Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

MSIMU ULIISHA KABLA HAUJAISHA.

Kwangu msimu wa Liverpool ulimalizika mechi ya Utd FA cup, toka pale niliona hali itakuwa mbaya sana. Mimi ni muumini wa mpira mzuri, sasa kwa tulivyocheza bila PASSION, AGGRESSIVE, COMMITMENT, we were like hey we will score anytime. Tulipoteza loads of chances bila hata kuonesha ishhh.!!!! WTF


Utd waliitaka ile mechi kuliko LIVERPOOL alivyoitaka. That match was supposed to be put on the bed only 1st Half kwa Liverpool. Utd walikuwa tayari baana eh tufungeni tu mnaweza kuliko sisi, tukashindwa, walipopata magoli wakaona ahaa kumbe its possible lets pushing guys BOOM wakafanikiwa. Again Klopp alizingua ile mechi kwa subs zile.

Mechi zilizofuata yalikuwa yale yale tu nothing new, nikaitoa LIVERPOOL kwenye mbio za ubingwa maana sikuon mabadiliko yoyote ya kimbinu wala kiakili. Wachezaji wanacheza wakiwaza next season itakuwaje? Hawana future baada ya Klopp na jopo lake kuondoka (its a massive clear out, mpaka wapishi wanaondoka), je kama ni wewe utakuwa na utimamu wa akili? Jibu ni Hapana, even Klopp ni kama alishaumaliza msimu tayari kwenye mechi ya Palace (0-1).

Anyway mambo kadhaa naona yametuporomosha kutoka quadruple mpaka kubaki na kikombe kile cha CARABAO.

1. Klopp’s issue
Lawama namtupia Mr.JK kwa sababu kutoka season inaanza tulikuwa na magonjwa kadhaa a) defensively as a team and poor performance 1st half. Hapa akatupa na jina “MONSTER MENTALITY” tukaona Yes, sisi ndio mashujaa tunaweza kutanguliwa na tulamsulubu mtu, tukachukulia ni sehemu yetu ya msimu huu. Mimi mmoja wapo niliona YES sisi ndio wababe YNWA”, kumbe tunapika BOMU na limekuja kulipuka mwishoni, quadruple ileeee.

Ni ngumu sana kuwa bingwa huku mara 21 umetanguliwa kufungwa kati ya mara 35. Record mbovu sana hii mbaya sana hii. Hatustahili kubeba EPL kama vile ambavyo tayari imeshatokea. Arsenal deserve alot especially 2nd round of the season. They are deserving ahead of City but always City is City, Pep is just Pep anapoona kuna uwezekano.

Klopp alishindwa kuiset timu yake kimkakati, unajua ukituangalia tunavyofikiwa kwenye final third kiwepesi na baaada ya hapo ni mipira inapenya nyavuni tu kwa sababu tunakosa hata Individual brilliance. Kwa nini inakuwa hivi? Patterns zetu zinakuwa mbovu sana, Hatuna mapafu ya mbwa pale kati, tayari Endo amechoka (excessive game time) Szobo isnt the same too, Jones amerudi kwenye asili yake ya kichezaji (to hodl ball too much even kwenye moves za maana). Graven akili inataka mwili hautaki, Macca [emoji91][emoji91][emoji91] ndio kiungo tunayemtegemea zaidi, akifuatiwa na ELIIOT akicheza as RCM na akitokea sub. Nafikiri ilikuwa vyema Klopp acheze na double pivot (Endo & Macca, Endo as anchor and Macca as Play marker) kisha mpr Szobo free role offensively, change 4-3-3 to 4-2-3-1 uangalie itakulipa au lah.!!


Mpira wa Klopp ni SPEED & ENERGY ila kwa Sasa mwenye uwezo wa kufundisha matumizi ya SPACE & TIME anafanikiwa zaidi. (Pep, Arteta,Amorim, Alonso, De Zerbi n.k) kwa Klopp imekuwa tofauti kidgo.
IMG_5133.jpg



Embu angalia Liverpool wakicheza halafu angalia na timu kama City, Arsenal, Brighton, Fulham, angalia moves zao ni za hatari kuanzia build up mpaka final third ya mpinzani. Sasa inatokana na uwezo wa kocha kuunda patterns mbali mbali za miondoko. Liverpool tukicheza kila mchezaji lazima atapigiwa pasi atapokea atakaa nao atleast 1-2 seconds, wengine watatumia even 2-4 seconds hawa ni attackers wetu. Sas tunakosa hizo moves za hatari kwa kishindwa kutumia SPACE & TIME vyema.

