City leo atataka sifa unaweza kuta anampiga mtu 5.
Sema kibonde pia hakiaminiki kinaweza kukaza.
Media hazifai kabisa. Wao wanataka drama.Media zinaamua kuchagua cha kusemeaView attachment 2895241
Kwa nini hawajachukua hii? Wamechukuwa sehemu tu ya alichoongea ambacho kitawapa mauzo.
Media hazifai kabisa. Wao wanataka drama.
Ha haaa Klopp alijua kampanga bladley nini?Gravenberch kucheza upande mmoja na Trent...
Ukicheki rekodi za Domy akicheza na Trent utaona ana tackle, block, sprint nk sasa Gravenberch anajua tu ku dribble tu...
Ki ukweli leo tumesinzia kazini kabisa ningeshangaa sana hii gemu Arsenal watoke sare tupo weupe vile
YNWA
Kwa hiyo yameludi ya hendasen piga ua lazzima acheze dahIt could have been more, Arsenal walikosa ukatili mwingi.
Hii mechi huwezi kujua uanzie wapi na uishie wapi, ila ni siku mbaya sana ofisini.
Bado narudi pale pale, kosa analofanya Klopp ni kulazimisha wengine wafanye kazi mara mbili mbili ili tu Trent asiwe kwenye mitego ya kusumbuliwa.
Inabidi Konate afanye kazi mara mbili, na yeyote atatakaye kaa upande wa Taa afanye kazi mara mbili. Ime tugharimu leo Konate kadi nyekundi. Trent amepikwa sana na Martinelli not only him imekuwa hivyo misimu yote tu.
Trent ni moja ya wachezaji wameumia mno kuondoka kwa Klopp, makosa yale na kwa top top manager unasugua bench tu tumeona hivyo kwa kina Conte, Tuchel, Pep, Mou ila kwa Klopp anatafuta namna Trent acheze hata kwa kuwaumiza wengine. Na bad thing amekataa ku improve defensively kwa itategemea na kocha ajaye.
Ngumu kuona madhara ya Trent lkn yeyote atakaye cheza no. 4 au RCM lazima afanye kazi mara mbili. Sasa leo imekuwa balaa zaidi kwa kuanza Graven , da da da.
We were poor overall my best player on the pitch today was Macca.
N.B Nunez anakosa magoli sana lakini huwezi kumuondoa kwenye wachezaji hatari pale LFC, Saliba and Gabriel wali relax vya kutosha leo mpaka alipoingia Nunez timu ikaanza kupata njia, ila hivyo ukiwa na siku mbya ni mbya tu.
Magoli tuliyofungwa dah.!!! Ni aibu
Kwa hiyo hatujafungwa akiwepo? kwamba angekwepo tungeshinda?Kuna watu humu juzi juzi tu walisema eti siyo wa muhimu sana,hata asipokuwepo timu inacheza vizuri.
Kwa hiyo hatujafungwa akiwepo? kwamba angekwepo tungeshinda?
Salah asipo kwepo Tim inakua hulu zaidi ikiwa ni ushindi unakua mnono
Kipara hapangi wachezaji kwa upendo wake bali wale wanao mletea matokeo hili linapelekea Man City apewe ubingwa alikua Hendasen ful kulindwa wenzaka wanapambana yeye ananyoosha vidole tu uwanjani asaivi kaibuka Trent mabaya zaidi huyu keshasema anataka kucheza kati ila kocha bado kamganda tutashinda na City?Hii kauli ya kuwa Bingwa ni Man City ni kauli ya loser tu ambao wao wanajiona hawana uwezo wa kupambana hivyo wanakimbilia kwa City.
Ligi haijawa closed race kiasi ya kwamba Man City anakimbia one horse race.
Ligi ipo Open hata Liverpool anaweza kubeba Ubingwa.
Tena ukiangalia kwa makini hii second round vile visiki vyote Man City, Chelsea, Spurs, Brighton, Newcastle ratiba imewataka waje Anfield.
Strong game ambayo Liverpool anayo Away ni Manure pekee baada ya hii ya Arsenal.
Hivyo namalizia kusema Ubingwa bado upo Open.Ki
Hahah…!!! Bad day in a office Alisson ni moja ya siku mbaya sana kwake. Na ndivyo anacheza siku zote sema makosa yke mengi huwa anayafuta mwenyewe. Ni moja ya wachezaji kulaumiwa ni nadra mno hata akiharibu. Kazi anayopiga Alison sio kitoto, japo haiondoi aliharibu zaidi jana.
Wachezaji wanaoongoza kupokea lawama:
Nunez
Vvd
Trent
Salah
Gomez
Hawa jamaa makosa yao huwa yapo wazi mno machoni mwa mashabiki.
Ila kwa jana tukubali tu we were merely poor. Aina ya magoli tuliyofungwa unaona kama wachezaji hawakufanya warm up wamekurupuliwa humo basi tuingia tuchezeni.
Haya hivyo Arsenal hawakuwa wenye ubora huo, kama ni timu iliyokuwa bora tunge aibika sana. Mechi ya jana unakutana na Brighton unadhalilishwa,good thing tulikutana na mkubwa mwenzetu ambae hana madhara apato nafasi.
