Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndio mpira ulivyoKuna baadhi ya team au mechi ni kama vile kuna uchawi.
Chelsea hata awe mbovu vp kln kwa Tot lazima apate matokeo mazuri na Man City ht awe na ubora vp lazima apate shida kwa Tot ambaye n mbovu.
Arsenal kushika bomba haweziii.. Man city anabebaa.Hili kombe achukue arsenal tu
Akichukua mwasiti itakuwa ni upuuzi wa kiwango cha ajabu
Tottenham sio wa kubeza, huwa hawaeleweki eleweki.Tottenham weupe, sema everton akicheza kama leo, basi mtatoshana nguvu
hadi magwayaa jana kafungaaa.. nunez sasa🤣🤣🤣Usingizi anapata wapi katikati ya vita vya Israel na Gaza
Nmeshangaa anawezaje kulala na hiyo hali.Usingizi anapata wapi katikati ya vita vya Israel na Gaza
Totenham sio timu ya Kuiamini tena yani kwenye wale top 4 big tushamsahau..Tottenham sio wa kubeza, huwa hawaeleweki eleweki.
Nunez ni KIBU aliepo ulayahadi magwayaa jana kafungaaa.. nunez sasa🤣🤣🤣
Nia ajabu clear chances anazokosaaa yani daah..Nunez ni KIBU aliepo ulaya
Sikatai ila sio gem rahisi kwa arsenal.Totenham sio timu ya Kuiamini tena yani kwenye wale top 4 big tushamsahau..
Subirini kidogo Mansite acheze mechi zake 2-3 tuone uelekeo wa upepoYa Ligii yamemaliza sasa mjadala uhamie kwa New Head Coach.
Amorin vs Slot
Kura yangu kwa Slot ndiye atakayetua Liverpool
Hana utulivu, alivyosajiliwa nilijua atakuwa ni hatari, kumbe klopp alikua sahihi kutokumuanzisha.Nia ajabu clear chances anazokosaaa yani daah..
Game ya pili sasa anafunga. Ya jana na ile ya FA dhidi ya coventy city.hadi magwayaa jana kafungaaa.. nunez sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo ya 3 tujaze sisi wasomaji, ama?Baada ya sisi kuondolewa kwenye mbio za ubingwa kuanzia sasa nasimama na Arsenal.
Sababu zangu ni
1. Kwa msimu wa pili sasa wamepambana sana kuupata ubingwa. Wanafail kizembe.
2. Kusimamisha ubabe wa city kuendelea kuitawala epl.
3.
UpSubirini kidogo Mansite acheze mechi zake 2-3 tuone uelekeo wa upepo
Brighton kwa kweli afanye kitu pale kwake auonyeshe ulimwengu kwa nini alikuwa hajafungwa pale tangu Agosti, kabla ya Asenali kufika pale na kumpiga 3-0.Leo tupo American express stadium tumeshafika mapema na majamvi...Inciso ana jambo lake leo🤠🤠
Up
Narudia tena...mechi ya jana niliipa nickname ya ugomvi wa mawe🤠🤠..na kuna watu jambo baya limewakuta...leo ni mambo ya shotokan au kodachi miksa mikareti ya shivo....De Zerbi lazima ang'ang'anie shingo ya Guardiola leo🤠🤠Brighton kwa kweli afanye kitu pale kwake auonyeshe ulimwengu kwa nini alikuwa hajafungwa pale tangu Agosti, kabla ya Asenali kufika pale na kumpiga 3-0.
Una akili sana mkuuBaada ya sisi kuondolewa kwenye mbio za ubingwa kuanzia sasa nasimama na Arsenal.
Sababu zangu ni
1. Kwa msimu wa pili sasa wamepambana sana kuupata ubingwa. Wanafail kizembe.
2. Kusimamisha ubabe wa city kuendelea kuitawala epl.
3.