Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mungu awalinde aisee
Inaumiza sana
 
Wewe huoni tofauti?
Trent atasogea kati

Haya Nunez kufunga anashindwa
Atacheza wapi?
Tumpe ubeki akazuie na akina VVD?


Kwahiyo bobby,
Kisa kina Torres waliflop Chelsea,basi tumuache mwamba aendelee kugonga miambani?😂
 
Bwana yupo vizuri [emoji23]
Kwani nyie hamjaona mipira aliyookoa?

Hata yeye anajua kuwa ni mwamba
Namkubali sana dogo [emoji91]

[emoji81] uliona save-able goals alizofungwa vs Fulham lkn? Nafikiri Kelleher amepungua ubora. Anahitaji mechi ya mikiki kiki akiichomoa atapata confidence na atarejea walau kwenye ubora.
 

Two seasons za Klopp za mwanzo Liverpool alikandwa fainali 3

FA
CL
UEL

watu wakasema he is not a Champion manager, sio mwamba wa makombe hasa zihusuzo fainali. Watu wakasahau hizo fainali tu tulizisikia redioni hata CL ushiriki wake kwa mashaka matupu. Akavumiliwa na sasa kila mtu anajivunia.

Hii scenario kama ya Nunez this dude will become a monster soon.
 

Jamaa ana bahati mbaya sana, akifikia kwenye kiwango bora linamkuta jeraha.

Season is over kwake
 

No, hizi ni two different scenarios! Klopp alipoteza fainali hizo kwasasababu ya kukosa quality ya Wachezaji, kumbuka tunacheza Fainali ya Europa tukiwa tunategemea wachezaji aina ya Ibe, Kolo Toure, Sakho, Clying, Mignolet etc.
Tunacheza Fainali ya UCL tukiwa tunategemea wachezaji aina ya Lovren, Karius, Milner, Lallana etc.

Hivyo kama wana same scenario you mean Nunez naye amekosa quality?
 
[emoji81] uliona save-able goals alizofungwa vs Fulham lkn? Nafikiri Kelleher amepungua ubora. Anahitaji mechi ya mikiki kiki akiichomoa atapata confidence na atarejea walau kwenye ubora.
Sasa anakuwaje na ubora mnaotaka wakati hapewi muda wa kutosha

Kwani Allison huwa hafungwi magoli yenye uwezekano wa kuokoa?
Kuna magoli mengi tu anafungwa Allison hadi unawaza angekuwa pale Kelleher angeokoa.
 
Klopp said he will turn doubters to believers and i can see same scenario kwa dogo Nunez.

Klopp proved em wrong big time wote waliomdiss hawezi kuchukua makombe na kikosi chake cha kuungaunga walikaa kimya kwa kua hakuna kikombe ngazi ya klabu hajachukua... Pep mpaka sasa na ubora wake hawana CWC na hio UCL amesubiri miaka 7 ndio kushinda pamoja na ubora wa kikosi miaka na miaka lakin they fell short...

Nunez is just a matter of when not if.

YNWA
 
Niliwaambia mwaka huu pep anacheza ndomboro
Ona sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Alishawaambia timu ikifungwa tuwe pamoja pia
Hakuna picha wataacha ona
Pep muache kama alivo, point 6 tuu, chache Sana, mwaka Jana zilifika 8 Hadi januari na akabeba
 
Mchezaji kuwa na mechi mbaya hiyo ni kawaida, ila inapofika week by week unagongesha miamba chance za wazi au kupaisha, hiyo sio kawaida tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…