Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii inamaanisha Michael Edwards ni muhimu zaidi kuliko Kocha.

Hapa napata points mbili:

1) FSG walimdharau Edwards kwasababu walikuwa na Klopp hivyo waliamini ataweza kuhandle kila kitu.

2) Klopp anaondoka FSG wanahisi sio rahisi tena kupata Kocha ambaye ataipandisha thamani tena Liverpool kwa kuifanya icheze kwenye consistency kila season back to back hivyo wanamtaka Edwards kuwavuusha.

Edwards naye anawakazia sasaView attachment 2919206

Kwa taarifa zilipo. Edward anataka full control. Hiki kitu ndicho kilifanya aondoka. This time FSG hawachomoi aisee.

Na Edward atakubali hii ofa as long as Klopp hayupo hawajui ajaye atafanya yapi bora wakubali ya Edward.

Good thing FSG wameona hamna haja ya kumtegemea ajaye kama Klopp maana hasara kwa kutoshiriki CL wameiona, kuboronga last season wamelamba hasara pia.

Edward ni kichwa cha mpira, naamini selection ya players na kocha vitatoka kwake. He is that guy anaviona vipaji na adavantage yetu kwake anaendana na msuli wa kiuchumi wa FSG, he knows them very well.

Makocha mpaka sasa wanaowaniwa
1. Alonso
2. Amorim.

Ngoja tuone FSG watamkubalia ombi la kutaka FULL control?

YNWA
 
“If you are good enough you are old enough regardless of age”.

Ila inahitaji timu iwe nzuri kwa ujumla wake. Unaona kama Barca kwa sasa wanavyo struggle hata hao wa academy kadhaa walionao wana potential ila timu inapitia kipindi kigumu hiyo potential huoni.

Chelsea ingekuwa kwenye ubora wa matokeo, wana wachezaji vijana wazuri tu sema hivyo timu haijatulia.
Kabisa mkuu
 
Hii inamaanisha Michael Edwards ni muhimu zaidi kuliko Kocha.

Hapa napata points mbili:

1) FSG walimdharau Edwards kwasababu walikuwa na Klopp hivyo waliamini ataweza kuhandle kila kitu.

2) Klopp anaondoka FSG wanahisi sio rahisi tena kupata Kocha ambaye ataipandisha thamani tena Liverpool kwa kuifanya icheze kwenye consistency kila season back to back hivyo wanamtaka Edwards kuwavuusha.

Edwards naye anawakazia sasaView attachment 2919206
Mmiminieni mpunga mwingi na mpeni uhuru wa kufanya mambo bila kumzingua.
 
Wataalam wa vipaji tunasemaga "if you're good enough, you're old enough ". Pongezi nyingi kwa academy team yenu kwa jitihada zao ila wengine hapo kama huyo Elliott ni first teamers tayari sema tu ni wadogo kiumri. Saa zingine tunatumia umri wa vijana kukuza walichofanya (kijana mdogo hivi cheki mambo anayofanya uwanjani) na ni vizuri ila sometimes naona kama tunawashusha.

Pele aliingia Selecao na 17 years kama sikosei. Ronaldo da Lima pia. Messi kule Barcelona? Martinelli aliingia first team ya Arsenal na 18 years. Saka 17. Fabregas 17, Iwobi 17 na nadhani van Persie pia alianzia 18 au 19. Wayne Rooney 16 kule Everton Cristiano Ronaldo 17 au 18 Unyumbuni kama sikosei.

Naweza kuwa nimechanganya mahali ila narudi kwenye "if you're good enough, you're old enough". Hapa naongea waliopata chance ya kuwa regulars kiasi fulani. Hao vijana wa Liverpool aisee ukiachana na umri, wako vizuri.ssoll

Kwanza mpinzani mwenyewe alikuwa kenge. Tumekaa kimya tu huku ila mtaani tulikuwa tunashangaa sana mmefikaje 120 minutes na wale viwete. Academy team yetu ingewachapa hata 2-0 kabla ya dk 90 wale marasta uchwara.
Well said bro....
Kudos kwa vijana wetu wamekua wamepikika haswa wapo tayari kupambania jezi popote iwe ugenini au nyumbani, kwa hili tu niseme saluti kwa wote walioshiriki maadalizi yale.

