everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,027
Wakuu nipo mwanza kikazi,huku watu wanafaidi sana soka la ulaya kupitia cable za BeInSports,jamaa wanalipa elf13 tu kwa mwezi na wanachek michuano yote kuanzia League.1,bundesliga,laliga,epl,ucl,fa,etc
Aiseee!!! Ndiyo ikoje hiyo embu fuatilia ulete mrejesho mzuri halafu vilevile unaweza ukaitumia fursa ukatoka kimaisha,Dstv wanatuumiza sana aisee......