Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jones anachezaje mbele ya Gini?

Trent alipata namba baada ya Clyne kuumia tofauti na hapo huwezi kumtumia kama mfano

Klopp sasa hivi madogo anawatumia kuliko kipindi chochote kile tangu awe pale mitaa ya Merseyside
Ni majeruhi ya senior players. Wakipona wote anawarudisha benchi.

Hana Uthubutu wa kuwaamini watoto, japo anapokwama anawatumia na wanampa matokeo. Hata dak za mwisho akiwa anaongoza, bado aliwaingiza kina Milner.

Ni mwoga katika hilo, japo ni jasiri katika mengi.
 
YNWA
IMG-20240302-WA0013.jpg
 
Ni majeruhi ya senior players. Wakipona wote anawarudisha benchi.

Hana Uthubutu wa kuwaamini watoto, japo anapokwama anawatumia na wanampa matokeo. Hata dak za mwisho akiwa anaongoza, bado aliwaingiza kina Milner.

Ni mwoga katika hilo, japo ni jasiri katika mengi.
Kabisa mkuu naww naona umeliona hilo
 
Jones anachezaje mbele ya Gini?

Trent alipata namba baada ya Clyne kuumia tofauti na hapo huwezi kumtumia kama mfano

Klopp sasa hivi madogo anawatumia kuliko kipindi chochote kile tangu awe pale mitaa ya Merseyside
Sasa vp nisimtumie Kama mfano wakati ni academy graduate? Sasa unataka academy graduate apate namba wakati Kuna regular player? hivi wewe unaujua mpira kweli? Hata kina Robbie Fowler na Michael Owen walipata namba baada ya regular/senior players kupata injuries or otherwise
hemu nitajie kocha yeyote duniani ambaye alimuacha regular/senior player akampa nafasi academy/junior player??
 
Ila mechi za EPL alikuwa hathubutu aisee, mpaka kikosi chake nilikuwa nishakikariri

Lakini kwa sasa hivi anawaanzisha hata mechi za EPL

Ulikuwa humwambii chochote kwa wale wazee wake akina Lallana, Chamberlain, Milner, Origi n,k hawa ndio mara kwa mara walikuwa wanaingia kutoka benchi

Makinda wanabaki tu wamekalia mbao ndefu
 
Aliwapa nafasi sema hivyo hawakufikia level hizo isipokuwa

Trent.[emoji736]
Jones.[emoji736]
Kelleher.[emoji736]
Bajcetic (if not injury angekuwa anaelekea kuwa senior player).
Elliot.[emoji736]
Kaide Gordon (alipata injury ya muda mrefu ndio amerejea).
Sheyi Ojo.
Rhian Brewster
Ben Woodburn
Conor Randall
Neco Williams
Billy Koumetio
Harry Wilson.

Wengi hapo walishindwa kufikia level za juu, ila kama ulikuwa haupitwi na mechi za Liverpool na unazifuatalia kwa ukaribu walau hao niliowataja utakuwa unawajua.


Na hawa unawaongelea kwa sasa wengi last 2-3 seasons walikuwa na miaka 16-18, hivyo ilikuwa bado huwezi kuwachezesha wote hawa kwa wakati mmoja.
 
Ila mechi za EPL alikuwa hathubutu aisee, mpaka kikosi chake nilikuwa nishakikariri

Lakini kwa sasa hivi anawaanzisha hata mechi za EPL

Ulikuwa humwambii chochote kwa wale wazee wake akina Lallana, Chamberlain, Milner, Origi n,k hawa ndio mara kwa mara walikuwa wanaingia kutoka benchi

Makinda wanabaki tu wamekalia mbao ndefu
 
Back
Top Bottom