Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ntaroga watu aisee😆😆😆
Yaani ntaroga hadi Salah abaki
Turudi Kwa Babu😂

Hata Salah hataki ligi za matopeni uarabuni huko. Nani atamuangaliq?
FSG ni wafanya biashara am double sure bila Klopp kukomaa Summer 2023 kwamba Salah hauzwi kabisa wale FSG wangekumbali ofa aise.

Wewe komaa kwa babu mwenyewe atakujuza aaa this decided long time boy is leaving ni suala la nani aje akisepa huyu King...

Its a matter of when...

YNWA
 
Haondoki aisee

Hizi habari za kuondoka Salah zinanipa kizunguzungu... Tuachane nazo tu[emoji1787]
 
Haondoki aisee

Hizi habari za kuondoka Salah zinanipa kizunguzungu... Tuachane nazo tu[emoji1787]
Hahaha mapema uanze kuzoea next season may be he ain't be there....

Its a crazy world of transfers u never know what's next miss Liverpool... Be calm for enjoy his goals as they come🙏🙏🙏🙏👍👍👍

YNWA
 
Hahaha mapema uanze kuzoea next season may be he ain't be there....

Its a crazy world of transfers u never know what's next miss Liverpool... Be calm for enjoy his goals as they come🙏🙏🙏🙏👍👍👍

YNWA
Kwa kweli niacheni
Itakuwa pigo sana kwangu🤣🤣🤣🤣

Ile moment Bobby anaaga
Kila nikiiona nalia😂
Na huwa wanarusha LFC TV
Yaani inaumiza sana.

Wasije Fanya tukazimia bure🤣
 
Hii moment jana nilipiga goti😂😂
Kwa mara nyingine nilimuombea chelsea sana jamani chaaah🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • IMG-20231112-WA0042.jpg
    346 KB · Views: 3
Trent,The most handsome boy in our team[emoji3590]
Ila Trent ni mzuri jamani.


Goal rush nilikuwa naangalia goals za Trent...Dogo goli zooote anafungia mbaali[emoji91]
Halafu mnasema eti auzwe!
Tafakarini upya
 
Yaani draw ya Chelsea jana kwa goli 4 zile nimwifurahia kuliko hata ushindi wetu.


Naelekea kuwa mwanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…