King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
Washabiki uchwara hao wanvuma na upepo,
nashangaa watu wanavyomlaumu Diaz ila sijaona mtu akimuongelea Nunez kabisa wakat hakuwa mchezoni dk zote 90.
Washabiki uchwara hao wanvuma na upepo,
nashangaa watu wanavyomlaumu Diaz ila sijaona mtu akimuongelea Nunez kabisa wakat hakuwa mchezoni dk zote 90.
Washabiki uchwara hao wanvuma na upepo,
nashangaa watu wanavyomlaumu Diaz ila sijaona mtu akimuongelea Nunez kabisa wakat hakuwa mchezoni dk zote 90.
Don't get it twisted, sipo hapa kukusahihisha wala kujaribu kutafuta data wanazotumia hao wadau wanaokupinga.Niambie ni factors gani uliyoiangalia kwao inayosapoti haya mambo mawili π
1) Kungalia mpira ukiwa na matokeo mfukoni.
2) Kutukana Wachezaji baada ya matokeo yaliyowekwa Kibindoni iwapo hayakutokea.
Mimi sipo sahihi lakini naomba unisahihishe kwa hayo mambo mawili kwasababu kama mtu kadiriki kuwa na matokeo yake mfukoni inamana alijuwa kuwa Wachezaji wake ni wazuri sasa huo ubovu baada ya dakika 90 umetokea wapi?
Kama alijuwa Salah, Gakpo, Diaz, Quansah ni wabovu alikuaje akawa na matokeo yake Mfukoni kuwa lazima Manure atakufa?
Hebu turudi kwenye logic kwa kunipa ufafanuzi wa hayo π niliyoyaandika.
Tusipochukua nakuombea uchukue mkuu sio kipara aisee.We jamaa unapenda sana kusema ukweli. Ila elewa kuwa wenzako sasa hawahitaji ukweli. Wao wanataka kusikia kile watakacho wao. Wadanganye kidogo.
Tupambane tuombe wote tushinde mechi zetu zote na kipara apoteze hata 3 π. Niongoze ligi, ufuate wewe, halafu yeye. Ikishindikana basi sisi tubadilishane nafasi ila yeye asizidi wa 3 π.Tusipochukua nakuombea uchukue mkuu sio kipara aisee.
Tupambane tuombe wote tushinde mechi zetu zote na kipara apoteze hata 3 π. Niongoze ligi, ufuate wewe, halafu yeye. Ikishindikana basi sisi tubadilishane nafasi ila yeye asizidi wa 3 π.
sure mkuu ndio lakuombe hili naona mashabiki wa manyumbu hawataki hatab wewe uchukue wanataka kipara achukue eti haahaa washapoteana sijui ni mwaka wangapi huu kombe hawalijui.Tupambane tuombe wote tushinde mechi zetu zote na kipara apoteze hata 3 π. Niongoze ligi, ufuate wewe, halafu yeye. Ikishindikana basi sisi tubadilishane nafasi ila yeye asizidi wa 3 π.
wewe huelewi hilikombe nisipobeba mimi beba wewe na sio kipara ndio karata yetu tupambane kwa hilo dua mbaya sana kwake adrow ama apoteze roho mbaya roho mbaya tuu.Huu ni ushkaji wa mashakaπ€ π€ ...hakuna urafiki wa hivi..sisi tunaombea Livakuku a draw tu mechi 2 ila kipara afungwe...Klopp akabebe Europa kule linamtosha...aache tamaa ya makombe mengi huo ubavu hana
kama ndio rahisi hivyo mbona liverpool kafungwa mechi 2 tu mpaka sasa kwenye ligi? washindwe ulaya kumzibiti liverpool uone wewe huku bongo? maajabu haya.Nimeangalia game za liver kama 3 hivi zilizopita.
Pamoja na kushinda, lakini ushindi wenu hauridhishi.
Niliona mnapata shida kufungua low blocks, mpinzani wenu akiwashambulia mpo open sana, na mnakosa magoli mengi
Nikajua TU Hawa wakikutana na Manyumbu lazima adondoshe points.
Timu yoyote mtakayokutana nayo, kama inacheza low block & transition, basi jua shughuli itakuwa ngumu
Acha sisi twenzetu kivyetu. Mimi namkubali sana Kipara na nina appreciate kazi aliyofanya ila inatosha kwa kweli. Wakati umefika wa kwake kupata ushindani wa maana na kuanza kutolewa jasho na wazee wa ligi OG, yaani Arsenal, Liverpool na Manyumbu. Sasa kama manyumbu hawataki kujiunga nasi kurejesha hii ligi mikononi mwa wamiliki halali, waache walale sisi tupambane. Ikiwezekana waungane wawe timu moja wote waitwe Mamacita ili wabebwe na dada zao na sisi tuwapige wote kwa pamoja.sure mkuu ndio lakuombe hili naona mashabiki wa manyumbu hawataki hatab wewe uchukue wanataka kipara achukue eti haahaa washapoteana sijui ni mwaka wangapi huu kombe hawalijui.
