Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ningekuwa mama Cita ningemkaanga huyo jini Haland😆🤣 🤣 Hallaad leo kakosa sitter hivi hivi.. Ingekua ni kijana wangu Nunez hapa miss Liverpool angekua kashatupia mistari ya kutosha...
YNWA
Kelleher will never be near Allison level....Ujinga ni pale anaporudia tabia hiyo magoli yote
Lile la pili ningekuwa VVD ninfemuwasha vibqo
Jamaa sijui alivuta bangi za wapi..
Anakera sana
Kelleher is better than Allison.
Nakucheki tu jinsi unavyokosa usingizi. Saa saba usiku bado unatucheki.Aseno bhana😂
Kweli shibe Mwana malevya.
Ona wanavyodanganyana,, eti Liver hata kuwapiga FA walibahatisha.
Hawa ndio wachambuzi wa kina HENRY14
Kwa ule upumbavu wa Allison hata angekuwepo Salah angeongeza goli 1 tungekuwa hata na 2Jana hata kama Salah angekuwepo kichapo kilikua pale pale... Liverpool hua tunacheza kama unit ndio ushindi unapatikana na jana ilikua siku mbaya sana kazini vijana hawakuamka na mpinzani alijipanga vyema sana... Arteta amefanya homework yake vizuri sana jana akazimba kila njia kimsingi ametuchezea mpira wetu....
Salah ni mzuri lakini hata yeye jana angepata kibarua kizito sana ile defence...
YNWA
Kwa ule ujinga wa AllisonKelleher will never be near Allison level....
Allison is human and human make mistakes...
YNWA
Nunez yupo vizuri jana hakua fit asilimia 100 ndio maana alianza benchi amecheza ile gemu akiwa na maumivi kwa mbaliNingekuwa mama Cita ningemkaanga huyo jini Haland😆
Jana yenyewe Nunez kapindisha mguu kama kawaida yake.
Huyu mtoto wamemuwangia kwao asifunge.
Alitangaza kustaafu kitambo kabla hata ya hako kamechi mlikofutia machozi.Nakucheki tu jinsi unavyokosa usingizi. Saa saba usiku bado unatucheki.
Nasikia Klopp ameamua kustaafu baada ya kuona Arteta ameshamjulia. Akaona akiendelea hivi, mechi zitazofuata tukikutana hata sare hataona. Akaona achomoke fasta akiwa juu kabla hajashushw na kijana machachari Arteta
Yupo vizuri sana na ni wa muhimu ila hafungi.Nunez yupo vizuri jana hakua fit asilimia 100 ndio maana alianza benchi amecheza ile gemu akiwa na maumivi kwa mbali
YNWA
Walevi hawa🤣 🤣 🤣 Miss Liverpool lol...
YNWA
Aseno bhana😂
Kweli shibe Mwana malevya.
Ona wanavyodanganyana,, eti Liver hata kuwapiga FA walibahatisha.
Hawa ndio wachambuzi wa kina HENRY14
Next game atakua kashapona.. This is done n dusted miss...Yupo vizuri sana na ni wa muhimu ila hafungi.
Ukisoma hyo comment yangu vzuri ninachokipinga ni akili ya jamaa kwmba Liverpool mechi karibu zte zilizobaki kwake ni rahisi...hasa zile big games atakazocheza pale Anfield....kwngu mm hlo ni kosa kubwa sana kufikiria hvyo....
Mizimu ya kwao haina vinyongo vya ajabu ajabu. Hata kwa hilo Darwin jamaa ni wamoto sana
Yaani kwa kweli kanikera sana
Adake tu Kelleher
Dogo anajituma sana.
Aseno bhana[emoji23]
Kweli shibe Mwana malevya.
Ona wanavyodanganyana,, eti Liver hata kuwapiga FA walibahatisha.
Hawa ndio wachambuzi wa kina HENRY14
[emoji1787] [emoji1787] Hallaad leo kakosa sitter hivi hivi.. Ingekua ni kijana wangu Nunez hapa miss Liverpool angekua kashatupia mistari ya kutosha...
YNWA
[emoji1787] [emoji1787] Hallaad leo kakosa sitter hivi hivi.. Ingekua ni kijana wangu Nunez hapa miss Liverpool angekua kashatupia mistari ya kutosha...
YNWA
Jana hata kama Salah angekuwepo kichapo kilikua pale pale... Liverpool hua tunacheza kama unit ndio ushindi unapatikana na jana ilikua siku mbaya sana kazini vijana hawakuamka na mpinzani alijipanga vyema sana... Arteta amefanya homework yake vizuri sana jana akazimba kila njia kimsingi ametuchezea mpira wetu....
Salah ni mzuri lakini hata yeye jana angepata kibarua kizito sana ile defence...
YNWA
Yupo vizuri sana na ni wa muhimu ila hafungi.
Mbona munajadili sana habari za Arsenal? Why? This is not our tradition as a Kops since the commencement of this thread.
Let's stop here please. If you wanna play banter just go to their thread and get cooked there.
This thread is only for Liverpool.
CC: The MoNA