Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hz ndio hoja za copy and paste? Angeniambia Captain Marvelous kuwa sina hoja kweli ningetulia ila ww wa copy and paste huniumiz kichwa.
 
Mapema leo, wachezaji, wafanyakazi na viongozi waliweka mashada ya maua kwenye Ukumbi wa Hillsborough uliopo Anfield ili kutoa heshima zao katika kuadhimisha miaka 35 ya msiba huo.
 
Acha nije kupumzika huku. Kule kwetu nzi kibao mpaka giza mtu haoni mbele.

Sasa washkaji zetu, huyu kipara tumuache tuendelee na mipango ya ulaya au tukomae naye?

Yani hapa ni kama Fisi tu tutafuatana na Kipara mpaka tuhakikishe ameshaingia ndani na kufunga mlango ndiyo turudi maporini.
 
Wewe andaa Kasuti Kako kama kale ka Mama Samia kwa ajili ya kusherehekea Ubingwa wa EPL, bites utavikuta location.

#PamojaTunashindaEPL2024
Badala ya kuandika huwa hasemi uongo,nimeandika ukweli 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Nilishaandaa nguo zangu pambeee
Liver bingwa

YNWA πŸ”₯πŸ”₯
 
Kwahiyo wewe unaona Liverpool haijafeli?

2014
2019
2021

Hopes zilikua hizihizi, labda miujiza ndio ianzie hapa sasa, lakini kwa nnavoijua hii timu na mpinzani aliyejuu yetu kipara, Ngoma imeshaisha hiyo

Hata body language ya kina Vandijk inaonesha tayari wameshatupa taulo

Achana na kufungwa na palace, kipimo sahihi kilikua mechi ya Old Trafford, makosa binafsi yasiyoeleweka yalianza kujitokeza pale.

Umesahau zile back to back draw za 2019?

Safari hii ni back to back vipigo na sare
 
Hz ndio hoja za copy and paste? Angeniambia Captain Marvelous kuwa sina hoja kweli ningetulia ila ww wa copy and paste huniumiz kichwa.
Grau relax bro.
Hakuna namna vijana wanahitaji supa recharge hizi gemu zilizobaki tuwe salama na kuwaombea vipigo Manchester City na Arsenal.

Next gemu EPL ni Everton kwao sio powa sanaa kwetu maana kwenye derby hua haina mwenyewe.

Tushikane pamoja kuwaombea mema vijana warejeshe accuracy pale mbele.

YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…