Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,274
- 12,244
Allison ana rudiMchawi Tottenham na Man u
Trent ana rudi
Jones ana rudi
Jota ana rudi
Tupo tayari kwa vita yoyote ile kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allison ana rudiMchawi Tottenham na Man u
#YNWA#Allison ana rudi
Trent ana rudi
Jones ana rudi
Jota ana rudi
Tupo tayari kwa vita yoyote ile kwa sasa.
me naona mchawi alikuwa huyu brigtonMchawi Tottenham na Man u
Man u katubabatiza juzi tu kwenye FA siyo wa kumdharau saname naona mchawi alikuwa huyu brigton
Huyu mzee mwehu 🤣🤣. Anywas nadhani BOTH LOOSING POINTS (2) ndio alimaanisha na alipatia.Klopp aliombea wote wapoteze,na wamepoteza kweli,Kila Mmoja kadondosha points 2😂😂😂View attachment 2950283
Spurs ana game na Arsenal na pia bado ana gemu na Manchester City.Mchawi Tottenham na Man u
Safi. Sisi na City tumegawana points.Tumeshachukua points 3 baada ya dakika 90 mambo mengine hayatuhusu
Spurs waliwapiga unfairly. Lipizeni kisasi.Spurs ana game na Arsenal na pia bado ana gemu na Manchester City.
YNWA
😆😆😆😆😆Safi. Sisi na City tumegawana points.
Sasa ni sisi na nyie kuhakisha tunashinda mechi zetu zote mpaka tumuache City kwa points 6 hivi. Then hapo nyie mnaweza kupoteza moja, sisi tuwapite kwa point 1 na tubebe zetu kombe
Spurs waliwapiga unfairly. Lipizeni kisasi.
Usiseme sisi na nyieSafi. Sisi na City tumegawana points.
Sasa ni sisi na nyie kuhakisha tunashinda mechi zetu zote mpaka tumuache City kwa points 6 hivi. Then hapo nyie mnaweza kupoteza moja, sisi tuwapite kwa point 1 na tubebe zetu kombe.
Hawa twende nao sambamba kwanza ili tumuache City nyuma. Mwishoni ndiyo wajikanyage tuwapite 😂😂. Kama vipi wabebe ndoo wao ila si kipara.Bado unakuja kuwalamba visogo Hawa kuku videri...una moyo sana mkuu...Hawa watatoka pale juu watake wasitake🤠🤠🤠...Saint Anne na kikundi chenu hifadhini haya maneno
Unaagua kutoka wapi ndugu mjumbe?😂Bado unakuja kuwalamba visogo Hawa kuku videri...una moyo sana mkuu...Hawa watatoka pale juu watake wasitake🤠🤠🤠...Saint Anne na kikundi chenu hifadhini haya maneno
Kwa hiyo dua zetu, dua za timu kubwa kuwaombea nyie mafanikio, mnaziita ramli za timu ndogo?Usiseme sisi na nyie
Sisi tayari ni mabingwa 😂
Tumekaa kileleni hatutoki.
Hatujadili ramli na timu ndogo.