Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hongereni sana Liverpool. Kwanza kwa kushinda kombe na pili kwa kuzipiga zile kenge zinazoaibisha jiji la London na ligi kwa ujumla.

Hili sasa ndiyo size yenu. Jipongezeni na mpumzike sasa. Mengine tuachieni tuyapambanie sisi timu kubwa kubwa.
 
HENRY14 hili kombe mngeshinda nyie arsenyani,muda huu mmgekuwa bado mnabwabwaja madomo

Ona wenzenu tushalala na kombe bado la motoooo,hata nusu siku halijamaliza .
Hongereni sana Livakuku. Mmenifurahisha sana. Nishasema pia kuwa hili kombe ndiyo size yenu. Nimefurahi mmepata mnachostahili
 
Hongereni sana Liverpool. Kwanza kwa kushinda kombe na pili kwa kuzipiga zile kenge zinazoaibisha jiji la London na ligi kwa ujumla.

Hili sasa ndiyo size yenu. Jipongezeni na mpumzike sasa. Mengine tuachieni tuyapambanie sisi timu kubwa kubwa.
Huwa haina haja ya kupiga kelele. Slow and steady wins the race.
 
When was the last time assess won epl?

Have you ever won ucl ?
Hivi vichaka vyenu cha 'when was the last time... na ucl..' vinaelekea kufyekwa muda si mrefu sana.

Uzuri wa UCL wengi wamebeba na kutegemea na form na bahati, yeyote anaweza kubeba. Ndiyo maana hata timu kubwa na kongwe kama Liverpool bado hawajafikia kulibeba mara 10.

Nimewaona Chelkenge wakilibeba mara 2 wakiwa wao ndiyo underdogs. Nimemuona Liverpool fainali 1st half amepigwa 3-0 na AC Milan lakini mpira unaisha yeye ndiye aliyekabidhiwa kombe.

In short, soon, brother, soon.
 
Jibu swali

Maneno mureeefu kama mjaluo

Asses will always be inferior to Lfc

And this season pia hali itaendelea kuwa hivyo

Ukiona maji yanawasha sana rudi jukwaa lenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…