Huyu dogo atuvumilie tu
Walioondoka hizo nafasi walikuwa vyuma
Lawama tutampa tu hadi aache kukosa super open chances
Attacker ambaye alikuja na ku-set his mark straight-away alikuwa ni Salah tu.
Mane, had to wait misimu miwili kufikia mark ya 20 goals, na katika misimu yote 7 aliyokuwepo LFC, alifikisha goals 20 (22 to be precise) katika msimu mmoja tu 2018/19, and that was his best scoring season.
Firmino hajawahi kufunga goals 20 per season kwenye PL, kuna msimu he had only 5 goals kwenye 20 outings (2021/2022), his highest scoring tally kwenye league kwenye league ilikuwa ni 15 goals in 2017/18, 2019/20 & 2020/2021 Firmino alifunga goals 9, 9 tu katika 35+ outings, and he was our out & out number 9, na hii misimu hakuwa na injuries zozote, because you can excuse his numbers msimu wa 21/22 kwasababu ya injuries, but misimu mingine? NO, so mlikuwa wapi kum-bash Firmino? number 9 aliyekuwa anasifika zaidi kwenye his defensive work kuliko kufunga goals? mbona mlikuwa hamsemi waliotoka nyuma yake walikuwa hatari? (Suarez, Torres etc?) when Firmino was recording low numbers of goals kila msimu, hakukuwa na fans waliokuwa wanam-bash humu, kwasababu kile alichokuwa anafanya uwanjani kilikuwa kinaonekana, umuhimu wake na how he kept & glued our attacking trio was magical.
Now, Nunez anafunga, assist, press, defend, etc (Salah & Jota ni wanufaika wakubwa sana wa Nunez runs/pressing work msimu huu), but akikosa 1 big chance, tunataka tuje ku-score points humu? how many big chances Mane alikuwa anakosa? achana na Firmino/Salah, Mane alikuwa alikuwa ana-record BCMs ngapi kwa msimu? kulikuwa kuna haja ya kushupaza vichwa? unataka ST ambaye ha-miss big chances? utampata wapi? LFC fans back then wasingekuwa patient na kina Torres & Suarez wasingefika kwenye level walizofika.