Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hamtoamini mpka salah arudi kutoka afcon kuku mtakua wa sita na sisi tunawaombea Egyptians wafike hata nusu fainali
 
Livakuku mna false hopes kama wale mazombi wa arteta tu, endeleeni kusafisha chumba wenye nyumba tupo njiani.
Aisee
Kama unajijua timu yako haipo top 2 ,sijadiliani na watu wa timu ndogo.


Ukiona timu yako unaanza kusubiri ishinde Kwa ramli,eti inasubiri Mabingwa wafungwe, ujue hakuna timu ya kubeba kikombe chochote

Akina mama Sita nyie labda mbebe ndoo za kuteka maji ya kunywa, Mabingwa tukiwa tunanyanyua makwapa.
 
Nimeona post moja mwenzako anapiga ramli anatuhesabia mechi za sisi kuja kufungwa 🤣🤣🤣 inaonyesha mlivyo waoga mkikumbuka kipara the mastermind anawapumulia hapo kisogoni na ndo kwanzaa january na sie ligi huwa tunaanza February na gap ni 5 pts kwa msaada wa kiporo...hapo lazma mchanganyikiwe.
 
City, city, city...hawa ndio wapinzani wetu wakubwa kwenye ubingwa. City wanapokupa pressure si sawa na sisi tukiwapa wao pressuure. Kwa maana kwamba wanatulazimisha sisi kushinda game zetu na wao wanashinda zao.
Ukiangalia tuna tofauti ya piont 5 sisi tukiwa pale juu na city wana game 1 mkononi. Wakishinda tofauti itakuwa points 2.
Siku tukitoa sare tu na city wakashinda tunakuwa sawa. Na wao wanakwenda kukaa pale juu. Wallah naapa hatuwezi kuwashusha tena.
NAtamani kuiona liverpool kwenye kiwango walichoonyesha jana kwenye kila game.
 
Nilikuwa nikimlaumu sana Nunez lakini naona niache kumlaumu bali niseme tu Nunez pia hana bahati amepatwa na kama nuksi hivi.
Huenda hii nuksi ikamuondokea akarudi mchezoni.

Nunez is too unlucky aisee. Its not a normal thing. Mchezaji kupata hizo scoring chances every matches ni uwezo mkubwa wa kunusa uelekeo wa mpira.

Hicho kitete kitamtoka he is very young 22, he has room to improve more. No. Zake zinaongezeka positively matter of time he will click. Pasi ya goli aliyotoa ni moja ya improvement katika kuona hard chance ya kufunga na kutoa pasi.

Kama Klopp alivyokata utepe wa kutoshinda fainali, ndivyo Nunez ataukata utepe wa kushindwa kukwamisha mpira wavuni.

I wish him all the best.
 
Natamani kusema tuna defensi dhaifu… Lakini stats zinanizomea. We have leaked the fewest goals

Maybe tuna mido nzuri inatulinda na mabaya. Lakini hata defensi imeimprove

Kuna muda no zinakukatalia uhalisia. Ila aina ya magoli tunayofungwa kila siku mengi tunayatoa kama zawadi tu. Vvd kaongezeka ubora msimu huu kutoka atoke majeruhi yale. Last six match Endo played very well. Na sasa hivi both short and long passes anazipiga vizuri. Amejiamini na ameingia kwenye mfumo.
 

MOTM kwa upande wa Newcastle maoni yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…