Mkuu zimebaki ngapi? au zimeisha?Tuliambiwa bila ya Salah tutapoteana haya hesabu inaendelea sasa bila ya Salah 👇
1) Arsenal kafa kwake ✔️
2) Fulham kafa Anfield ✔️
3) Bournemouth kafa kwake✔️
4) Fulham sare kwake 🤝
5) Norwich kafa Anfield ✔️
6) Chelsea kafa 4 Anfield ✔️
klopp hapangiwiHuyo alishajiona ndo kilakitu kwenye hii tim anafosi ahamishwe namba natumai huu ndo wakati muafaka wakugombania namba hapo kati.
Klopp alivo kauzu anaeza muweka dogo bechi bila kujali uwezo wake ili asimuuzi taa
safari hii kiboko yenu JOTA Ndani ya nyumba.Arsenal tunawasubiri kwa hamu Emirate, Mkapange tena kale Katoto kule kulia kaone show. Huwa tunamuhofia Salah tu.
Chelsea hawaeleweki walikua wanacheza mfumo gani. Hata kupiga pasi 3 shida.
Hee
Nunez alipewa penati?
Ama kweli watu wanachezea shillingi kwenye tundu la choo.
Mpiga penati alikuwa Fabinho pekeyake na Babu Milner.
Wengine waliobaki ni wababaishaji wa penati.
Kumbe tumeyapiga haya kenge 4 na hamsemi[emoji1787]
Ngoja niamke nikacheck mechi
Makenge ni timu ya kutupwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jota as usual.
Huyu mtoto Bradley ntaanza kumzingatia.
Babe wangu jana alianza benchi jamani
Waarabu walete tu ofa au namna gani.. Ela yake imlete Mbappe na Zizou mazimaaaa.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Heloo miss Liverpool unasema aje.
YNWA
Hakika Klopp sasa ampe hio ndoto yake ya MF maana ni muda sana anapataka...
Kwa hio MF iwe Dommy, Mac, Trent?
YNWA
Atakua ameangalia video za Firmino huyu dogo...
Yupo kwenye laiti traki.
YNWA
Yes lakini tungepata proper holding MF ingetufaa zaidi.Hakika Klopp sasa ampe hio ndoto yake ya MF maana ni muda sana anapataka...
Kwa hio MF iwe Dommy, Mac, Trent?
YNWA
Kweli kocha anapata headache asee. Ila cha muhimu ni rotation tu kila mchezaji apate game time.What about Jones performance ? How it will be the return of Samurai? Ndio maana Klopp hatakagi kikosi kipana chenye quality ni stressful kama utapata wachezaji wenye ego.
Kuna unataman mchezaji awe injury, Quality ya Taa & Jones kukaa bench ni matusi, anakuja Bradley kukiwasha hivi unaanzaje kumuweka bench?? RB anayekupa quality ya RB both defensively and offensively??
I’m Klopp i will go with the same Line up vs Arsenal
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Bado sana Gerrard labda nyuma yake apewe data analyst wa nguvu sana kama Graham na FD awe Edward au Ward ili asituletee akina Milner, Chambers, Lallana, Henderson hapa Liverpool....
YNWA
Sometimes star akiwepo hua kunakutegemea miujiza fulani kutoka kwake hasa pale inaelemewa na ubao unasema 0 0 au 1 1...
Kwa sasa hakuna wa kumtegemea atuvushe hivyo team ina balance vyema sana...
Klopp kuchanganya damu changa na ma senior imeleta ari mpya sana uwanjani, tazama tukipoteza mpira unavyosakwa aisee hii kitu last season haikuwepo kabisa lakin sasa ipo na ndio nguzo kuu kwetu kwa kua tunajua pale kati na nyuma sio salama hivyo imekua ni Collective responsibility kwa kila mchezaji kuhakikisha mpira ukiwa na mpinzani usivuke kati kwenda kushambuliwa.
YNWA
Tuliambiwa bila ya Salah tutapoteana haya hesabu inaendelea sasa bila ya Salah [emoji116]
1) Arsenal kafa kwake [emoji3581]
2) Fulham kafa Anfield [emoji3581]
3) Bournemouth kafa kwake[emoji3581]
4) Fulham sare kwake [emoji1666]
5) Norwich kafa Anfield [emoji3581]
6) Chelsea kafa 4 Anfield [emoji3581]
Nunez amepiga penalty 13 kapata 12 amekosa 1 (ya jana) are you there??
Fabinho 23 kakosa 1.
Conversion rate inalinga.
Shkamoo.🫱[emoji2532]🫲[emoji2534]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mambo yanakwenda kasi sana namna hii Klopp atapiga abautani na kusema ameghairi kusepa design kama Fergie 2012...
YNWA
Itakua anamuogopa Salah mbona juzi kazifumania akiwa hayupo kurudi tu anakosa mpaka penati
Hakuna yeyote kati ya wachezaji wenu anayemfikia Trent kuona MpiraBabe wako kazini kwake kuna kazi.
Arsenal tunawasubiri kwa hamu Emirate, Mkapange tena kale Katoto kule kulia kaone show. Huwa tunamuhofia Salah tu.
Chelsea hawaeleweki walikua wanacheza mfumo gani. Hata kupiga pasi 3 shida.
Mkuu zimebaki ngapi? au zimeisha?