Nimekumiss pia Nkamu wanguNimekumiss sana Nkamu wangu jamani mweee
Pacha hajambo?
Nunez lile goli ya mwisho lilikuwa linaenda kugonga mwamba kama kawaida yake,Sema Mungu siyo Athuman mwee🤣😂
Agholosya
Nimekumiss pia Nkamu wangu
Pacha hajambo, anakusalimu.
Nunez anaanza kuwa clinical finisher mbele ya goli sasa, we subiri leo utaona pia lazima atoke na kitu.
Ha ha ha ha ha!!!!!
Jukwaa la Man united... Chief Mkwawa alikuwa best kwenye uchambuzi...siku hizi kalikimbia jukwaa...Jukwaa la Chelsea pia kuna wajuzi wa mpira
Hata bila magoli ya Jota mbona pointi 3 tungechukua pale Bono 🔥😅🙈🙈Amejitahidi
Ila magoli ya Jota yalikuwa mazuri zaidi kuliko yake.
Salah lazima aje weee
Ni vile tu Jota yupo,asingekuwepo Jota sijui ingekuwaje.
Hata bila ya Nunez tungechukua😁😁Hata bila magoli ya Jota mbona pointi 3 tungechukua pale Bono 🔥😅🙈🙈
YNWA
Bila shaka plastic wetu hapa ni Miss Liverpool 😎😎😎😎😎....Chelsea wachambuzi walishaukimbia Uzi kitambo sasa hivi kabaki Lembu kazi yake kuchukuwa Articles za wachambuzi wa Ulaya kuja kuzitafsiri kwa kiswahili kudanganya wenzake.
Waliobakia wote ni Rent boys wa kusifia wachezaji siku wanayoshinda na kuwatukana siku wanayofungwa.
Kule kwa Manure wachambuzi hawakai ni kama kwa Arsenal huwa wanatukanwa na plastic fans.
Tuliambiwa bila ya Salah tutapoteana haya hesabu inaendelea sasa bila ya Salah 👇
1) Arsenal kafa kwake ✔️
2) Fulham kafa Anfield ✔️
3) Bournemouth kafa kwake✔️
4) .......
Bila shaka plastic wetu hapa ni Miss Liverpool [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]....
Saint Anne [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
YNWA
Tuliambiwa bila ya Salah tutapoteana haya hesabu inaendelea sasa bila ya Salah [emoji116]
1) Arsenal kafa kwake [emoji3581]
2) Fulham kafa Anfield [emoji3581]
3) Bournemouth kafa kwake[emoji3581]
4) Fulham sare kwake [emoji1666]
5) .......
Kwa Game niliyo iona Jana bdo tunahitaji proper DM, Klopp jana alivyo mtoa tu Mac Allister Mambo yakaharibika.
We ntakuchapa😂😂😂😂
Huwa nasema mimi Kelleher ni golikipa wa duniaHello Miss Liverpool Saint Anne
Shikamoo.
Leo tunaweza kumsifu Caoimhim Keller. He was superb yesterday with great saves. Jana alijaribiwa na hakujaribika na kutuweka mchezoni dakika zote tisini.
Next game vs Norwich coming subday atadaka yeye. Great game from him.
YNWA