Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sisi shida yetu ni tunaletaga utoto mwingi wakati tusiopaswa kuleta mzaha. Tukiongeza maturity kidogo na proper game management tutapambana hadi mwishoni. So far tuna injuries ambazo zimepatiwa majibu, ila tunawasiwasi iwapo watu kama Saka, Saliba, Gabriel au Odegaard.

Tukiendelea na moto huu tutawafikia na huenda mwishoni mwishoni tukawapokonya tonge.

Injuries ndio balaa katika kipindi cha kuwania ubingwa na ndicho kipindi cha akili ya kocha na uwezo wa wachezaji unapoonekana.

Mkiwakosa hao kwa wakati mmojaupepo unaweza kubadilika
 
Kwa Edwards akiamua hawapo nyongeza ya mkataba hao ma faza basi ujue ana solution sokoni jamaa habahitisha...
Kingine ule udhubutu wa June 2023 wa kuwatoa Keita, Ox, Henderson, Milner na Fabby na maisha ndio yamekua matamu vile basi jua hakuna aliezaidi ya timu kiasi kwamba kuuzwa kwake tunateteleka...

In the meantime...
Tupo imara na tutakua imara.. Nyuma ya pazia kuna kazi kubwa sana imefanyika kuna motivation speakers, kuna wachezaji wa michezo mingine wanashiriki kuwaweka sawa wachezaji warejee kwenye kauli yetu pendwa MONSTERS....big mental strength hata dakika 80 tukiwa nyuma ama sare ni kuedelea kuamini kwamba ushindi upooo..

YNWA

Kipindi cha february kilikuwa kigumu kitimu ila kimatokeo sote tumefurahia. Monster mentality pia inasaidia kukupa matokeo. Nimeona tumepata 22 points kutokans na dk za mwisho ama ushindi au sare.

Subs zetu bado zinaendeleaa kuwa na mchango mkubwa msimu huu.

Licha ya ubovu wa Chelsea, ilikuwa ngumu bila mwanasaikolojia kuhusika kuwaaminisha kina Clark, Danns, Mac Connel na wengine kwamba bila ya Nunez/Salah/Szobo/Trent bado unaweza kufanya maajabu, bado ni mchezaji unayetemewa. Kumbuka ni Wembley and its a final, na sio kwamba majamaa wapo bench wapo juu huko.

Hapo ndipo kina Thiago, Adrian wanaingia kuhusiks kuamsha amsha.
YNWA.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nina wasiwasi alipo Bobby hata goli 5 za ligi hanaa...
Yaani kitendo cha kuwatema Mane, Bobby, Keita, Ox, Milner, Henderson ilikua ni blessing in disguise kwetu...

Speaking out of position players anaongoza Macca, Nunez, Gapko, Gomez
Kazi anayofanya out of position Macca ni bab kubwa sanaaa...
Bila traditional DM dogo ana raise occasion nyingi sana kutuokoa japo Klopp alisema ni kama vile wachezaji kuona hatuna DM wameamua suala la pale kati DM ni jukumu la kila mmoja ili kumsaida Macca...

YNWA

Huyo Fabinho sasa,. [emoji81] hata kukimbia hawezi
Kwa ufupi wameenda kula maisha na sio kucheza mpira.

Macca as a DM baada kurudi injury alikuwa vizuri ali improve mno, alikuja kucheza na Endo akasogea juu tumeona ndani ya mechi 5 goli 1 na assist 3.

Nafikiri Gomez ukuta wa nyuma kaumaliza wote. Last match alipiga. LB, CB, RB and DM ndani ya mechi moja.

Yule Doucore kwa £80m tungepigwa he is good ila not in that value. Bora tuliopt na kumchukua Endo kwa bei che na kazi inapigwa. Goli la juzi yeye ali intercept vizuri japo wengi hawakuiona au hawaipiti credit ya kutosha kabla mpira haujanfikia Macca.

YNWA
 
So Jumapili tupo na Manchester City Anfied....
Haya waleteee hakuna namna to be the best we beat the best..

YNWA

We will Miss alot Jota and Jone’s services. Ila MF ya Endo, Macca & Szobo itakuwa poa sana. Good thing we have Bradley. Pep alichanga karate zake upande wa Trent this time around tuone ataamua kupitia wapi.

