Ndoto nyingine ni ngumu sana, nimeota game ya leo tunapata matokeo mazuri. Game yenyewe hatuna cha kupoteza inabidi wapigane kiume.
Wachezaji ambao huwa sipendi kuwaona kwenye 1st 11 BR kawa drop, kwa hili kwa matokeo yoyote sitakuwa na excuse hata kidogo.
BR amekubali kupoteza hii game anafikiria game na Chelsea wikiendi ndio maana key players wake wote wako benchi
Mpira nao una maajabu yake mara tumemkalisha Madrid mbele ya Santiago bernabeu......... 😀😀😀😀😀
Kikosi cha pili kinaihenyesha first 11 ya Real
Kimya sana humu
Na aombe ashinde hiyo match, la sivyo........
BR amekubali kupoteza hii game anafikiria game na Chelsea wikiendi ndio maana key players wake wote wako benchi
Acha uongo weye, kimeihenyesha wapi? We huna ata shuti moja langoni mwa adui yako ndio useme umemuhenyesha Madrid?
Nilichokuwa nategemea sicho, bora ningelala tu...BR Hana akili.....! Na hiyo tarehe 8 Tunakuja kumpiga hapo kwake.....!
Nilichokuwa nategemea sicho, bora ningelala tu...
Ni kweli aisee, ningejua ni bora ningetizama wa Arsenal... nilitegemea Madrid wangepiga ball la nguvu, yaani sijui walikuwa wanacheza vitu gani, wameniudhi kinyama...Mpira mzuri ulikua wa Arsenal Lkn huu wa Madrid na LFC ulikua hovyo...!