Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ubingwa tuushindwe wenyewe tu. Arsenal Ana mechi kama 3 za kupigwa huko mbele. City hakosi hata mechi 2 za vipigo huko mbele ingawa kdb karudi. Na Hakuna ambaye wamechukua epl akiwa kafungwa mechi 5 kwa msimu.
Arsenal ashalamba nyasi mara 4 tayari
City mara 3
Liverpool mara 1 tena kimagumashi pale kwa Tottenham.
Tukaze kidogo tu.... Ingawa salah anapoondoka AFCON na Ile winger isipate mtu WA kuichangamsha tutapata shida.
LABDA atamuamini Elliot..... Au yule dogo doak

Doak injury,
 
Fabio Carvalho amerejea Liverpool akitokea RB Leipzig kwa mkopo. Mshambuliaji huyo anarejea tena Liverpool baada ya kutumia kipindi cha kwanza cha 2023-24 akiwa kwenye ligi ya Bundesliga na kucheza mechi 15 akiwa na Die Roten Bullen, ambao alikuwa amejiunga nao kwa mkataba wa msimu mzima.

Huenda akatolewa kwa mkopo tena. It seems Klopp anamuhitaji (pengine)
 
Una point. Lakini kwa ishu ya pesa kwa Arsenal hapana. Rice aliyegombewa hadi na City Arsenal wametoa £105m wakamchukua. Kina Jesus walitoa 57m, kina ben white 50m, Haverts 50m.

Kama hiyo haitoshi Arsenal yupo top three ya timu zenye wage bills kubwa

United.
City.
Arsenal.
Chelsea.
Liverpool.

Ishu ya pesa kwa Arsenal sio kweli ni sababu kuu. Binafsi sio kama Arteta ana cha kuwapa Arsenal, miaka mitano lkn hajaonesha dominance kwa ukubwa aliofanya Pep na Klopp. Ni kama project imekataa after five years.

Arsenal wanakosa right players kufit kwa Arteta. Kuna shida kwenye Scouting na nafikiri bado ile uwengernism unawasumbua. Kikosi hiki cha Arsenal apewe Klopp atakufanyia maajabu. Atleast Arteta should had taken EPL last season.

Muda upo nafasi ipo tusubiri tuone things might change

Mfano ni Rice, hao Jesus na Kai ni bei za kawaida Sokoni kwa sasa kwa average Players. Hapa ndiyo umekuja kucomfirm kuwa Arsenal hawapo vizuri kwenye usajili ndiyomana wanaokota average Players kama hao uliowataja.

Kusajili mchezaji mmoja kwa bei kubwa ni kawaida kwani hata sisi wakati huo tukiwa mafukara tulimsajili Andy Carroll kwa £35M iliyokuwa rekodi kwa bei za wakati huo.

Hivyo Arsenal kumsajili Rice kwa installation ni kawaida sana.

Arteta anawekewa hela mezani lakini asajili wachezaji wa kwa mafungu ndiyomana huishia kukimbilia kwa hao kina Jesus, anapokanyaga Manchester, Chelsea na Man City yeye anaishia kukimbia, hujaona tatizo? Akipewa £200M atatakiwa asajili wachezaji 7, lakini Wenzake wanawekewa £150M kwa wachezaji 2 tu, hapo nani mwenye Bajeti ya uhakika?

Wampe hela Arteta isiyo na masharti ya kusajili World Class Players au hata average ya kina Diego Jota au Luis Diaz au Szobo uone kama atashikika.

Lakini kwa kumpa Hela za masharti za kusajili rejects kama kina Jesus na Kai basi wasitarajie maajabu.
 
Yes.!! Uwepo wa Thiago sio lazima atupe 70’ per game ila uwepo wake uwanja kuna quality kubwa sana. Huyu akiingia mnaongoza mbili au tatu utaenjoy mpira
Mkuu Thiago kipaji chake MF might be the best we have kikosini lakini ukitazama uchezaji wetu kwa sasa tumesha evolve new boys to new playing style mzee hakuna kupoza mpira like Thiago style ni one two touches mbele kwa mbele....
Unless Klopp alter the way we are playing now sioni how he will fit with this speedsters boys...
The more he hold the ball the more pressure he creates for us and the more tackles he will get na mwisho unajua nini kitatokea...
If he can raise his game iwe less take ons nk nk man he is very much welcome lakin kama ni yule yule aisee hapana apoe kwanza tuweke gap ya kutosha kileleni.

YNWA
 
Hapo tu kumwaacha Dommy na Macca huru ndio napawazia. Kuwabana defensively ni kuwapunguza ubora wao. Give them proper DM na waachwe huru tutakuwa hatari. So far Endo na Jones wamesaidia defence vizuri bahati mbaya Endo anaondoka kwenda mashindano ya Asian Cup wakati kiwango kimekubali. Macca atacheza as 6 bado, labda tusajili DM (by surprise)
Endo gone so tutabaki na Domy, Jones na Macca probably double pivot DM... FSG wasipoingia sokoni naona kipara akinyanyua kwapa tena.. We have been here before Jones aint winning us the EPL, to win the EPL elite DM is a must maana he provides solid cover kwa defence na extra cover kwa Trent when he goes higher up the pitch we all know Fabinho when on song provided that with so much success...
Mzunguko wa pili utakua survival of the fittest elimination of th weakest hivyo there is no margin for error if we are serious thinking of winning the EPL..

So no in January Salah, No Endo, No Robertson well that tooo much quality we are losing man, Klopp has to be smart asiwachekee ma Yankees tumeshaona Kipara kikosi kimepwaya hivyo ni wakati wa kumkimbiza haswa wasipate kumpumzika..
Umeona how slight off the pass can change games tazama Arsena losing twice hiv hivi hii ndio EPL bhana haina huruma

YNWA
 
Suala la kuomba tusiwe na majeruhi wa muda mrefu tu. Sub msimu huu zimetunufaisha kutokana na depth na quality sio kubwa but atleast inaonekana unlike last season.
Klopp has never been blessed akiwa Liverpool kua na like for like quality sub so ame mix top quality(Fabinho) with medium quality(Henderson) he has won n won n won n won meaning he is a good teacher pamoja na jopo lake....
Whats we need most at Liverpool ni maintaining the football basics and courage rest will come... That why Klopp can make Robbo best LB in EPL kwa kumnunua tu bei chee lakin akampa shule kwa kutumiwa what's the boy is blessed with. Quality subs will cost a million man n FSG won't sanction that.

Kikubwa msimu huu hakuna anaenuna kubaki benchi especial hawa madogo wameelewa mapema kila dakika kuvaa uzi huu should count that why we see th highest harmony, cohesion in the team... Kutokua Champions League this term pia kumewapa elimu kwamba team work is the key.

YNWA
 
Ubingwa tuushindwe wenyewe tu. Arsenal Ana mechi kama 3 za kupigwa huko mbele. City hakosi hata mechi 2 za vipigo huko mbele ingawa kdb karudi. Na Hakuna ambaye wamechukua epl akiwa kafungwa mechi 5 kwa msimu.
Arsenal ashalamba nyasi mara 4 tayari
City mara 3
Liverpool mara 1 tena kimagumashi pale kwa Tottenham.
Tukaze kidogo tu.... Ingawa salah anapoondoka AFCON na Ile winger isipate mtu WA kuichangamsha tutapata shida.
LABDA atamuamini Elliot..... Au yule dogo doak
2018/19 mlifungwa mechi 1 tu msimu mzima na hamkuchukua kombe, mechi za kufungwa zisikupumbaze.
 
Back
Top Bottom