Livanyeto naona kipigo cha 4 tulichowapiga kwenye FA Cup hakijawatosha bado mna hamu wahuni tuwasimamie ukucha , wahuni tuwakazeWewe ni qumanina, hujui mpira umbwa wee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Diazi hana tofauti yoyote na Raheem Sterling, atakufurahisha mechi 1 halafu anakukera mechi 5.Dah so Diaz ni kiazi?! Mnaangaliaga mpira au mnasikiliza redioni. Mtu anafanya movement relentlessly 90' every match (kakosa utulivu kidogo tu) toa Diaz unaweka nani kule pembeni atakaeclick vizur?!
Ongezea na Salah hapo.Jota ni very clinical mbele ya goli mkuu, huwezi kumlinganisha na kina diaz/nunez
pole sanaKonate angekuwepo wala tusinge toa draw Klopp bhana kacheza karata yake vibaya
Tupeni huyu dogo na sisi tuwape NketiahEdward akinitolea hiyo takataka nitafanya sherehe
Hapa tunazungumzia lugha ya Mpira Wewe unaleta lugha za Chitchat na MMU jaribu kuwa na ustaarabu hata kama ni anonymousLivanyeto mnabebwa sana kama vipi tukutane tuzichape kavu kavu maana uwanjani mnabebwa lakini ndo hivyo hambebeki
We jamaa unapenda sana kusema ukweli. Ila elewa kuwa wenzako sasa hawahitaji ukweli. Wao wanataka kusikia kile watakacho wao. Wadanganye kidogo.Mchezo unaofuata tukishinda hizi comments za leo za kulaumu/kutukana/kudharau zinapotea na kuanza kusifia.
Livakuku ustaarabu mmeuanza lini?Hapa tunazungumzia lugha ya Mpira Wewe unaleta lugha za Chitchat na MMU jaribu kuwa na ustaarabu hata kama ni anonymous
Andika lugha ya Mpira Mkuu halafu adabu sio kama nguo nzuri ukivaa ukatoka nje watu watakuona na kukusifia, lugha za hovyo sio Ujanja ili ni ujinga tu.Livakuku ustaarabu mmeuanza lini?
Lugha ya mpira peleka skysport mchambuzi uchwaraAndika lugha ya Mpira Mkuu halafu adabu sio kama nguo nzuri ukivaa ukatoka nje watu watakuona na kukusifia, lugha za hovyo sio Ujanja ili ni ujinga tu.
Jota ni very clinical mbele ya goli mkuu, huwezi kumlinganisha na kina diaz/nunez
We jamaa unapenda sana kusema ukweli. Ila elewa kuwa wenzako sasa hawahitaji ukweli. Wao wanataka kusikia kile watakacho wao. Wadanganye kidogo.
Nothing personal, ila tatizo lako mkuu ni kujiona huko sahihi kwa kila post yako. Napenda kuwatetea hao wanaokupinga, hata wao wako sahihi ni vile hujaangalia factors walizoangalia wao. That's it.Vijana wanapenda zile Story za Saint Anne za kuwa tutamfunga Manure 10 ndiyomana nilipoweka zile prediction zangu za kuwa Mechi ni sare au tunaweza kupoteza kuliko kushinda wakaanza kupinga.
Hawakujua kuwa kwenye utabiri niliangalia Factors nyingi sana tofauti nao wanachoangalia ni kimoja tu kuwa tulimfunga 7 hivyo kila mechi wanaangalia na matokeo yao mfukoni.
Wakishapoteza mchezo wanaanza matusi.
Hawa kiufupi ni wale washabiki wa Simba na Yanga ndiyo wamefika huku tena juzi 2016/17 tu baada ya kuja Klopp hapa Liverpool.
Washabiki uchwara hao wanvuma na upepo,Mchezo unaofuata tukishinda hizi comments za leo za kulaumu/kutukana/kudharau zinapotea na kuanza kusifia.
Liver uharo, liver kuku, liver melon , liver kifarangaWashabiki uchwara hao wanvuma na upepo,
nashangaa watu wanavyomlaumu Diaz ila sijaona mtu akimuongelea Nunez kabisa wakat hakuwa mchezoni dk zote 90.
Nothing personal, ila tatizo lako mkuu ni kujiona huko sahihi kwa kila post yako. Napenda kuwatetea hao wanaokupinga, hata wao wako sahihi ni vile hujaangalia factors walizoangalia wao. That's it.