U miss some u score some, Nunez is super miss target guy but th good thing he ain't giving up he is there working really hard to perfect his trade well when that is achieved anajua mwenyewe na bidii zake.. Kote alikocheza haya yalimkuta lakini taa ilivyo waka haikuzima tena... Am banking on that same as Klopp...

YNWA
 
Angalau sasa umekiri udhaifu wake
Kwahiyo dogo siyo mwamba ila anapambana awe mwamba.


Haya sasa Bobby, tuendelee kumsapoti awe mwamba kama Salah na akubali kujifunza kwa waliomtangulia.
 
Akikosea lazima tumseme tu
Alifanya vizuri tutampomgeza.


Mbona ile mechi aliyoscore pekeyake goli zote tulimsifia humu na tukasema ametuokoa.

Basi akikosea lazima tumchambue tu.

Kukonda atakonda yeye πŸ˜‚
Vichambo si mchezo
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Adika kabisa insha ya miss za dogo Nunez haha mie na Klopp we say its all cool he will get there one day full consistency.
He is the sure bet minus the costly misses...

YNWA
Akikosa tena hatutaacha kumsemaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na akizidi kukosa hasara ni kwake maana pale mbele ushindani ni mkubwa.

Gakpo, Jota, Diaz wote wapo... Achilia mbali Salah ambaye ana umiliki wa namba...
Kazi kwake.
 
Angalau sasa umekiri udhaifu wake
Kwahiyo dogo siyo mwamba ila anapambana awe mwamba.


Haya sasa Bobby, tuendelee kumsapoti awe mwamba kama Salah na akubali kujifunza kwa waliomtangulia.
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Alway hua nawa sapoti wachezaji wetu wakifanya powa na wakiharibu nasema ila kuniambia Nunez ni flop hilo hapana aisee...

Good enough ni jukwaa hili kila mmoja na maoni na mtazamo wake..

Nunez kwangu naona ni real talent kazi kwa Klopp na jopo lake ku unlock this beast ku shine day in week in week out isiwe one game yumo next game hayumo tunahitaji consistency tu kutoka kwake na uwezo anao nia anayo kuwazoma akina Miss Liverpool na sababu ipo so kazi kwako dogo kusubiri azidi kuharibu utue hapa mazima.

YNWA
 
Sijasema ni flop
Nimesema awe makini maana namba pale mbele ina competition sana..akizidi kuzingua basi atakuwa anaanza benchi.
 
Akikosa tena hatutaacha kumsemaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na akizidi kukosa hasara ni kwake maana pale mbele ushindani ni mkubwa.

Gakpo, Jota, Diaz wote wapo... Achilia mbali Salah ambaye ana umiliki wa namba...
Kazi kwake.
Ebu panga kikosi chako cha next game EPL nione.

YNWA
 
Ebu panga kikosi chako cha next game EPL nione.

YNWA
LolπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwanza shkamoo Bobby πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hatujasalimiana brother.


Napangaje Kikosi na sijui chochote
Sina utaalam wowote, mie nachojua ni kelele za shangwe tu 🀣🀣🀣
Mie Kikosi chochote mwisho wa siku tushinde tu.
 
Akiondoka Salah tumekwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…