Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kiukweli hapa tushindwe wenyewe tu.

Challenge hapa nimeziona ni 3 tu:
1) Everton Away
2) Man United Away
3) Aston villa Away

  • Man City home sina wasiwasi kwasabau tusipowafunga tutagawana points lakini hawatufungi.
  • Spurs home sina wasiwasi uwezekano wa kuwafunga ni mkubwa.
  • Waliobakia wa Away na Home ni wepesi tu.

KIPARA:
  • Kabaki na Arsenal - Home
  • Man United - Away
  • Liverpool Away
  • Spurs Away

ARSENAL:
  • Kabaki na Chelsea - Home
  • Man City Away
  • Man United Away
  • Spurs - Away
 
Everton mmewaonea sana lately. Nadhani hao ndiyo tishio dogo kwenu kuliko wengine. Labda wapate nguvu kwa psychology ya derby, lakini sioni wakiwasumbua.
 
JOTA nje miezi 2.
wauguzi wa hii club yetu wachunguzwe pumbavu zao, kunasehemu hawapo sawa.
Jota mwili wake ni made of Taiwan biscuits usishangae sana ndugu..
Pale klabuni tunao wahudhuriaji wodini ambao ni..
Gomez,
Thiago,
Jota,
Matip
Bajetic
Trent,
Dommy hao kwa sasa hawachezi mbali na chumba cha dokta.

YNWA
 
BREAKING: Bayern Leverkusen boss Xabi Alonso is preferred target to succeed Thomas Tuchel if Bayern Munich make a change this summer, according to Sky Germany [emoji629]
 
BREAKING: Bayern Leverkusen boss Xabi Alonso is preferred target to succeed Thomas Tuchel if Bayern Munich make a change this summer, according to Sky Germany [emoji629]
Duu dogo Alonso amekua hot cake balaa kila media za majuu za michezo kukicha ni habari zake huyu bwana.
Namna hii tutaletewa Gerrard aisee. Wakichemka sana wampe timu Pep Lijnders amekua na hawa wachezaji muda sana na pia anaelewa kua Liverpool ni family timu hivyo lazima awe na bond na mashabiki na wachezaji wake..

YNWA
 
Naona mko busy sana kutuwazia sisi, na mmeanza kuwa obsessed with us! πŸ˜‚πŸ™Œ
Pole sana
Tushaoroshesha mechi zetu za kushinda

Na nyie shindeni zetu ila katika hizo zote zilizobaki,nilizotaja hamshindi hata mvunje miguu.
Baadaye mnarudi mikono mitupu mwaka wa 20 kama kawaida yenu.
 
Naona mko busy sana kutuwazia sisi, na mmeanza kuwa obsessed with us! πŸ˜‚πŸ™Œ
Kikiwakuta kile kifaduro kilichopata sisi mwezi wa 12 zile mechi za West Ham na Fulham na ile mechi Yao walotufunga pale Emirates...hakyanani Hawa tutawaokota nafasi ya nne huko....dawa waendelee kushinda mechi zao hvihvi....wakiteleza moja tu...watabadilisha upepo wa maneno hmu....sisi tunaombea Van Dijk ateguke kidogo tu halafu hyo mengine tutajuana huko mbele ya safari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…