Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kitu kingine kiliharibu mipango ya jana ni kukosekana kwa Bradley, Nunez na Szobo.

Yes hao jamaa, kwa nini? Klopp karibu wiki siku tatu alikua akiandaa timu akiaminia kwa Bradley na Szobo na alipanga kwenda na same line up ila sasa all of a sudden a day before a match, Bradley anapata msiba wa kufiwa na baba yake mzazi, baadae Nunez anaumia kidole, lately Szobo anaumia. Last three matches hawa jamaa walimpa option nzuri.

Ona replacement zao Trent kwa Bradley hakumaliza mechi tuliona Martinelli cooked him, Gravenberch kwa Szoboszlai, (hapa unahitaji akili ndogo ya kunywa maji kuona mechi ilivyo mpwaya) Gakpo for Nunez (same kilichomtokea Graven na kwake kilimkuta), ndio maana wote hawakumaliza mechi na wote walitolewa kwa mda mmoja.

Note:
Sio guarantee kuwepo kwao ndio tungeshinda, lah.! lakini tulikosa ile good flow of football ya last 3-4 matches.
Graven & Gakpo had 11 touches in first half. Hapo unaona jinsi gani Macca & Jones walivyopitia wakati mgumu partner wao Graven alivyokuwa mbovu, (anajificha nyuma ya Arsenal players)
Diaz and Jota same thing kwa partner wao Gakpo.

Sasa angalia madhara RHS alipocheza Graven ndio upande wa Trent ambao kawaida lazima atakayecheza RCM afanye shughuli na awe na energy ya kutosha., kwa hiyo ikabidi Konate afanye kazi mara mbili upande wa Trent na wa kwake. Kwa hali hii lazima ushindwe kuutembeza mpira. Na mbaya zaidi Trent sio yule kabla ya kuumia, jumla individual errors ni ngumu kuona unaponaje.
 
Gravenberch kucheza upande mmoja na Trent...
Ukicheki rekodi za Domy akicheza na Trent utaona ana tackle, block, sprint nk sasa Gravenberch anajua tu ku dribble tu...
Ki ukweli leo tumesinzia kazini kabisa ningeshangaa sana hii gemu Arsenal watoke sare tupo weupe vile

YNWA
Ha haaa Klopp alijua kampanga bladley nini?
Kwa hiyo huyu mzee hajui mapungufu ya wachezaji wake kweli Tim inamzidi uzito Sasa acha apumzike tu
 
It could have been more, Arsenal walikosa ukatili mwingi.


Hii mechi huwezi kujua uanzie wapi na uishie wapi, ila ni siku mbaya sana ofisini.

Bado narudi pale pale, kosa analofanya Klopp ni kulazimisha wengine wafanye kazi mara mbili mbili ili tu Trent asiwe kwenye mitego ya kusumbuliwa.

Inabidi Konate afanye kazi mara mbili, na yeyote atatakaye kaa upande wa Taa afanye kazi mara mbili. Ime tugharimu leo Konate kadi nyekundi. Trent amepikwa sana na Martinelli not only him imekuwa hivyo misimu yote tu.

Trent ni moja ya wachezaji wameumia mno kuondoka kwa Klopp, makosa yale na kwa top top manager unasugua bench tu tumeona hivyo kwa kina Conte, Tuchel, Pep, Mou ila kwa Klopp anatafuta namna Trent acheze hata kwa kuwaumiza wengine. Na bad thing amekataa ku improve defensively kwa itategemea na kocha ajaye.

Ngumu kuona madhara ya Trent lkn yeyote atakaye cheza no. 4 au RCM lazima afanye kazi mara mbili. Sasa leo imekuwa balaa zaidi kwa kuanza Graven , da da da.

We were poor overall my best player on the pitch today was Macca.

N.B Nunez anakosa magoli sana lakini huwezi kumuondoa kwenye wachezaji hatari pale LFC, Saliba and Gabriel wali relax vya kutosha leo mpaka alipoingia Nunez timu ikaanza kupata njia, ila hivyo ukiwa na siku mbya ni mbya tu.
Magoli tuliyofungwa dah.!!! Ni aibu
Kwa hiyo yameludi ya hendasen piga ua lazzima acheze dah

Kipara anachekelea tu huko
 
Hii kauli ya kuwa Bingwa ni Man City ni kauli ya loser tu ambao wao wanajiona hawana uwezo wa kupambana hivyo wanakimbilia kwa City.

