Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwisa habari yetu! Tumeishia kuongoza ligi muda mrefu na kutoka mikono mitupu! Mchuano tumewaachia Arsenal na Man City! Tukutane msimu ujao👋👋
Kipara anachozizidi timu zote, ni jinsi ya kushinda mechi zake zote au karibu zote za mwisho wa msimu.

Liverpool mmeaga mashindano, ruti ndefu pumzi fupi, hata Arsenal hana chake, Kipara anashinda game zake zote zilizobakia.

Kipara akiendelea kuhudumu Epl kwa miaka mingine 10 ijayo, atafuta rekodi zote za Ferguson.
 
Katika mechi 8 zilizopita tumefunga magoli 12 tu.

Hivyo Pleas Klopp ondoka na Washambuliaji wako wote tutasajili wengine tuanze upya.
 
"what you want me to do ,you disrespect me I disrespect you ,no way" Salah akimchana klop mbele ya camera [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…