Liverpool leo mnatembelea "choke" hali c nzuri. Wapi RRONDO? Tufike mahali tukubali kuwa timu ni mbovu.
hahaha hata goli moja ya kusingizia
kuna thread ile ya kubet,wazee wa kubet,akaja jamaa moja akasema anaweka laki liverpool wanashinda,nikamwambia ila wapo ugenini usibet kwa mapenzi au hisia,akabisha madhara kaliwa na kakiriMkuu yani hii Timu majanga tu.... Lkn mimi niliwaambia kua safari hii top four hawaioni.....!
Khe Khe Khe Khe Khe tulichoka na kelele zao Mara BR kocha mzuri Mara sijui nani lkn leo kimyaaaaaaa.
Khe Khe Khe Khe........!
ufungwe na na new castle uje ufunge chelsea,piga magoti sali miujiza yatokee
kuna thread ile ya kubet,wazee wa kubet,akaja jamaa moja akasema anaweka laki liverpool wanashinda,nikamwambia ila wapo ugenini usibet kwa mapenzi au hisia,akabisha madhara kaliwa na kakiri
hawa sikuwaogopa niliwaogopa man city,nikaja kuhakiki waliyocheza za roma,ska moscow,bayern,yote draw,hawana kitu,sasa ndo liverpool watufunge?BR Uko alipo sasaivi Ana mawazo sn kwasababu game ya Leo alipaswa asipoteze. Sasa akiangalia tarehe 8 anakutana na chelsea na ukumbuke msimu uliopita tulimuharibia mbio zake za kuwania ubingwa na alivyo BR Hana akili atapania kumfunga Mourinho ili atuharibie au alipize kisasi.... Hapo ndio atapigwa vibaya...!
presha kibao but ur just a loser.CUNTS wamevamia Thread!!
hawa sikuwaogopa niliwaogopa man city,nikaja kuhakiki waliyocheza za roma,ska moscow,bayern,yote draw,hawana kitu,sasa ndo liverpool watufunge?
ongea kwa mifano na tafsida watu watazimia kaka,zungukia points ikiwa clear nomaWakati Sisi tukiwa ktk mteremko wa game yetu ya UCL na Marbor huku tukiwa tunaongoza kundi letu, loserfool watakua na Kz pevu siku ya j4 kwa kuwavaa Madrid ugenini... Hii itaongeza idadi za kupoteza Michezo kwa loserfool. Maana mpk Sasa ktk UCL wamecheza Michezo mitatu na kushinda mmoja na kufungwa miwili...!
Komaeni na Madrid kwanza then mje mkutane Na Kisiki tarehe 8.....,!
Khe Khe Khe Khe loser..!
We need to suck Rodgers
ongea kwa mifano na tafsida watu watazimia kaka,zungukia points ikiwa clear noma
presha kibao but ur just a loser.
Tumeitwa CUNTS mkuu.
Ngoja tupige story mkuu kwa uwazi.
Leo Newcastle kawagonga hawa loser
J4 Madrid anawagonga hawa loser
Terehe 8 Chelsea anawagonga hawa loser...!
Wiki ya msiba na majonzi kwa Loserfool.... Khe Khe Khe Khe Khe Khe
Cc: Malafyale
Khe Khe Khe Khe nani atarithi hiyo mikoba km wachezaji wakubwa Mmeshindwa kununua ndio mtaweza kuchukua makocha wakubwa????
Tumeitwa CUNTS mkuu.
Ngoja tupige story mkuu kwa uwazi.
Leo Newcastle kawagonga hawa loser
J4 Madrid anawagonga hawa loser
Terehe 8 Chelsea anawagonga hawa loser...!
Hakuna matumaini ya kufuzu ktk hii hatua ya makundi ktk UCL.
Ktk EPL matumaini ya kua top four yamepotea......!
Na ktk capital one tukikutana na wewe iwe Nusu fainal au fainal jua huna chako.....
Wiki ya msiba na majonzi kwa Loserfool.... Khe Khe Khe Khe Khe Khe
Cc: Malafyale
So????