Ligi haijawa closed race kiasi ya kwamba Man City anakimbia one horse race.

Ligi ipo Open hata Liverpool anaweza kubeba Ubingwa.

Tena ukiangalia kwa makini hii second round vile visiki vyote Man City, Chelsea, Spurs, Brighton, Newcastle ratiba imewataka waje Anfield.

Strong game ambayo Liverpool anayo Away ni Manure pekee baada ya hii ya Arsenal.

Hivyo namalizia kusema Ubingwa bado upo Open.Ki
Kipara hapangi wachezaji kwa upendo wake bali wale wanao mletea matokeo hili linapelekea Man City apewe ubingwa alikua Hendasen ful kulindwa wenzaka wanapambana yeye ananyoosha vidole tu uwanjani asaivi kaibuka Trent mabaya zaidi huyu keshasema anataka kucheza kati ila kocha bado kamganda tutashinda na City?

Huyu dogo inajulikana hamuwezi matnel na hata Rashfod anakuaga njia pia katoka majeruhi na kapangwa


Uziri kocha kashasema hana chakuongeza ila apumzike
 
Jana tumefungwa Kwa sababu ya ujinga wa Allison
Hahah…!!! Bad day in a office Alisson ni moja ya siku mbaya sana kwake. Na ndivyo anacheza siku zote sema makosa yke mengi huwa anayafuta mwenyewe. Ni moja ya wachezaji kulaumiwa ni nadra mno hata akiharibu. Kazi anayopiga Alison sio kitoto, japo haiondoi aliharibu zaidi jana.

Wachezaji wanaoongoza kupokea lawama:

Nunez
Vvd
Trent
Salah
Gomez

Hawa jamaa makosa yao huwa yapo wazi mno machoni mwa mashabiki.


Ila kwa jana tukubali tu we were merely poor. Aina ya magoli tuliyofungwa unaona kama wachezaji hawakufanya warm up wamekurupuliwa humo basi tuingia tuchezeni.

Haya hivyo Arsenal hawakuwa wenye ubora huo, kama ni timu iliyokuwa bora tunge aibika sana. Mechi ya jana unakutana na Brighton unadhalilishwa,good thing tulikutana na mkubwa mwenzetu ambae hana madhara apato nafasi.

YNWA
 
Jana tumefungwa Kwa sababu ya ujinga wa Allison
Hahah…!!! Bad day in a office Alisson ni moja ya siku mbaya sana kwake. Na ndivyo anacheza siku zote sema makosa yke mengi huwa anayafuta mwenyewe. Ni moja ya wachezaji kulaumiwa ni nadra mno hata akiharibu. Kazi anayopiga Alison sio kitoto, japo haiondoi aliharibu zaidi jana.

Wachezaji wanaoongoza kupokea lawama:

Nunez
Vvd
Trent
Salah
Gomez

Hawa jamaa makosa yao huwa yapo wazi mno machoni mwa mashabiki.


Ila kwa jana tukubali tu we were merely poor. Aina ya magoli tuliyofungwa unaona kama wachezaji hawakufanya warm up wamekurupuliwa humo basi tuingia tuchezeni.

Haya hivyo Arsenal hawakuwa wenye ubora huo, kama ni timu iliyokuwa bora tunge aibika sana. Mechi ya jana unakutana na Brighton unadhalilishwa,good thing tulikutana na mkubwa mwenzetu ambae hana madhara apato nafasi.

YNWA
 
Mechi vs Brighton tulifungwa na hiyo staili.
Alison hatoki tu kwa maamuzi ni maagizo kwa Klopp. Anasogea juu kuongeza idadi kubwa ya wachezaji. Anakuwa kama extra central defender ili kuruhusu kiungo (mara nyingi no. 6) kusogea juu kuongeza idadi ya wachezaji mbele. Ni risk sana sana, na hii inahitaji GK mwenye footwork nzuri ambayo Alison hana ni mdhaifu kwenye mguu. Mechi ya City alitoa pasi fyongo ikatugharimu, mechi vs Brighton staili hiyo ikatigharimu, jana pia.

