Hawa Cytzens sijui kwanini kesi zao zinakua ngumu hivi? Mbona kesi za Everton na Nottingham maamuzi alikuwa ni ya haraka sana?Mkuu tujiadae kunyanyua kwapa ushindi wetu wa 2014 EPL ama namna ganiiiii.
YNWA
Jamaa wana jopo la wanasheria na ukumbuke ni makosa lukuki hivyo sio machache au direct kama ya Everton au Forest.Hawa Cytzens sijui kwanini kesi zao zinakua ngumu hivi? Mbona kesi za Everton na Nottingham maamuzi alikuwa ni ya haraka sana?
Kuna kale kamsemo hua wanasemaga... Doing things Liverpool way.. Maanake ni kwamba hakuna kutoa taarifa kwa media mpaka pale zina uhakika kwamba ni done deal..King Ngwaba Captain Marvelous The MoNA TIMING Ladder 49 na Fans wote wa LFC Kuna swali hapa nimejiuliza hivi ni kwanini Kocha au mchezaji akivuma Sana kuja Liverpool kwenye media huwa hasajiliwi?
Tumeona kwa Kocha Amorim na Wachezaji wengine tu walihusishwa kama Mathis De Ligit, Caicedo na wengineo?
Tuna midomo sana😂😂😂King Ngwaba Captain Marvelous The MoNA TIMING Ladder 49 na Fans wote wa LFC Kuna swali hapa nimejiuliza hivi ni kwanini Kocha au mchezaji akivuma Sana kuja Liverpool kwenye media huwa hasajiliwi?
Tumeona kwa Kocha Amorim na Wachezaji wengine tu walihusishwa kama Mathis De Ligit, Caicedo na wengineo?
😁😁😁Tuna midomo sana😂😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mshaurini siku yake ya kwanza kwenye Press asiropokwe hovyo kama Baba Ubaya na zile tambo zake za "An era come to an end"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Baba ubaya kashaletewa mdogo wake kwenye Epl halafu wewe unataka aende wapi?Kwahiyo msimu ujayo nyumbu anaendelea na baba ubaya?
Kama game ya everton aliharibu sana kubadili winnin formulaKlopp wakati mwingine amejiangusha mwenyewe na upangaji wa kikosi na kuna wakati anafanya sub za panic mode jambo ambalo kwenye mpira halina nafasi kabisaa aisee...
Mzee wetu amepambana uwezo wake na uwezo wa wachezaji wake ndio wameishia hapa walipo... Sina mashaka na uwezo wa Edwards hata akisema anafumua kikosi upya tuanze ruksa uza Salah, VVD, Nunez, Diaz na wengine wala sina hofu nae.
Salah ishu waarabuni haijakaa sawa sana maana wamekua wajaja waarabu wataka kubadili mwelekeo wa usajili hawatak wazee mbali vijana sasa ili kujenga ligi yenye mwedelezo nadhani wamestuka aisee kwamba wazee wanafuata ela pale ili wastaafu unono na sio kingine...
YNWA
lpKitakachofuata baada ya kupunguza uzito ni kifo
Too early to give up, I still see a rough road ahead for each of the 3 aspirants