Klopp yupo na sisi kimwili ila kiakili hayupo nasi. Toka game ya FA mpaka ya Westham hatujabadilika kitu kiuchezaji. Aisee ilibidi nimuelewe Klopp na kauli ya kuishiwa nguvu ya kufundisha ni 100% True tusimuhukumu hata kidogo. Angalia Line up vs Atalanta, angalia subs zake dah.!!

Nafikiri niseme tuThank You Klopp for everything, ulitupa furaha na huzuni japo furaha ilidumu kuliko huzuni. Best of luck.

2. Kwa wachezaji.
Pamoja na Klopp na mapungufu yake yakujirudia rudia (2020/2021) last season na msimu huu, ila kwa sasa lawama wabebe wachezaji nao kubwa tu.

Embu angalia mechi ya utd EPL (Nunez alivyokosa)
City at Anfield (Diaz with one Glorious chance and second chance looks min glorious chance) Gakpo vs City vs Utd Yaani hii imeenda mpaka kwa Salah toka arudi kutoka injury hajawa Salah yule yule anakosa magoli ya kipuuzi, anapiga mashuti unashindwa kuelewa ndio anajifunza kucheza au ni mzoefu huyu? Jota (clinical ila injuries sasa dah.!).

Kuna moves tunazitengeneza za 5v2 4v2 lakini end product ni 0. Ila cha ajabu kwetu inatokea 4vs 3 lakini tunaruhusu, yaani tuna wachezaji wanne kwenye eneo letu la mwisho na wapinzani wapo watatu ila wanafunga. Ndio ile inaitwa MWAKA WA NJAA.
IMG_5132.jpg

IMG_5131.jpg

d88adb9b-0729-48a8-99a9-819898163c35.jpg

Ona hizo chances. Yaani hakuna mchezaji ana nafuu awapo golini wanakosa utulivu wa akili.
IMG_5134.jpg

Hii picha nimeambatanisha huko juu kwenye maelezo ya shida ya Klopp, ona hao Fulham walivyonipanga, kawaangalie Atalanta both matches, angalia, palace, Everton miundo ni hiyo hiyo tu. Hapo wana deal na wachezaji wawili tu ENDO na Macca Basi kina Vvd, Quansah, Konate, Robbo, Alison watajipigia mipasi weeeeee wao wakipata ni quick moves tayari tumefikiwa.

Anyway Thanks Klopp anaondoka kwa sababu hawezi kutu offer kingine kipya.

YNWA.
 
TUZUNGUMZIE LIVERPOOL YA MSIMU UJAO.

Kwa ufupi Liverpoo imemaliza msimu wake rasmi mafanikio ni sealed UCL spot and Carabao Cup. Haya ni ndani ya uwanja ya nje huko tuachane nayo kwa sasa.

Sasa Liverpool ya msimu ujao itakuwaje bila Klopp na jopo lake?.

Ipo hivi baada ya FSG kumbembeleza sana Klopp abaki na kukataa kata kata, FSG waliona sehemu sahihi ni kurudi kwa Michael Edward, kwa nini? Wanajua uwezo wake kwenye mambo ya mpira (biashara ya mpira yupo vizuri). Wakaona wamtumie yeye kuiunda timu upya maana kuna kuondoka watu wengi sana. Ukiacha upanuzi wa uwanja kumrejesha Edward ni mojawapo ya Furaha FSG wamewahi kunipa.

