Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,327
Ndoto nyingine ni ngumu sana, nimeota game ya leo tunapata matokeo mazuri. Game yenyewe hatuna cha kupoteza inabidi wapigane kiume.
Wachezaji ambao huwa sipendi kuwaona kwenye 1st 11 BR kawa drop, kwa hili kwa matokeo yoyote sitakuwa na excuse hata kidogo.
Msimu uliopita Man City walafail kumaliza kileleni mwa kundi kwa sababu ya goal difference tena ya goal 1, wakakutana na Barca na matokeo yanajulikana
BR ni bora angewapanga kina SG, RS, PC kufanya damage limitations, ikitokea ameshindwa kuqualify kwa sababu ya GD, watu watakuja kurefer match hii