Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Utasikia miaka Saba ya laana imeanza😂😂😂Ila akizingua tunamkaanga vizuuuuuri tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasikia miaka Saba ya laana imeanza😂😂😂Ila akizingua tunamkaanga vizuuuuuri tu.
Navuta tu picha mara dogo huyoo akajaAisee kweli tuuite muujiza. Japo kuwa na Salah & Mbappe in one team sio rahisi tena under FSG.
Mbappe jana amesema hana decision ataenda wapi na wameshakubaliana na CEO wa klabu bwana Nasser Al Khelaifi mambo yao. Sasa tusubiri mwisho wa msimu huu atakuwa huru, je watakubali aondoke mchezaji huru? Je ataongeza mkataba PSG? Je, atauzwa january hii?
Tusubiri muujiza wa Mbappe kutua AXA.
😂 😂 😂 😂 Napita kimya kimya... Ila niseme EPL mbio za ubingwa sio za kila mchezaji aisee...Mkuu hivi ni mimi tu ndio naona kuwa RICE na HENDO ni kama mtu mmoja??
Chai ya Miss Liverpool hii hapa.Huyu Nunez hata msemaje, hamna kitu hapo, saiv magoli mengi yanafungwa na midfielder's yeye ni kubutua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu Nunez hata msemaje, hamna kitu hapo, saiv magoli mengi yanafungwa na midfielder's yeye ni kubutua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2861803
Anasema Nunez toshaaa mie nani wa kusema Hapanaaaaaaaa.
Alisema Liverpool bingwa na tukawa bingwa
Amesema Nunez anatosha
Viva Klopp
Viva Nunez..
YNWA
View attachment 2861803
Anasema Nunez toshaaa mie nani wa kusema Hapanaaaaaaaa.
Alisema Liverpool bingwa na tukawa bingwa
Amesema Nunez anatosha
Viva Klopp
Viva Nunez..
YNWA
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Miss Liverpool mara pap ukageuka ukaanza kupenda wafunga nywele na wenye matatoo ukageuka ukawa miss Nunez🔥🤣🤣🤣🤣 ndani ya mwaka huu hili linakuja Hahaha nipo hapa nakuchora.Huyo Nunez ajitahidi tu kubebeka kwenye mbeleko ya Klopp
Asije akaichana tu😂😂😂
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Miss Liverpool soon Miss Nunez 🔥 🤣 🤣 🤣 🤣CC: Saint Anne naona Captain Marvelous anakuprovoke kwa makusudi hapa manake naamini huu ujumbe ni wako
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Miss Liverpool soon Miss Nunez 🔥 🤣 🤣 🤣 🤣
YNWA
Inaonakena hawa ma strika wa Uruguay hua hawa click haraka kama wengine ama namna gani namtazama Forlan na Surez haikua kufika na magoliiiii Hapana iliwachukua misimu kadhaa na mwingine mpaka kuuzwa huko AM.Kuna kitu nimeona kwake atakuja kukuprove wrong amini nakwambia.
Kama uliwahi kuangalia mpira mapema kidogo basi mkumbuke Diego Forlan pale Manchester United alikuwa ni mbovu zaidi ya Nunez akauzwa Atletico kilichofuata hata Liverpool hatumsahau achilia mbali Eto'o na Messi kwenye Ufungaji bora wa Laliga.
🤣 🤣 🤣 Soon anamsaliti Trent ngoja utaona huyu ni wa tatoo kama kweli alikwenda kwa msuka nywele Trent kwa nini asitue kwa tall guy HB namba 9 🤣Ni Miss Trent huyo baada ya kumsaliti Matip.