Ubingwa tuushindwe wenyewe tu. Arsenal Ana mechi kama 3 za kupigwa huko mbele. City hakosi hata mechi 2 za vipigo huko mbele ingawa kdb karudi. Na Hakuna ambaye wamechukua epl akiwa kafungwa mechi 5 kwa msimu.
Arsenal ashalamba nyasi mara 4 tayari
City mara 3
Liverpool mara 1 tena kimagumashi pale kwa Tottenham.
Tukaze kidogo tu.... Ingawa salah anapoondoka AFCON na Ile winger isipate mtu WA kuichangamsha tutapata shida.
LABDA atamuamini Elliot..... Au yule dogo doak
Fabio Carvalho amerejea Liverpool akitokea RB Leipzig kwa mkopo. Mshambuliaji huyo anarejea tena Liverpool baada ya kutumia kipindi cha kwanza cha 2023-24 akiwa kwenye ligi ya Bundesliga na kucheza mechi 15 akiwa na Die Roten Bullen, ambao alikuwa amejiunga nao kwa mkataba wa msimu mzima.
Happy New Year Captain marvelous and all Liverpool fans
Una point. Lakini kwa ishu ya pesa kwa Arsenal hapana. Rice aliyegombewa hadi na City Arsenal wametoa £105m wakamchukua. Kina Jesus walitoa 57m, kina ben white 50m, Haverts 50m.
Kama hiyo haitoshi Arsenal yupo top three ya timu zenye wage bills kubwa
United.
City.
Arsenal.
Chelsea.
Liverpool.
Ishu ya pesa kwa Arsenal sio kweli ni sababu kuu. Binafsi sio kama Arteta ana cha kuwapa Arsenal, miaka mitano lkn hajaonesha dominance kwa ukubwa aliofanya Pep na Klopp. Ni kama project imekataa after five years.
Arsenal wanakosa right players kufit kwa Arteta. Kuna shida kwenye Scouting na nafikiri bado ile uwengernism unawasumbua. Kikosi hiki cha Arsenal apewe Klopp atakufanyia maajabu. Atleast Arteta should had taken EPL last season.
Muda upo nafasi ipo tusubiri tuone things might change
Agree to disagreeWe need him for sure. Endo Salah international duty.
Having Thiago is a big addition
Happy New Year Numbisa and to all Manchester United fans may the year 2024 bring back the good times back at Trafford.Happy New Year Captain marvelous and all Liverpool fans
Mkuu Thiago kipaji chake MF might be the best we have kikosini lakini ukitazama uchezaji wetu kwa sasa tumesha evolve new boys to new playing style mzee hakuna kupoza mpira like Thiago style ni one two touches mbele kwa mbele....Yes.!! Uwepo wa Thiago sio lazima atupe 70’ per game ila uwepo wake uwanja kuna quality kubwa sana. Huyu akiingia mnaongoza mbili au tatu utaenjoy mpira
Happy new year 2024🎊🎊Happy New Year Captain marvelous and all Liverpool fans
Endo gone so tutabaki na Domy, Jones na Macca probably double pivot DM... FSG wasipoingia sokoni naona kipara akinyanyua kwapa tena.. We have been here before Jones aint winning us the EPL, to win the EPL elite DM is a must maana he provides solid cover kwa defence na extra cover kwa Trent when he goes higher up the pitch we all know Fabinho when on song provided that with so much success...Hapo tu kumwaacha Dommy na Macca huru ndio napawazia. Kuwabana defensively ni kuwapunguza ubora wao. Give them proper DM na waachwe huru tutakuwa hatari. So far Endo na Jones wamesaidia defence vizuri bahati mbaya Endo anaondoka kwenda mashindano ya Asian Cup wakati kiwango kimekubali. Macca atacheza as 6 bado, labda tusajili DM (by surprise)
Klopp has never been blessed akiwa Liverpool kua na like for like quality sub so ame mix top quality(Fabinho) with medium quality(Henderson) he has won n won n won n won meaning he is a good teacher pamoja na jopo lake....Suala la kuomba tusiwe na majeruhi wa muda mrefu tu. Sub msimu huu zimetunufaisha kutokana na depth na quality sio kubwa but atleast inaonekana unlike last season.
2018/19 mlifungwa mechi 1 tu msimu mzima na hamkuchukua kombe, mechi za kufungwa zisikupumbaze.Ubingwa tuushindwe wenyewe tu. Arsenal Ana mechi kama 3 za kupigwa huko mbele. City hakosi hata mechi 2 za vipigo huko mbele ingawa kdb karudi. Na Hakuna ambaye wamechukua epl akiwa kafungwa mechi 5 kwa msimu.
Arsenal ashalamba nyasi mara 4 tayari
City mara 3
Liverpool mara 1 tena kimagumashi pale kwa Tottenham.
Tukaze kidogo tu.... Ingawa salah anapoondoka AFCON na Ile winger isipate mtu WA kuichangamsha tutapata shida.
LABDA atamuamini Elliot..... Au yule dogo doak
Hujaelewa2018/19 mlifungwa mechi 1 tu msimu mzima na hamkuchukua kombe, mechi za kufungwa zisikupumbaze.
Sio mbayaLiverpool naona wanataka kumsajili winger wa crystal palace Michael olise
Kuheshimu watu ni kitu cha bureNyie matakataka musimu huu ndio mutakuwa makubwa jinga ya musimu.
Nyie matakataka musimu huu ndio mutakuwa makubwa jinga ya musimu.