Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Thx Mkuu...!

Pamoja sn...!

KUNA TOFAUT KAT YA MATUSI NA MANENO YA KARAHA...kuja kwenye sred yenu haimaanishi nilikuja kutukana ila maneno ya karaha ya kumkela mpinzan wangu...but in return wenzangu wakaja na matusi na malalamiko wametukanwa...KWA WANAOJUA NILICHO MAANISHA AMAN KWAO NA WALIOTUKANA BILA KUJUA AMANI KWAO
 

walitukana sana kule kwao na mi nimajeruhi wa matusi yao,leo wamepata wakali wao wanakuja kulia lia humu et wametukanwa...MKUU NGOJA WAFUNDISHWE JINSI YA KUONGEA NDO HESHIMA IJE
 
teh teh teh teh aaahaa...naona mtaalamu wako wa lugha kapata big teacher wake...siku ile uliwaalika kwangu



Niliwaalika kwasababu wewe ndio Ulikua wa kwanza kututukana na Mimi binafsi nikakushauri Hizo lugha chafu uache lkn hukukubali na ukaendelea kupost lugha Hizo Hizo....! Unategemea sisi tufanyeje?
 
Wakuu naomba munifahamishe hivi Remmy alifeli vipimo gani liver kwa chelsea amepasi,

vipimo vyote alivyofeli Remmy ,Baloteli alivifaulu, huoni anavyotikisa vyavu pale mbele.

*Mind the Gap*
 
Sijaona thread ina watu wanatukana kama hii..




*Mind the Gap*
 
Ndiyo walivyo kufundisha walimu wako jinsi ya kuwasilisha mada zako ndiyo hivi?Maandishi ya hovyo hovyo kabisa!!

Wapi mm.nimewahi tukana?Paste hapa kuonyesha matusi yangu popote pale hapa JF

Malafyale bhana..yaan umekuja kuwatetea hao Rent boys kwa nia nzuri tu..afu kuna huyo ---- wao mwingine hapo kaja kukuita POYOYO!!!!..
 

Thats what KOPITES do..great football analysis..

Well said Mkuu...
 
Malafyale bhana..yaan umekuja kuwatetea hao Rent boys kwa nia nzuri tu..afu kuna huyo ---- wao mwingine hapo kaja kukuita POYOYO!!!!..

Mkuu hawa tunapambana nao kwa hoja tu!Mechi ya jana wao ndiyo wameadhirika sio sisi!

Akina Ntuzu wao walijua Chelsea itakuwa kama tu inafanya gwaride kuchukua point kiurahisi Anfield wakiwa na imani potofu kama wao ni bora zaidi ya kila mtu EPL

Toka jana sasa watapunguza imani hiyo na kikubwa moyoni mwao wanajua kama sio refa jana wangechapwa!Kuzuia mpira kwa mkono ukiwa wewe mtu wa mwisho ni penalty na straight red card!!

Hawa ni wepesi mno kwenye hoja
 
Last edited by a moderator:

Achana na plastic twats hao watakupotezea MUDA tu!!!!
 
Last edited by a moderator:
shabiki POYOYO na uchambuzi wa kushindwa hahaha liverfool nyie hamuiwezi chelsea napata raha sana mourinho anavyowajulia ni kuwagonga tu
 
Last edited by a moderator:



Nani kakuambia Kua Sisi tunaimani potofu? Au nani alikuambia Kua tukifika hapo kwenu ni kucheza gwaride tu na points 3 tunajibebea? Umesahau wewe Ulikua unakomalia kauli yako ya kutufunga hapo kwenu? Ulifikiri tukifika tu Basi utakua umetufunga? Hii ni Chelsea baba team with special spirit..! Km unataka kuona ukweli kwamba nyie mlikua lazima mfungwe pitia maelezo ya Ivanovic na Matic kabla ya mchezo uone walivyosisitiza kushinda huo mchezo hapo kwenu...,!
 
Last edited by a moderator:
shabiki POYOYO na uchambuzi wa kushindwa hahaha liverfool nyie hamuiwezi chelsea napata raha sana mourinho anavyowajulia ni kuwagonga tu

Cant argue with dead- brain rant who unable to use sentiment analysis to cement his position!

Ni kijana wa hovyo hovyo anayeandika hovyo hovyo aliyelelewa hovyo hovyo!
 
ndio maana siku hizi nimepunguza kuingia kwenye thread ambazo si za timu yangu kwasababu wenye hizo thread wanataka uandike au uchangie wanachopenda kusikia wao....ukiandika kinyume na wanachopenda kusikia wao[hasa hasa usifie timu yao hata kama ni mbovu] utaambulia matusi na maneno mengine ya kashfa tu bila sababu yoyote zaidi ya kuandika ukweli wasiopenda kusikia....thread mojawapo ni hii na ya chelsea naingia kwa nadra sana kwasababu hizo.

ila nilishawaambia zaidi ya mara kumi na leo nasema tena HAMNA CHENU MWAKA HUU HAMUWEZI KUUZA FERRARI NA KUNUNUA FIAT MBILI MTEGEMEE KUPATA PERFOMANCE YA FERRARI..........
 
wazee wambereko.....

poor looserfool, mbona ile bikra hukuitoa tena?! matokeo yake umetolewa ww!" ni vile ulishatolewa siku nyingi cjui sisi tuliitoa ipi?! mana zinakuaga mbili ..........

Grand PA
 
Cant argue with dead- brain rant who unable to use sentiment analysis to cement his position!

Ni kijana wa hovyo hovyo anayeandika hovyo hovyo aliyelelewa hovyo hovyo!

hata mm sitaki ku-argue na plastic fan so i simplify and you are one of the best POYOYO wa uchambuzi.
 
Thats what KOPITES do..great football analysis..

Well said Mkuu...

Thanks mkuu. Unajua tusipoteze muda wa ligi ya kujibizana na watu wa Chelsea. Chelsea who?

Surely no one with a sober mind would want to waste their precious time arguing with people from such small clubs with small mentality.
 
hata mm sitaki ku-argue na plastic fan so i simplify and you are one of the best POYOYO wa uchambuzi.

Who wanna use his precious time just to argue with crack head-empty bolded cat pussy doll?

Go back to ur thread Zombie!!
 
Remember Partrick Berger???

Birthday yake leo #41 ..
 

Attachments

  • 1415644404434.jpg
    77.9 KB · Views: 79
Wakuu nipo mwanza kikazi,huku watu wanafaidi sana soka la ulaya kupitia cable za BeInSports,jamaa wanalipa elf13 tu kwa mwezi na wanachek michuano yote kuanzia League.1,bundesliga,laliga,epl,ucl,fa,etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…