Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

🤣 🤣 🤣 🤣 Miss Liverpool bhana aliekwambia Salah ni mhamashishaji vyumbani nani... Au Gomez...
Waliopo ni
Thiago
VVD
Allison
Trent
Robbo

Mwenzio mie ninachotaka kwa Thiago a fit kwenye mfumo na awe fit kama fit kama so far Gomez hilo akiweza wala sina ishu nae kabisaaa.... Kama Henderson alipata big 5 zangu pale alipokipiga powa meaning na wengine ni hivyo hivyo... Hatuhitaji wachezaji mizigo klabuni kwa sasa mbio za ubingwa tunataka kila mmoja ajivunie mchango wake kuvaa medali hio Mei 2024.

YNWA
Captain nasikia hata yule Stewart Downing alikuwa ni Mhamasishaji halafu alikuwa ni Mathematician ni kweli hii ?
 
Im not sure enough ila ni rumours tu. Na sidhani kama hii January tutaspend big maana naona recall ya Fabio Carvalho (MF), Rhys Williams (CB mwokozi 2020/2021), Nat Phillips (CB mwokozi 2020/2021), Owen Beck (LB).

Rhys alikuwa Aberdeen kwa mkopo hajacheza huko, amerudishwa naona atapata mkopo mwingine.

N. Philips bado anazungushwa tu he is 27 ila anachezea mikopo tu, better to sell him.
Owen Beck amerudishwa kutumikia timu.

Ishu ya Olise ni Attacking MF na RW player anapocheza Salah. Deal hili silioni sana likitokea na kama kuna mpango basi Surprise.

Mahitaji ya sasa ya timu ni DM na LCB ambayo Klopp alitafuta platers summer akakosa wa aina anaotaka akaamua kwenda na waliopo na imelipa.

Sijui Klopp kama anaweza any newcormer kwa sasa maana:-

Thiago ameanza full training,

Macca amerejea na last match amecheza,
Bajcetic amerejea japo not full training,

Robbo middle of this month anarejea,

Jones and Gomez are on form,

Ngoja tuone
Huyu Fabio Carvalho atapata nafasi kweli huyu ?Au atakuwa anacheza kwenye mashindano mengine? Carabao, FA ?
 
Jordan Brian Henderson good seasons zilikuwa ni 2014/15 na 2019/20

He had a decent outing in 2013/14, but his 2018/19 season was better than 2013/14

interms of individual growth as a footballer, 2014/15 was his best ever season at LFC.
Mkuu hivi ni mimi tu ndio naona kuwa RICE na HENDO ni kama mtu mmoja??
 
Huyu Nunez hata msemaje, hamna kitu hapo, saiv magoli mengi yanafungwa na midfielder's yeye ni kubutua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngoja tuone
Unaweza kuwa muujiza dogo akatua kwetu.

Aisee kweli tuuite muujiza. Japo kuwa na Salah & Mbappe in one team sio rahisi tena under FSG.

Mbappe jana amesema hana decision ataenda wapi na wameshakubaliana na CEO wa klabu bwana Nasser Al Khelaifi mambo yao. Sasa tusubiri mwisho wa msimu huu atakuwa huru, je watakubali aondoke mchezaji huru? Je ataongeza mkataba PSG? Je, atauzwa january hii?

Tusubiri muujiza wa Mbappe kutua AXA.
 
Sikutegemea kama comment yangu itazalisha jibu la dharau kiasi kile.

Kwa comment zenu nyote mlikuwa kwenye utani. Ila sasa kamusi zenu edition tofauti. Moja kabla ya uhuru na nyingine baada ya uhuru ndio maana mmepishana.

Ila its all right Miss Liverpoolfc. Jamaa hana hizo
 
Huyu Fabio Carvalho atapata nafasi kweli huyu ?Au atakuwa anacheza kwenye mashindano mengine? Carabao, FA ?

Huyu wanamtafutia timu nyingine kwa mkopo ambapo atacheza na kupata game time ya kutosha. Ndio raha ya soka la ulaya timu ikikuhitaji inakuhudumia.

Kule hakupata kabisa game time ya kutosha, kwa kuwa Klopp anasema anamuhitaji klabu imemrudisha kumtafutai changamoto nyingine, ili kukuza ubora wake.
Southampton wanamtaka.
 
Kwa comment zenu nyote mlikuwa kwenye utani. Ila sasa kamusi zenu edition tofauti. Moja kabla ya uhuru na nyingine baada ya uhuru ndio maana mmepishana.

Ila its all right Miss Liverpoolfc. Jamaa hana hizo
Ndio maana nimeapologize na kuweka mambo sawa..kwangu mimi nimeichukulia kama dharau.Heshima ni kitu cha bure.
Wadau ni wengi jukwaani wa kuwaquote.
 
Back
Top Bottom