Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mi nasubiri hilo lolote litokeeIkifika summer, atakuwa kabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba.
So, either a-sign mkataba mpya au auzwe, Club haiwezi kumruhusu a-run down his contract wakati kuna offer ya £200m mezani.
He will be 32, so any new contract offer, lazima iwe big, because it will be his last big payday, and as i've said, ni ngumu kwa FSG ku-offer mkataba atakaotaka Salah, hence the only viable option iliyopo sasa ni kumuuza.
Yes, anything can happen in football.
Basi mbembelezeni tu taratibu apende mnapompangaIt doesnt work like that.
Basi mbembelezeni tu taratibu apende mnapompanga
Don't be too harsh to him🥺
Hii ni ya Trent Mkuu😂Its on FSG and the Club and Salah himself.
We are just fans.
Jamani😂
You think its a good thing kwa your only senior RB kusema hivyo?Jamani😂
Ni vibaya yeye kutamani kucheza kama Midfielders?
Role yake atafutwe pia mtu mwingine wa kurotate naye.You think its a good thing kwa your only senior RB kusema hivyo?
Klopp was so wrong kumpa U-Vice captain.
Eti heavy weed smokers😂😂, nimechekaTrent, Elliott & Jones ni heavy weed smokers.
Think the weed is starting to take its toll on Trent.
We are slowly losing him.
Asipokuwa makini, atapoteana kama Dele Alli.
Dah😂😂😂😂Think the weed is starting to take its toll on Trent.
Unamzungumziaje Jones?ame up his game au nae auzwe??Trent, Elliott & Jones ni heavy weed smokers.
Think the weed is starting to take its toll on Trent.
We are slowly losing him.
Asipokuwa makini, atapoteana kama Dele Alli.
ThubutuuuuUsiwe mwanga bhana. Wewe ni shabiki mtiifu wa liverpool na Chelsea