Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

MosDef my braza, umejaribu kujieleza sana, tukubaliane kutokubaliana kwamba liverpool ni homa za mara kwa mara. Inacheza vizuri leo kesho wanakuwa na game mbovu. Siwezi kuwalaumu kwa game ya jana. Jana Arsenal walikuwa bora kuliko sisi kila idara.
Mimi nachokiona, na kinachonifanya nilaumu ni aina ya uchezaji wa timu yetu. Back line yetu +goalkeeper ndio wachezaji wanaokuwa na touches nyingi kuliko midfilder wetu pale kati. Hii tafsiri yake ni kwamba tunakuwa na tahadhari sana na tunachukua mda mrefu kucheza kwenye half yetu badala ya kwenda kushambulia.
ANgalia Jinsi Brighton wanavyocheza , waone Arsenal, Villa na city. Ni tofauti kabisa na sisi. Wale jamaa wana cheza mpira wa kushambulia. Wakati sisi mashambulizi yetu mengi lazima mpira uanze kwa long ball. Zile one two kwa liverpool hazipo.
VIlla kwa sasa ni serious tittle contender kuliko sisi. Tukubaliane, kutokubaliana. Klopp naye anamapungufu. Wakati mwingine sio lazima kuanza na Salah, Mbona Elliott ni mzuri akicheza pembeni.? Ana ile akili ya kushambulia. Anauwezo sawa kabisa na Salah. Ila Klopp hamwamini. Ndio maana anampa dk chache ambazo anaonyesha mambo mazuri.

Nimalize kwa kusema, liverpoll inashindaga game zake hata kama wamecheza vibaya. Hii inawafanya waonekane wana bahati zaidi kuliko uwezo walionao.
 
Tupo tunacheckia mechi milimani huku Mwakaleli Tukuyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbwembwe nyingine siyo shida zetu.


Arse8 kombe hampati,mnaenda kupoteana .Hamna timu ya kuchukua ubingwa.

Liver imejaa majeruhi na bado mmeshindwa kuchukua points 3,sasa subiri timu irejee katika ubora.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afcon kwani Saliba haendi?bila Saliba mna beki ?
 
But we lost more clear chances jana kuliko wao

Utulivu sio mzuri

Kuhusu defense, statistically we have the best defense (together with Asses)

Sijui kwanini tunajikatia tamaa
 
GOMEZ, JONES
Hawatakiwi kuvaa jezi la LFC.
Crap for Gomez amekua hana position ya utulivu na msimu huu yupo CBR, RB, LB na kote kwa uwezo wake amepambana awezavyo.
Tsimikas ni jehara la muda mrefu hivyo tunae Gomez pale mpaka arejee Robbo huko January au February.

Jones ni one game wonder next game flop.. Inconsistent at highest level ku maintain his out put.

YNWA
 
But we lost more clear chances jana kuliko wao

Utulivu sio mzuri

Kuhusu defense, statistically we have the best defense (together with Asses)

Sijui kwanini tunajikatia tamaa
Hata mimi nimeshangaa, ni kweli hatukuanza vizuri kama dakika 20 hivi lakini baada ya hapo kuna muda tulikuwa tuko sawa ikaja muda tukawa zaidi yao, kipindi cha pili dakika 30 tuliwapiga pressure dakika 15 za mwisho game ikawa open pande mbili, game ilikuwa super kwa team zote. Sasa turudi kwenye mapungufu yetu, tunahitaji Midfield hatuna watu wakaa pale tukasema kuna watu, wachezaji waliopo sio wa baya ila wanaweza kuwa squard member lakini mechi kubwa unahitaji vifaa. Waliopo hakuna mtu kupiga pass za uchokozi kama pass aliyopiga Arnold kwa Mo ya goal ila ruler. Ukiangalia team nzima inategemea pass za Arnold sio viungo.
 
Luis anazunguka zunguka tu uwanjani [emoji1787][emoji1787][emoji1787], sema sikuizi hamna ule mpira wa kasi kama kipindi cha nyuma. Wachezaji sikuizi ni wala Chipsi na wapiga punyeto tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dogo tangu apone lile jeraha la goti na atekwe babake Colombia kuna kama kukata stimu pale sielewi ishu ni zile au nini aisee ana goli 1 katika mechi 15 EPL hii sio sawa kabisa.....

YNWA
 
Hivi hawa wagonjwa Wanarudi lini?
Yaani hii timu wakiumia watu wachache tu tumekwisha
 
Kwanini nowadays tunapocheza na top six teams ...hatuko fearless kama zamani?...tunakuwa a bit nervous hivi?

Nakumbuka first rebuild tulipomfunga Man city 4-1. ...city alichukua ubingwa but alipoteza mechi hiyo moja tu na Liverpool....timu ilikuwa ina Tisha Tisha Sana tukicheza na top six teams kuliko sasa...what happened?
 
Kama umeanza ku accept Arsenal wachukue title...?
 
Kwingine kote umeandika vizuri sana Mkuu,ila hapo kwa Salah umetupiga.


Yaani timu yetu ilivyo,Salah aanzie benchi?
Wangekuwepo akina Firmino,Mane, na Jota,,angalau unaweza sema aanze benchi ili watoto akina Elliot wajichanganye na wakongwe.

Salah pekeyake ni mkongwe aliyebaki, na ana consistency halafu tumuanzishe tena benchi!

Hata lile goli moja la Draw tungelisikia na hatimaye aseno wangevunja rekodi ya kutufunga waliyostruggle karibia miaka 20.
 
Linear thinking in football is always funny

Last season asses were super confident and ended up with nothing,

But they never learn
 
We missed severa clear chances jana and they were very exposed kwenye fast brrak

Asses are lucky
 
Kwani malalamiko ya nini, mbona mie naona liver ndio mmeupiga mwingi nasi ndio tulikuwa tunaombea mpira uishe, mlichokosa nyinyi ni matokeo tu, umaliziaji haukuwa sawa, game ilibidi iishe hata 3 kwa moja ile.
 
Defensive action amefanya vizuri, ila katika kujenga mashambulizi anapoteza poteza mipira since game ya United, ile ndio ilokua worse game yake zaidi, labda tusubiri Macca apone tuone position yake itakavyokua
 
So, Diaz amekuwa useless overnight?

Ukiniuliza, why nataka kumuuza Diaz, nitakwambia why?

Wewe, una sababu gani ya kumkataa Diaz?

Tujadili.
Diaz anacheza position yake ile ile ya asili( swala la kubadilishiwa position hapa sio excuse)

Hawezi ku drible past defenders

Hafungi

Hatoi assist

Ni mzuri kidogo kwenye kukabia juu

Passing accuracy yake ipo chini

Maana yake huyu mchezaji ni wa kiwango cha kawaida kuliko hata Nunez
 
Mkuu united yenyewe ilikuja worst of the worst tukashindwa hata kufunga goli

Hii timu tunaipa expectation ambayo haipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…