Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
La kwangu hapana.Kila goti litapigwa kwa Nunez π
hicho kiburi kitakuishia tuSalah Jota wananitosha kabisa
Huyo mdogo wenu bado sana mimi kuwa shabiki wake.
Diaz ni bonge la Forward, kwangu mimi pale mbele Gakpo style yake ya uchezaji hata siifurahiiLa kwangu hapana.
Lipo kwa Salah tu, na Jota kidogo.
Diaz kipindi anafika almanusura nimuamini.. angeniingiza choo cha kiume.
Diaz ni bonge la Forward, kwangu mimi pale mbele Gakpo style yake ya uchezaji hata siifurahii
Ni kama nyie tuwaite Mna kiburi Kwa kusema Gakpo tulipiteza helahicho kiburi kitakuishia tu
π€£ π€£ π€£ π€£ Wewe huyo.Salah Jota wananitosha kabisa
Huyo mdogo wenu bado sana mimi kuwa shabiki wake.
Sisemi kwamba hajui ila style yake dahNi kama nyie tuwaite Mna kiburi Kwa kusema Gakpo tulipiteza hela
Sisi shida yetu ni tunaletaga utoto mwingi wakati tusiopaswa kuleta mzaha. Tukiongeza maturity kidogo na proper game management tutapambana hadi mwishoni. So far tuna injuries ambazo zimepatiwa majibu, ila tunawasiwasi iwapo watu kama Saka, Saliba, Gabriel au Odegaard.
Tukiendelea na moto huu tutawafikia na huenda mwishoni mwishoni tukawapokonya tonge.
Kwa Edwards akiamua hawapo nyongeza ya mkataba hao ma faza basi ujue ana solution sokoni jamaa habahitisha...
Kingine ule udhubutu wa June 2023 wa kuwatoa Keita, Ox, Henderson, Milner na Fabby na maisha ndio yamekua matamu vile basi jua hakuna aliezaidi ya timu kiasi kwamba kuuzwa kwake tunateteleka...
In the meantime...
Tupo imara na tutakua imara.. Nyuma ya pazia kuna kazi kubwa sana imefanyika kuna motivation speakers, kuna wachezaji wa michezo mingine wanashiriki kuwaweka sawa wachezaji warejee kwenye kauli yetu pendwa MONSTERS....big mental strength hata dakika 80 tukiwa nyuma ama sare ni kuedelea kuamini kwamba ushindi upooo..
YNWA
Kumbe kuna Washabiki wa Liverpool walienda kuzurura kwenye Uzi wa Manure wakiamini kuwa Manure itawafunga Man City?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nina wasiwasi alipo Bobby hata goli 5 za ligi hanaa...
Yaani kitendo cha kuwatema Mane, Bobby, Keita, Ox, Milner, Henderson ilikua ni blessing in disguise kwetu...
Speaking out of position players anaongoza Macca, Nunez, Gapko, Gomez
Kazi anayofanya out of position Macca ni bab kubwa sanaaa...
Bila traditional DM dogo ana raise occasion nyingi sana kutuokoa japo Klopp alisema ni kama vile wachezaji kuona hatuna DM wameamua suala la pale kati DM ni jukumu la kila mmoja ili kumsaida Macca...
YNWA
Nunez kamzima Saint Anne kimyaaaa anapitaga hapa kama sio yeye..
Kwa msimu huu klabuni Liverpool Nunez ndio pound for pound player magoli yake yametushindia pointi za kutosha...
YNWA
So Jumapili tupo na Manchester City Anfied....
Haya waleteee hakuna namna to be the best we beat the best..
YNWA
Kipara kama namuona atakavyojilesi hio siku ili mradi kutuvuruga....
There is something at Anfied hua inawaamsha amsha sana wachezaji wetu...
Hatutaki sare ni ushindi tu...
Pazuri Rodri ametumika mno na inaonyesha under presha anaachia nafasi...
Kikosi changu
Kelleher
Bradley Konate VVD Robbo
Domy Endo Macca
Diaz Nunez Gakpo.
Assuming Salah hajawa fit bado
YNWA
Historia inajirudia wakati twachukua ubingwa wa EPL Allison aliumia na dogo Adrian akacheza mechi kadhaa wakati yule bwana anatimbiwa...
Msimu huu ni nafasi ya Kelleher kupewa EPL medal kwa kucheza mechi hizi...
Come on Liverpool.
We are ready.
YNWA
Salah Jota wananitosha kabisa
Huyo mdogo wenu bado sana mimi kuwa shabiki wake.
Mwanzoni mwa msimu comments za humu zilikuwa za kinyongenyonge ila sasa zimekuwa za kibabebabe.
Nadhani kila mtu angefurahi kuona kitu kinatokea kwenye ligi cha kufanya comments zirudi kama hapo awali, japo hata kwa mwezi tu.
Nyie washikaji mna mpaka mwanasaikolojia? Duuh. Watu kwenye ugomvi wa visu mnaleta bunduki πππKipindi cha february kilikuwa kigumu kitimu ila kimatokeo sote tumefurahia. Monster mentality pia inasaidia kukupa matokeo. Nimeona tumepata 22 points kutokans na dk za mwisho ama ushindi au sare.
Subs zetu bado zinaendeleaa kuwa na mchango mkubwa msimu huu.
Licha ya ubovu wa Chelsea, ilikuwa ngumu bila mwanasaikolojia kuhusika kuwaaminisha kina Clark, Danns, Mac Connel na wengine kwamba bila ya Nunez/Salah/Szobo/Trent bado unaweza kufanya maajabu, bado ni mchezaji unayetemewa. Kumbuka ni Wembley and its a final, na sio kwamba majamaa wapo bench wapo juu huko.
Hapo ndipo kina Thiago, Adrian wanaingia kuhusiks kuamsha amsha.
YNWA.
Kweli aisee. Baada ya Fulham niliwapa baraka zote nyie mkachukue tu hiki kiubingwa. Kwanza kiubingwa chenyewe sisi hatukitaki kihivyoo ππ sisi bado tuko phase 3 ππKama hauona intuition hai, basi ishi kwa wakati uliopo na matukio yake.
Wengi tuliingia wasi wasi kuhusu timu bila DM na Macca alionekana kupwaya as DM. Lakini imani na msimu mzuri ilikuwepo, kwa sasa matarajio yamevuka mstari tuliouchora kwa nini tusifurahi?
Naamini hata huko kwenu mechi vs Westham na Fulham upepo ulibadilika.
Thats football.
YNWA.