Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii ishu ya Cruciate ligament tear imekua tatizo kubwa sana mpaka kwa soka la wanawake kiasi wameamua kuunda kikosi kutazama upya shinda inaanza wapi na namna bora kuishughulikia.

Matip anahitaji subira sana...

Tangu ametua Liverpool amekosa gemu 129 kutokana na majeruhi hivyo utaona pamoja na ubora wake hua ni mwepesi wa kuumia maana gemu 129 aisee nyingi sana tangu ametua July 2016.

YNWA
Mungu awalinde aisee
Inaumiza sana
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Bla bla haziodoi ukweli kwamba just may be just may be some slim chances zao ambazo walikua a bit greedy zilifanye tukose ubingwa...

Wewe komaaaa na Nunez mpaka msimu uishe n just may be his crucial goals n assist will win the league high on points won on club level Liverpool...

Kuna tofauti gani hapa Miss Liverpool... Nunez kazi yake kufunga lakin sasa anatoa ma assist kwa wengine wafunge aidha last pass ama second last pass na hili la Trent ambae by trade ni Right Back lakin hilo limeshinda ametu cost makombe kama UEFA Champions League nk nk lakin Trent huyo huyo akicheza kati AM ametuletea pointi muhimu haswa...

Trent can't defend yet he cracks up crackers just when we need him most ... Nunez can't score yet he pulls crazy stuff when needed most..

YNWA
Wewe huoni tofauti?
Trent atasogea kati

Haya Nunez kufunga anashindwa
Atacheza wapi?
Tumpe ubeki akazuie na akina VVD?


Kwahiyo bobby,
Kisa kina Torres waliflop Chelsea,basi tumuache mwamba aendelee kugonga miambani?😂
 
Bwana yupo vizuri [emoji23]
Kwani nyie hamjaona mipira aliyookoa?

Hata yeye anajua kuwa ni mwamba
Namkubali sana dogo [emoji91]

[emoji81] uliona save-able goals alizofungwa vs Fulham lkn? Nafikiri Kelleher amepungua ubora. Anahitaji mechi ya mikiki kiki akiichomoa atapata confidence na atarejea walau kwenye ubora.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Naheshimu sana view zako juu ya Nunez na members wengine wote wanaoona mapungufu yake kwa sasa after all wote tunahitaji pointi 3 muhimu zipatikane na ushindi kusogea kunyanyua kwapa...

Kwangu any day of the week Nunez is 1st team starter as he brings lots of dynamics to the team regardless Klopp mara amtupe LW boy is there doing whats he does best.. Fighting spirit is next level... Kosakosa zake hazimshushi morali n that whts defines potential quality players

YNWA

Two seasons za Klopp za mwanzo Liverpool alikandwa fainali 3

FA
CL
UEL

watu wakasema he is not a Champion manager, sio mwamba wa makombe hasa zihusuzo fainali. Watu wakasahau hizo fainali tu tulizisikia redioni hata CL ushiriki wake kwa mashaka matupu. Akavumiliwa na sasa kila mtu anajivunia.

Hii scenario kama ya Nunez this dude will become a monster soon.
 
Hii ishu ya Cruciate ligament tear imekua tatizo kubwa sana mpaka kwa soka la wanawake kiasi wameamua kuunda kikosi kutazama upya shinda inaanza wapi na namna bora kuishughulikia.

Matip anahitaji subira sana...

Tangu ametua Liverpool amekosa gemu 129 kutokana na majeruhi hivyo utaona pamoja na ubora wake hua ni mwepesi wa kuumia maana gemu 129 aisee nyingi sana tangu ametua July 2016.

YNWA

Jamaa ana bahati mbaya sana, akifikia kwenye kiwango bora linamkuta jeraha.

Season is over kwake
 
Two seasons za Klopp za mwanzo Liverpool alikandwa fainali 3

FA
CL
UEL

watu wakasema he is not a Champion manager, sio mwamba wa makombe hasa zihusuzo fainali. Watu wakasahau hizo fainali tu tulizisikia redioni hata CL ushiriki wake kwa mashaka matupu. Akavumiliwa na sasa kila mtu anajivunia.

Hii scenario kama ya Nunez this dude will become a monster soon.

No, hizi ni two different scenarios! Klopp alipoteza fainali hizo kwasasababu ya kukosa quality ya Wachezaji, kumbuka tunacheza Fainali ya Europa tukiwa tunategemea wachezaji aina ya Ibe, Kolo Toure, Sakho, Clying, Mignolet etc.
Tunacheza Fainali ya UCL tukiwa tunategemea wachezaji aina ya Lovren, Karius, Milner, Lallana etc.

Hivyo kama wana same scenario you mean Nunez naye amekosa quality?
 
[emoji81] uliona save-able goals alizofungwa vs Fulham lkn? Nafikiri Kelleher amepungua ubora. Anahitaji mechi ya mikiki kiki akiichomoa atapata confidence na atarejea walau kwenye ubora.
Sasa anakuwaje na ubora mnaotaka wakati hapewi muda wa kutosha

Kwani Allison huwa hafungwi magoli yenye uwezekano wa kuokoa?
Kuna magoli mengi tu anafungwa Allison hadi unawaza angekuwa pale Kelleher angeokoa.
 
Two seasons za Klopp za mwanzo Liverpool alikandwa fainali 3

FA
CL
UEL

watu wakasema he is not a Champion manager, sio mwamba wa makombe hasa zihusuzo fainali. Watu wakasahau hizo fainali tu tulizisikia redioni hata CL ushiriki wake kwa mashaka matupu. Akavumiliwa na sasa kila mtu anajivunia.

Hii scenario kama ya Nunez this dude will become a monster soon.
Klopp said he will turn doubters to believers and i can see same scenario kwa dogo Nunez.

Klopp proved em wrong big time wote waliomdiss hawezi kuchukua makombe na kikosi chake cha kuungaunga walikaa kimya kwa kua hakuna kikombe ngazi ya klabu hajachukua... Pep mpaka sasa na ubora wake hawana CWC na hio UCL amesubiri miaka 7 ndio kushinda pamoja na ubora wa kikosi miaka na miaka lakin they fell short...

Nunez is just a matter of when not if.

YNWA
 
Niliwaambia mwaka huu pep anacheza ndomboro
Ona sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Alishawaambia timu ikifungwa tuwe pamoja pia
Hakuna picha wataacha ona
Pep muache kama alivo, point 6 tuu, chache Sana, mwaka Jana zilifika 8 Hadi januari na akabeba
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Naheshimu sana view zako juu ya Nunez na members wengine wote wanaoona mapungufu yake kwa sasa after all wote tunahitaji pointi 3 muhimu zipatikane na ushindi kusogea kunyanyua kwapa...

Kwangu any day of the week Nunez is 1st team starter as he brings lots of dynamics to the team regardless Klopp mara amtupe LW boy is there doing whats he does best.. Fighting spirit is next level... Kosakosa zake hazimshushi morali n that whts defines potential quality players

YNWA
Mchezaji kuwa na mechi mbaya hiyo ni kawaida, ila inapofika week by week unagongesha miamba chance za wazi au kupaisha, hiyo sio kawaida tena
 
Back
Top Bottom