Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jibu swali

Maneno mureeefu kama mjaluo

Asses will always be inferior to Lfc

And this season pia hali itaendelea kuwa hivyo

Ukiona maji yanawasha sana rudi jukwaa lenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Arsenyau hio ni kawaida yao, ukiwauliza kuhusu mara ya mwisho kuwin Epl au Uefa lazima wakuandikie Tanzia ya marehemu[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapenda zaidi kuulizwa kuhusu makombe ya FA na Emirates[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Jibu swali

Maneno mureeefu kama mjaluo

Asses will always be inferior to Lfc

And this season pia hali itaendelea kuwa hivyo

Ukiona maji yanawasha sana rudi jukwaa lenu
Simple sana.

UCL hatuna yaani 0.
EPL tunaelekea kutimiza mwaka wa 20 bila kuigusa.

Yote haya najua unajua. Ndiyo maana ninasema hivyo vichaka vitafyekwa muda si mrefu. Hatuna budi kuwa na subira.
 
Hongereni sana Liverpool. Kwanza kwa kushinda kombe na pili kwa kuzipiga zile kenge zinazoaibisha jiji la London na ligi kwa ujumla.

Hili sasa ndiyo size yenu. Jipongezeni na mpumzike sasa. Mengine tuachieni tuyapambanie sisi timu kubwa kubwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyau ndio timu kubwakubwa?
 
Simple sana.

UCL hatuna yaani 0.
EPL tunaelekea kutimiza mwaka wa 20 bila kuigusa.

Yote haya najua unajua. Ndiyo maana ninasema hivyo vichaka vitafyekwa muda si mrefu. Hatuna budi kuwa na subira.
Hakuna kichaka kinafyekwa na wembe

Labda pubic hair
 
Hayo maswali tumeyazoea na sasa tunaanza kujiweka katika nafasi ya kuyajibu.

Kuna kipindi Liverpool tulikuwa tunalingana nao/vibonde wetu kiaina ila tukaja kushuka kiasi kwamba mechi 24 tumewafunga 3. 2 kati ya hizo ni katika miaka hii miwili ya sasa. Sisi tunaona kuwa tunaanza kuimarika na kurudi miongoni mwa timu tawala. Sasa mtu akiniuliza ndani ya mechi 24 nimemfunga Liverpool mara ngapi natakiwa kumjibu vipi?
 
Simple sana.

UCL hatuna yaani 0.
EPL tunaelekea kutimiza mwaka wa 20 bila kuigusa.

Yote haya najua unajua. Ndiyo maana ninasema hivyo vichaka vitafyekwa muda si mrefu. Hatuna budi kuwa na subira.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hio kauli ya vichaka vitafyekwa muda si mrefu tulianza kuisikia tokea kipindi cha mzee Wenger.
Arsenyau nyie mkubali tu kua timu yenu ni Fungu la Kukosa FC.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hio kauli ya vichaka vitafyekwa muda si mrefu tulianza kuisikia tokea kipindi cha mzee Wenger.
Arsenyau nyie mkubali tu kua timu yenu ni Fungu la Kukosa FC.
Kama ni laana za ulimwengu wa nje ya mifupa na nyama naamini mpaka sasa tumeshaitumikia. Tumeanza kuona nuru. Tukiendelea hivi wana Gunners wa JF tutazeeka vizuri sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyau ndio timu kubwakubwa?
Zikizungumziwa hizo tupo. Si umeona hata manyumbu wanazungumziwa miongoni mwa timu kubwa kwa sasa ingawa miaka 4-5 hii mmekuwa na changamoto kibao na msipoangalia mnaweza kujikuta tunakojaribu kutoka sisi?
 
Hongereni sana Liverpool. Kwanza kwa kushinda kombe na pili kwa kuzipiga zile kenge zinazoaibisha jiji la London na ligi kwa ujumla.

Hili sasa ndiyo size yenu. Jipongezeni na mpumzike sasa. Mengine tuachieni tuyapambanie sisi timu kubwa kubwa.
Wenzenu hata final wamefika licha ya ubovu wao wote

Nyie hakuna kitu mtaambulia,kama kawaida yenu.
Timu ndogo miaka 20 haina EPL hata ya mchongoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…