If Salah is fit kuelekea mechi hiyo, aanzie bench no need to risk much. Return inaonesha 10/3

I think our line up will be

Kelleher
Bradley
Konate
Vvd
Robbo
Endo
Macca
Szobo
Nunez
Diaz
Gakpo/Elliot

Kama Salah atacheza dk zozote on thursday basi j’2 ataanza
 
Kipara kama namuona atakavyojilesi hio siku ili mradi kutuvuruga....
There is something at Anfied hua inawaamsha amsha sana wachezaji wetu...
Hatutaki sare ni ushindi tu...
Pazuri Rodri ametumika mno na inaonyesha under presha anaachia nafasi...
Kikosi changu
Kelleher
Bradley Konate VVD Robbo
Domy Endo Macca
Diaz Nunez Gakpo.
Assuming Salah hajawa fit bado

YNWA

Same same, na hata hivyo hatuna option kubwa
 
Historia inajirudia wakati twachukua ubingwa wa EPL Allison aliumia na dogo Adrian akacheza mechi kadhaa wakati yule bwana anatimbiwa...
Msimu huu ni nafasi ya Kelleher kupewa EPL medal kwa kucheza mechi hizi...
Come on Liverpool.
We are ready.

YNWA

Na kama taarifa itakuwa hivyo, basi naona Kelleher akizidi kujiamini zaidi
 
Mwanzoni mwa msimu comments za humu zilikuwa za kinyongenyonge ila sasa zimekuwa za kibabebabe.

Nadhani kila mtu angefurahi kuona kitu kinatokea kwenye ligi cha kufanya comments zirudi kama hapo awali, japo hata kwa mwezi tu.

Kama hauona intuition hai, basi ishi kwa wakati uliopo na matukio yake.

Wengi tuliingia wasi wasi kuhusu timu bila DM na Macca alionekana kupwaya as DM. Lakini imani na msimu mzuri ilikuwepo, kwa sasa matarajio yamevuka mstari tuliouchora kwa nini tusifurahi?

Naamini hata huko kwenu mechi vs Westham na Fulham upepo ulibadilika.

Thats football.

YNWA.
 
Kipindi cha february kilikuwa kigumu kitimu ila kimatokeo sote tumefurahia. Monster mentality pia inasaidia kukupa matokeo. Nimeona tumepata 22 points kutokans na dk za mwisho ama ushindi au sare.

Subs zetu bado zinaendeleaa kuwa na mchango mkubwa msimu huu.

Licha ya ubovu wa Chelsea, ilikuwa ngumu bila mwanasaikolojia kuhusika kuwaaminisha kina Clark, Danns, Mac Connel na wengine kwamba bila ya Nunez/Salah/Szobo/Trent bado unaweza kufanya maajabu, bado ni mchezaji unayetemewa. Kumbuka ni Wembley and its a final, na sio kwamba majamaa wapo bench wapo juu huko.

Hapo ndipo kina Thiago, Adrian wanaingia kuhusiks kuamsha amsha.
YNWA.
Nyie washikaji mna mpaka mwanasaikolojia? Duuh. Watu kwenye ugomvi wa visu mnaleta bunduki 😄😄😄

Angalau sisi tulinunua kimbwa tukakiita 'Win' na chenyewe eti ndiyo ki stress relief companion cha team yetu. Imagine wahuni kama kina Gabriel wakiwa na stress eti wapetipeti kimbwa. At least hiyo haitupi advantage. Ila nyie sasa. Mwanasaikolojia kabisa? Daah! Kweli mnataka Klopp amalize na angalau ka treble.
 
Kama hauona intuition hai, basi ishi kwa wakati uliopo na matukio yake.

Wengi tuliingia wasi wasi kuhusu timu bila DM na Macca alionekana kupwaya as DM. Lakini imani na msimu mzuri ilikuwepo, kwa sasa matarajio yamevuka mstari tuliouchora kwa nini tusifurahi?

Naamini hata huko kwenu mechi vs Westham na Fulham upepo ulibadilika.

Thats football.

YNWA.
Kweli aisee. Baada ya Fulham niliwapa baraka zote nyie mkachukue tu hiki kiubingwa. Kwanza kiubingwa chenyewe sisi hatukitaki kihivyoo 😀😀 sisi bado tuko phase 3 😃😃
 
Back
Top Bottom