Hata usipokuwa urafiki, unakuwa muungano (alliance). Tufanye mambo ya ki Game of Thrones flani hivi tumshinde Kipara kwanza halafu baadae tunaweza kugeukana.Huu ni ushkaji wa mashakaπ€ π€ ...hakuna urafiki wa hivi..sisi tunaombea Livakuku a draw tu mechi 2 ila kipara afungwe...Klopp akabebe Europa kule linamtosha...aache tamaa ya makombe mengi huo ubavu hana
nakubali.Hata usipokuwa urafiki, unakuwa muungano (alliance). Tufanye mambo ya ki Game of Thrones flani hivi tumshinde Kipara kwanza halafu baadae tunaweza kugeukana.
Ni sababu pia, embu angalia pia makosa ya kitoto kabisa yaliyofanyika kwenye hiyo mechi yameonesha jinsi gani hatuja matureKwasababu hatujamfunga Manure?
Tupambane tuombe wote tushinde mechi zetu zote na kipara apoteze hata 3 π. Niongoze ligi, ufuate wewe, halafu yeye. Ikishindikana basi sisi tubadilishane nafasi ila yeye asizidi wa 3 π.
Ni sababu pia, embu angalia pia makosa ya kitoto kabisa yaliyofanyika kwenye hiyo mechi yameonesha jinsi gani hatuja mature
Kipara ikifika stage kama hii yupo kileleni hata acheze na timu gani hatoki kileleni ng'oo
Kwa Spurs nawwza kukubalia kuna draw...ila Manunu mkuu hata wapaki kontena pale mbele tunawatwanga...nyny mmefanya kosa sana kutowadunda...hakuna timu rahisi kucheza nayo kama Manunu...maana yapo very open....ngoja hyo siku ifike halafu ntakukumbushaDunia ya soccer sasa hivi imetawaliwa na Washabiki Matoleo Mfukoni π
Nimeona mashabiki wa Arsenal wanaipangia Liverpool kupoteza kwa Spurs na Draw kwa Everton huku wao wakiamini kushinda michezo yote iliyobakia na kubeba Ubingwa π
Sasa ukiangalia matokeo ya Liverpool na hizo Timu mbili kwa miaka yoyote unayotaka kama ni 5 mfululizo au 10 mfululizo ndiyo utacheza mwenyewe sasa Spurs kashinda Lini Anfield au hata sare tu kwa misimu 5 iliyopita ndiyo utapata mshangao kwanini hii Spurs mbovu Arsenal wanajiaminisha kumzuia Liverpool π
Mimi kwa uoni wangu ninaoangalia mpira sina uhakika kama Liverpool inaweza kushinda mechi zote zilizobakia ingawa on paper LiverpoolFC inaonekana ina very easy fixtures compared to Arsenal.
But kwa kuangalia factors zangu za kimpira Arsenal hatomfunga Manure na Spurs naenda zaidi kwa draw 50%, Lose 30% na Win ni 20%.
Hapa wengi/karibia wote tunaongea matamanio/ndoto zetu. Wote tunatamani timu zetu zisifungwe kabisa na wenzetu wafungwe lau kidogo na ikiwezekana wapigwe sana tu ππDunia ya soccer sasa hivi imetawaliwa na Washabiki Matoleo Mfukoni π
Nimeona mashabiki wa Arsenal wanaipangia Liverpool kupoteza kwa Spurs na Draw kwa Everton huku wao wakiamini kushinda michezo yote iliyobakia na kubeba Ubingwa π
Sasa ukiangalia matokeo ya Liverpool na hizo Timu mbili kwa miaka yoyote unayotaka kama ni 5 mfululizo au 10 mfululizo ndiyo utacheza mwenyewe sasa Spurs kashinda Lini Anfield au hata sare tu kwa misimu 5 iliyopita ndiyo utapata mshangao kwanini hii Spurs mbovu Arsenal wanajiaminisha kumzuia Liverpool π
Mimi kwa uoni wangu ninaoangalia mpira sina uhakika kama Liverpool inaweza kushinda mechi zote zilizobakia ingawa on paper LiverpoolFC inaonekana ina very easy fixtures compared to Arsenal.
But kwa kuangalia factors zangu za kimpira Arsenal hatomfunga Manure na Spurs naenda zaidi kwa draw 50%, Lose 30% na Win ni 20%.
πππ Saint Anne sijamuona huku wala kule kwetu kwa muda mrefu usio kawaida. Sasa sijui ni ile sare na Manyumbu imemkosesha raha au amejichimbia mahali anatuombea mabaya...Kwny mafanikio hakuna ushkaji Bro...kuna shangazi hmu anaitwa Saint Anne ana maneno ya shombo sana...tukikosa hili kombe sura zetu tutaweka wapi...maana ana maneno ya kufyatua yule kiumbeπ€ π€
Kwa Spurs nawwza kukubalia kuna draw...ila Manunu mkuu hata wapaki kontena pale mbele tunawatwanga...nyny mmefanya kosa sana kutowadunda...hakuna timu rahisi kucheza nayo kama Manunu...maana yapo very open....ngoja hyo siku ifike halafu ntakukumbusha