zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,075
- 9,263
Mnyakyusa ana hasira huyu, looh 😄, Happy New year Madam wetu ,Sikutegemea kama comment yangu itazalisha jibu la dharau kiasi kile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyakyusa ana hasira huyu, looh 😄, Happy New year Madam wetu ,Sikutegemea kama comment yangu itazalisha jibu la dharau kiasi kile.
Easy and breath 😊Sikutegemea kama comment yangu itazalisha jibu la dharau kiasi kile.
Captain nasikia hata yule Stewart Downing alikuwa ni Mhamasishaji halafu alikuwa ni Mathematician ni kweli hii ?🤣 🤣 🤣 🤣 Miss Liverpool bhana aliekwambia Salah ni mhamashishaji vyumbani nani... Au Gomez...
Waliopo ni
Thiago
VVD
Allison
Trent
Robbo
Mwenzio mie ninachotaka kwa Thiago a fit kwenye mfumo na awe fit kama fit kama so far Gomez hilo akiweza wala sina ishu nae kabisaaa.... Kama Henderson alipata big 5 zangu pale alipokipiga powa meaning na wengine ni hivyo hivyo... Hatuhitaji wachezaji mizigo klabuni kwa sasa mbio za ubingwa tunataka kila mmoja ajivunie mchango wake kuvaa medali hio Mei 2024.
YNWA
Huyu Fabio Carvalho atapata nafasi kweli huyu ?Au atakuwa anacheza kwenye mashindano mengine? Carabao, FA ?Im not sure enough ila ni rumours tu. Na sidhani kama hii January tutaspend big maana naona recall ya Fabio Carvalho (MF), Rhys Williams (CB mwokozi 2020/2021), Nat Phillips (CB mwokozi 2020/2021), Owen Beck (LB).
Rhys alikuwa Aberdeen kwa mkopo hajacheza huko, amerudishwa naona atapata mkopo mwingine.
N. Philips bado anazungushwa tu he is 27 ila anachezea mikopo tu, better to sell him.
Owen Beck amerudishwa kutumikia timu.
Ishu ya Olise ni Attacking MF na RW player anapocheza Salah. Deal hili silioni sana likitokea na kama kuna mpango basi Surprise.
Mahitaji ya sasa ya timu ni DM na LCB ambayo Klopp alitafuta platers summer akakosa wa aina anaotaka akaamua kwenda na waliopo na imelipa.
Sijui Klopp kama anaweza any newcormer kwa sasa maana:-
Thiago ameanza full training,
Macca amerejea na last match amecheza,
Bajcetic amerejea japo not full training,
Robbo middle of this month anarejea,
Jones and Gomez are on form,
Ngoja tuone
Happy new year too Mkuu😂Mnyakyusa ana hasira huyu, looh 😄, Happy New year Madam wetu ,
🤣 🤣 🤣 She is the best...Mnyakyusa ana hasira huyu, looh 😄, Happy New year Madam wetu ,
Kaburi litakuwa refu aise.Hahah
Umewaza kama mie. List ninayo nitawakumbusha tu
Mkuu hivi ni mimi tu ndio naona kuwa RICE na HENDO ni kama mtu mmoja??Jordan Brian Henderson good seasons zilikuwa ni 2014/15 na 2019/20
He had a decent outing in 2013/14, but his 2018/19 season was better than 2013/14
interms of individual growth as a footballer, 2014/15 was his best ever season at LFC.
Jones akiacha kukumbatia mpira muda mwingi ni mzuri sana sana.Kuna jinsi Jones anataka kutuaminisha lkn anachelewa.
Kabla ya kusema lolote nimpe hii january to february.
But since his debut i rated him highly.
Walinganisheni wote ila msivuke mpaka wa RODRI.😄😄😄😄Mkuu hivi ni mimi tu ndio naona kuwa RICE na HENDO ni kama mtu mmoja??
Ngoja tuone
Unaweza kuwa muujiza dogo akatua kwetu.
Heshima mbona tunampa sana
Sikutegemea kama comment yangu itazalisha jibu la dharau kiasi kile.
Huyu Fabio Carvalho atapata nafasi kweli huyu ?Au atakuwa anacheza kwenye mashindano mengine? Carabao, FA ?
Kaburi litakuwa refu aise.
Tutafukua tuchoke.
Jones akiacha kukumbatia mpira muda mwingi ni mzuri sana sana.
Ndio maana nimeapologize na kuweka mambo sawa..kwangu mimi nimeichukulia kama dharau.Heshima ni kitu cha bure.Kwa comment zenu nyote mlikuwa kwenye utani. Ila sasa kamusi zenu edition tofauti. Moja kabla ya uhuru na nyingine baada ya uhuru ndio maana mmepishana.
Ila its all right Miss Liverpoolfc. Jamaa hana hizo
Hahah tutunze risiti, wasije kudandia Nunez Airways kwa wakati huo.