YNWA
Hahah…!!! Bad day in a office Alisson ni moja ya siku mbaya sana kwake. Na ndivyo anacheza siku zote sema makosa yke mengi huwa anayafuta mwenyewe. Ni moja ya wachezaji kulaumiwa ni nadra mno hata akiharibu. Kazi anayopiga Alison sio kitoto, japo haiondoi aliharibu zaidi jana.
Wachezaji wanaoongoza kupokea lawama:
Nunez
Vvd
Trent
Salah
Gomez
Hawa jamaa makosa yao huwa yapo wazi mno machoni mwa mashabiki.
Ila kwa jana tukubali tu we were merely poor. Aina ya magoli tuliyofungwa unaona kama wachezaji hawakufanya warm up wamekurupuliwa humo basi tuingia tuchezeni.
Haya hivyo Arsenal hawakuwa wenye ubora huo, kama ni timu iliyokuwa bora tunge aibika sana. Mechi ya jana unakutana na Brighton unadhalilishwa,good thing tulikutana na mkubwa mwenzetu ambae hana madhara apato nafasi.
YNWA
Yeye lake goliMechi vs Brighton tulifungwa na hiyo staili.
Alison hatoki tu kwa maamuzi ni maagizo kwa Klopp. Anasogea juu kuongeza idadi kubwa ya wachezaji. Anakuwa kama extra central defender ili kuruhusu kiungo (mara nyingi no. 6) kusogea juu kuongeza idadi ya wachezaji mbele. Ni risk sana sana, na hii inahitaji GK mwenye footwork nzuri ambayo Alison hana ni mdhaifu kwenye mguu. Mechi ya City alitoa pasi fyongo ikatugharimu, mechi vs Brighton staili hiyo ikatigharimu, jana pia.
Unahitaji Gk mwenye uwezo mguuni sana na hii inalipa sana kama una timu nzuri. Waangalia man city wakikutana ni mbinu ngumu na timu ngumu mathalani our last match with them (1-1) Ederson alitutesa sana na mipasi yake ile sana. Sasa unahitaji GK wa hivi kwa mbinu hiyo ina work vizuri, footwork wazuri kama Onana, Pickford, Ramsdale, Vicario na wengine
He has room ila wasi wasi wangu ni kuondoka kwa Klopp je, ajaye atamvumulia? Silaha kubwa kwa Klopp ni uvumilivu aisee
Labde aje ajae kwenye mfumo kwa haraka anaweza kubaki.
Unafanya analysis kishamba sana....ukianza kuzungumzia Nyumbani na ugenini Kila mtu kwny ligi ana mechi ziko tricky sana....unataka kusema hapa Liverpool hatafungwa tena hadi ligi inaisha na wenzake watakuwa wanadundwa tu....West Ham kushinda mechi ya kwanza haimaanishi na ya pili watashinda....Man City anaweza akadondosha points naye....halafu tangu Klopp aje mmebeba EPL mara ngapi kwni....yaani unataka kufanya kama vile ni mabingwa wa mara kwa mara wakati na nyny ni wafukuza upepo tu kama Arsenal....haitadumu mkuu, maana mechi ijayo wanakutana na the hammers ugenini, halafu kumbe mechi ya kwanza walifungwa pale emirates 2 bila.
Mlizidiwa kimbinu aisee....mlikuwa mnarukaruka tu....shot on target moja halafu unalalamika nn ww...jana Klopp kaagwa ipasavyo na tacticianJana tumefungwa Kwa sababu ya ujinga wa Allison
Upuuzi wa Tim kubebwa na mtu Moja siupendi.Manga ML tunakusalimu brother😂😂
Hapo vipi?unnaionaje timu bila ya Salah?
Kule jukwaa la Arsenal walikuwa wanalialia wanamuogopa Salah..na kweli akawatenda.
Ila Kuna watu tena Wanaliver wanakuja kusema eti bila Salah timu inacheza tu vizuri 😂😂
Nilicheka sana nikajisemea moyoni subiri mechi ije tufungwe.
Jana wote nadhani tumeona umuhimu na gap la Salah.
Salah msimu Jana ameibeba timu mabegani,timu ikiwa hoi mahututi...muda wote ni wa moto,tofauti na akina Jota ambao itategemea ameamka vipi.
Huyu anajua ila ujinga wake wakubeba wabovu kwenye Tim ya ushindi imemnyima mafanikio mengi sanaaaHe has room ila wasi wasi wangu ni kuondoka kwa Klopp je, ajaye atamvumulia? Silaha kubwa kwa Klopp ni uvumilivu aisee
Labde aje ajae kwenye mfumo kwa haraka anaweza kubaki.
Hili ndo la msingi kabisa amejiona hivyo ubora wake utazidi sababu ya kujitambua tutampata nani haijalishi alipotuacha panafaa kumjaji ajae mapema sanaaa
Unafanya analysis kishamba sana....ukianza kuzungumzia Nyumbani na ugenini Kila mtu kwny ligi ana mechi ziko tricky sana....unataka kusema hapa Liverpool hatafungwa tena hadi ligi inaisha na wenzake watakuwa wanadundwa tu....West Ham kushinda mechi ya kwanza haimaanishi na ya pili watashinda....Man City anaweza akadondosha points naye....halafu tangu Klopp aje mmebeba EPL mara ngapi kwni....yaani unataka kufanya kama vile ni mabingwa wa mara kwa mara wakati na nyny ni wafukuza upepo tu kama Arsenal....