YNWA
 
GHditZoXwAAtf7i.jpeg
 
Arsenyani haina tofauti na mwanafunzi anayemcheka mwenzie kwa kupokea Pepa lenye marks 12/100 asijue lake linakuja Lina 12 hiyohiyo.
Kama mwanafunzini anachekwa kwa kupata 12/100 kuna shida. Huyo ni wa kuhurumiwa na kukazaniwa.

Hata hivyo tukirudi kwenye makombe, nyie si mmeshapata moja tayari? Timu ni nyingi na makombe ni machache. Mnaleta uroho? Nyie ni wale wanafunzi mnaolilia na kupambania wali mchuzi wenye vipande vitatu vya nyama wakati kila mtu anapewa kipande kimoja
 
Kama mwanafunzini anachekwa kwa kupata 12/100 kuna shida. Huyo ni wa kuhurumiwa na kukazaniwa.

Hata hivyo tukirudi kwenye makombe, nyie si mmeshapata moja tayari? Timu ni nyingi na makombe ni machache. Mnaleta uroho? Nyie ni wale wanafunzi mnaolilia na kupambania wali mchuzi wenye vipande vitatu vya nyama wakati kila mtu anapewa kipande kimoja
Kaka sasa hivi tunayataka yote hatujui kocha ajae atakuja na sera ipi wacha tumuage klopp vizuri
 
Kaka sasa hivi tunayataka yote hatujui kocha ajae atakuja na sera ipi wacha tumuage klopp vizuri
Alonso naye atakuja na sera hiyo hiyo maana si hatakubali kufanya chini ya kiwango cha aliyemuachia kijiti? Klopp anaweza akapata 'rush' ama 'high' ya kushinda makombe akaomba abaki aendelee kufundisha Liverpool
 
Kama mwanafunzini anachekwa kwa kupata 12/100 kuna shida. Huyo ni wa kuhurumiwa na kukazaniwa.

Hata hivyo tukirudi kwenye makombe, nyie si mmeshapata moja tayari? Timu ni nyingi na makombe ni machache. Mnaleta uroho? Nyie ni wale wanafunzi mnaolilia na kupambania wali mchuzi wenye vipande vitatu vya nyama wakati kila mtu anapewa kipande kimoja
Sasa umeona namna arsenyani mlivyo na shida.
Hiyo man u mnayoicheka ni miaka michache tu ilibeba Pl na msimu uliopita ndio walikuwa mabingwa wa Carabao wakati nyie mkiwa mikono mitupu.
 
Sasa umeona namna arsenyani mlivyo na shida.
Hiyo man u mnayoicheka ni miaka michache tu ilibeba Pl na msimu uliopita ndio walikuwa mabingwa wa Carabao wakati nyie mkiwa mikono mitupu.
Manyumbu hata washinde UCL hatuwezi kuwakubali wale mahasimu wetu. Wale tunachowatakia ni vipigo vya kutosha lakini wasishuke tu daraja ili tuendelee kuwafuatilia kwa ukaribu na kuwacheka
 
Usijali itakuja Soda hiyo.

Nunez hakujali Jones mgonjwa sukumia huko tutajua baadae… Szobo akafuata tena kwa nyuma sukumia Jones huko. By the way its a joy kutokana na vitoto kuvishikisha adabu £200M Mf’s.

YNWA
Wale wazima wa afya
Kasobo kamemrukia Klopp kamepaa angani utadhani Rey Mysterio anapiga teke za kamba zile aisee 😂
 
Back
Top Bottom