Wakuu nipo mwanza kikazi,huku watu wanafaidi sana soka la ulaya kupitia cable za BeInSports,jamaa wanalipa elf13 tu kwa mwezi na wanachek michuano yote kuanzia League.1,bundesliga,laliga,epl,ucl,fa,etc
Aiseee!!! Ndiyo ikoje hiyo embu fuatilia ulete mrejesho mzuri halafu vilevile unaweza ukaitumia fursa ukatoka kimaisha,Dstv wanatuumiza sana aisee......
Wakuu nipo mwanza kikazi,huku watu wanafaidi sana soka la ulaya kupitia cable za BeInSports,jamaa wanalipa elf13 tu kwa mwezi na wanachek michuano yote kuanzia League.1,bundesliga,laliga,epl,ucl,fa,etc
BELLAMY on MANURE UTD
bila kutaja hio timu siku yako haikamiliki.....
Hii ya mwanza kweli,Dstv wanatupiga kama siyo kutuimbia,uzuri wa cable unaweza kuwaupdate siku za machi tu,kama vocha
Niliwaalika kwasababu wewe ndio Ulikua wa kwanza kututukana na Mimi binafsi nikakushauri Hizo lugha chafu uache lkn hukukubali na ukaendelea kupost lugha Hizo Hizo....! Unategemea sisi tufanyeje?
Iende sambamba na hii
this boys impress me game after game