Unahitaji Gk mwenye uwezo mguuni sana na hii inalipa sana kama una timu nzuri. Waangalia man city wakikutana ni mbinu ngumu na timu ngumu mathalani our last match with them (1-1) Ederson alitutesa sana na mipasi yake ile sana. Sasa unahitaji GK wa hivi kwa mbinu hiyo ina work vizuri, footwork wazuri kama Onana, Pickford, Ramsdale, Vicario na wengine
Yeye lake goli
Uwanjani huku anatafuta nini?
Magoli ya jana ni magoli ya kipumbavu kupata kuwahi kutokea.
 
GFjvDgQW4AAsc5q.jpglarge.jpg
 
Mi mwenzenu sijui kwa vile sijui mpira, yaani simuelewi hata huyo dogo.
He has room ila wasi wasi wangu ni kuondoka kwa Klopp je, ajaye atamvumulia? Silaha kubwa kwa Klopp ni uvumilivu aisee

Labde aje ajae kwenye mfumo kwa haraka anaweza kubaki.
 
haitadumu mkuu, maana mechi ijayo wanakutana na the hammers ugenini, halafu kumbe mechi ya kwanza walifungwa pale emirates 2 bila.
Unafanya analysis kishamba sana....ukianza kuzungumzia Nyumbani na ugenini Kila mtu kwny ligi ana mechi ziko tricky sana....unataka kusema hapa Liverpool hatafungwa tena hadi ligi inaisha na wenzake watakuwa wanadundwa tu....West Ham kushinda mechi ya kwanza haimaanishi na ya pili watashinda....Man City anaweza akadondosha points naye....halafu tangu Klopp aje mmebeba EPL mara ngapi kwni....yaani unataka kufanya kama vile ni mabingwa wa mara kwa mara wakati na nyny ni wafukuza upepo tu kama Arsenal....
 
Manga ML tunakusalimu brother😂😂
Hapo vipi?unnaionaje timu bila ya Salah?

Kule jukwaa la Arsenal walikuwa wanalialia wanamuogopa Salah..na kweli akawatenda.

Ila Kuna watu tena Wanaliver wanakuja kusema eti bila Salah timu inacheza tu vizuri 😂😂
Nilicheka sana nikajisemea moyoni subiri mechi ije tufungwe.

Jana wote nadhani tumeona umuhimu na gap la Salah.

Salah msimu Jana ameibeba timu mabegani,timu ikiwa hoi mahututi...muda wote ni wa moto,tofauti na akina Jota ambao itategemea ameamka vipi.
Upuuzi wa Tim kubebwa na mtu Moja siupendi.
Uziri hao weshatufunga akiwemo bahati nzuri anacheza mechi karibia zote lakini ubingwa ni kwa siti hem atupe ubingwa basi
 
He has room ila wasi wasi wangu ni kuondoka kwa Klopp je, ajaye atamvumulia? Silaha kubwa kwa Klopp ni uvumilivu aisee

Labde aje ajae kwenye mfumo kwa haraka anaweza kubaki.
Huyu anajua ila ujinga wake wakubeba wabovu kwenye Tim ya ushindi imemnyima mafanikio mengi sanaaa

Kila mchezaji anatakiwa atimize majukumu yake kupanga mbovu kwenye wazuri unaharibu na hawa wazuri.
 
Ukitoa EPL ambayo huu ni mwaka wa 20 hamna, Mna kikombe gani tena kingine mmefanikiwa kupata ndani ya miaka 5?
Unafanya analysis kishamba sana....ukianza kuzungumzia Nyumbani na ugenini Kila mtu kwny ligi ana mechi ziko tricky sana....unataka kusema hapa Liverpool hatafungwa tena hadi ligi inaisha na wenzake watakuwa wanadundwa tu....West Ham kushinda mechi ya kwanza haimaanishi na ya pili watashinda....Man City anaweza akadondosha points naye....halafu tangu Klopp aje mmebeba EPL mara ngapi kwni....yaani unataka kufanya kama vile ni mabingwa wa mara kwa mara wakati na nyny ni wafukuza upepo tu kama Arsenal....
 
Back
Top Bottom