Kufurahi baada kubeba sinia hio ni kila mtu lazima afurahi, hata nyumbu na kenge tukichukua sinia la mihogo tutafurahi siku hiohio ya kula mihogo lakini hatuwezi kujivunia kama nyie Arsenyani.
hao wengine hawazungumzii kwa sababu hawana hii karibuni. Sie letu la msimu huu na tunasema ili mjue tupo.Kufurahi baada kubeba sinia hio ni kila mtu lazima afurahi, hata nyumbu na kenge tukichukua sinia la mihogo tutafurahi siku hiohio ya kula mihogo lakini hatuwezi kujivunia kama nyie Arsenyani.
Lile kwanza ni Bonanza tu sio mashindano, hivyo sio kitu cha kukaa na kujivunia mbele za watu, ndio maana humu haujawahi kuwasikia Liverpool, Chelsea, Man Utd au Man City wakijivunia kubeba sinia la Bonanza lakini Arsenyau kwenu lile mnaliona kama kombe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lipi?hao wengine hawazungumzii kwa sababu hawana hii karibuni. Sie letu la msimu huu na tunasema ili mjue tupo.
ππππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Samahani mama la mama lile sio chupa la chai bali ni Sinia la Mihogo.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Kufurahi baada kubeba sinia hio ni kila mtu lazima afurahi, hata nyumbu na kenge tukichukua sinia la mihogo tutafurahi siku hiohio ya kula mihogo lakini hatuwezi kujivunia kama nyie Arsenyani.
Lile kwanza ni Bonanza tu sio mashindano, hivyo sio kitu cha kukaa na kujivunia mbele za watu, ndio maana humu haujawahi kuwasikia Liverpool, Chelsea, Man Utd au Man City wakijivunia kubeba sinia la Bonanza lakini Arsenyau kwenu lile mnaliona kama kombe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbali na wewe kupost hapa sasahivi,uliona kuna mtu anahangaika na hizo picha za masinia humu?achilia mbali kuongelea stori zakeπππ
weeee acha Klopp asije akakusikiaNi mechi ya lini?
Nitafute
Jamaa hapangwi kabisa,,
Wampe hata mechi ya Europa adake.
Medical staff wanachakueleza kwakweli.Yani nikimuangalia huyu Nunez alivyoruka Viunzi kushangiria goli la Captain napata mashaka ni inury kweli au just ni concern tu? π€
View attachment 2916952
Alitusaidia kupata UEFA super cup na chelkenge.Hivi huyu ndo Adrian!?
Toka nijitambue sijawahi kumuona hata mara moja uwanjani akidaka.
Huyu nasikia ni mtu muhimu sana kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.Huyu Mwamba anajikusanyia Medali za bure za Uzeeni tu wala hakuna anayejadili uwepo wake pale Liverpool.
Mganga wake mkali sana.View attachment 2916679
Jitoe tu ufahamu. Mlifanya balaa sana mjini tukadhani mmeshinda uefa.Mbali na wewe kupost hapa sasahivi,uliona kuna mtu anahangaika na hizo picha za masinia humu?achilia mbali kuongelea stori zakeπππ
Mbona hamebebi sasaJitoe tu ufahamu. Mlifanya balaa sana mjini tukadhani mmeshinda uefa.
Hata hivyo, kama sasa hamtaki kujivunia sinia, sisi tutajivunia na makombe yote hayo ndani ya muda mfupi tutaanza kuyabeba na tutayabeba sana.
Naona huku mtandaoni unakuwa mgumu kunielewa. Bora tukutane uwanjani tumalizane.Mbona hamebebi sasa
Kweli Mungu akikunyima makombe anakupa domoπ
Na domo Kweli analo ππππMbona hamebebi sasa
Kweli Mungu akikunyima makombe anakupa domoπ
Hatuna muda na wanyongeNaona huku mtandaoni unakuwa mgumu kunielewa. Bora tukutane uwanjani tumalizane.
Ombeni special rematch na sisi kwa FA. Wombeni turudie ile mechi ya anfield tuliyotoka 1-1. masharti waombeni kwamba mkitufunga mpewe points 9 ila sisi tukiwafunga tupewe 3 kama kawaida. Na zihesabike kama sehemu ya msimu huu.
Na domo Kweli analo ππππ
Safi kabisa. Kumuogopa aliyekuzidi ni busara pia.Hatuna muda na wanyonge
Mambo ni mengi mabingwaSafi kabisa. Kumuogopa aliyekuzidi ni busara pia.
Huyu jamaa aliwaingizia wenzake laana kwa rafu hii, ikitegemea tulimuhitaji akatuaibisha, anakuja kutuumizia mchezaji wetu makusudi kabisa.
Huyu mzee huenda alikua hataki shauli za wengine mana ilikua hata tukishinda ushindi mnono bado alikua hapangi vijana anawaganda kina Milna wake bilashaka kachoka kweli.Nimemkubali McConnell π