Sasa basi Edward aliwavimbia mara ya kwanza akijua fika FSG watarudi tena, na kweli FSG walirudi kwa nguvu zote kwa Edward, sasa hivi ilikuwa ni Edward aseme anachotaka ili arejeshwe. Edward hakutaka mambo mengi mpunga mrefu, aliwaambia “I WANT FULL TAKE OVER” yes alitaka awe na mamlaka na sio nusu nusu kama alivykuwa kwa Klopp. FSG agreed the deal maana walikuwa wahitaji kuliko Edward. Edward ana kampuni yake ya data (ulaya ukibobea kwenye data analysis unaula tu). Hivyo hakutetereshwa na deal la FSG, tupambane tuondokane na NJAA kama Edward ili upate heshima. Imagine FSG mabosi wanapiga magoti kwa bwana mdogo Edward. Funny.

Anyway twende mbele, jambo la kwanza Edward alimchagua Richard Hughes as Sporting director ( jamaa hawa washkaji), Edward akampa jamaa shavu, ngoja tuone itakavyolipa.

Next move ilikuwa ni kumtafuta Kocha. Edward wanted Alonso, Alonso akachomoa deal akaamua kubali Leverkusen kwa msimu ujao. Naona mambo mawili kwa Alonso kwa nini alikataa deal
1. Bado anaona hajawa tayari kwa deals kubwa, pressure kwa Leverkusen itakua ndogo kutokana na udogo wao kimafankio, hivyo atamudu na kuiongoza Leverkusen kwenye CL league yenye new format.

2. Anataka kuprove watu wrong kwamba kabahatisha na moments kama hizi hutokea nadra sana.

3. Anategea deal la kwenda Madrid baada ya Don Carlo kuondoka. Anaipenda Madrid over Liverpool, Spanish guy, amecheza pale kwa mafanikio, amekuwa kocha wa U18 pale, anamafungano na Madrid over LFC

Anyway Edward hakufikiria kuendaelea na deals za Alonso”, akapaa kutoka Ujerumani huyoooooo mpaka Uholanzi akatua pale Feyernood akakutana na kipara mmoja anaitwa ARNE SLOT. Mwamba mwenye mpira wake. Baada ya msimu wa 2022/2023 kukamilika Chelsea na Spurs walienda kuzungumaz na Slot kwa ajili ya kumchukua kama alivyofanya Alonso kwa LFC ndivyo Slot akawafanyia wanaLondon hao.

Tumzungumzie our own BALD, Mr. Arne Slot bwana na sisi LFC tumeona City wanafaidi na kipara wao na siye wacha tukamtafute wa kwetu, kisha tukapiga hesabu tena kuwaonea gere utd na kipara wao tukaona na siye isiwe tabu tukapita nae alipotokea kipara wa utd. Msimu ujao tuna vipara watatu, jiji la Manchester na jiji la Liverpool wawili tumewaona hao kutoka Manchester ila mmoja ngoja kwanza.

Baada ya kupendekezwa kumrithi Klopp Edward jambo la kwanza alipunguza majukumu kwa Slot akamwambia tunakutaka ila utakuwa Coach na sio Manager.
Utofauti wa hapo ni kwamba Coach anahusika na mambo ya ndani ya uwanja tu, training, kupanga line ups baasi, ila manager anafanya haya na anahusika moja kwa moja kwenye kusajili. Its a British traditional. Bwana Edward akaona lets go anti clockwise yaliyotokea kwa Klopp yasitokee kiwepesi.

Hivyo Mfumo ni kwamba Slot atapeleka report zake kwa SD (R. Hughes) Hughes nae atapeleka kwa CEO (Michael Edward) watafanya meetings na kuamua wote ila mwenye maamuzi ya mwisho ni Edward. Mf. Slot ataandika nahitaji beki mwenye sifa hizi na hizi na hizi, nahitaji DM mwenye sifa hizi na hizi na hizi, atazipeleka kwa SD & SD atazipeleka kwa CEO. Hivyo kunakuwa na mgawanyo wa majukumu.

Turudi kwa Slot.

Kwanza ni muumini wa 4-2-3-1 hapa ni double pivot MFs maana yake anacheza na viungo wawili wenye uwezo wa kuka ba na kuchezesha timu, kwa sasa tuna Endo na Macca.

Kwa mimi tukipata Good DM na Endo awe back up (age yake itamlimit) kumtumia Trent kucheza na DM itafanya kazi vizuri sana. Trent ni master kwenye long and killer passer, anatumia Lone ST, anatumia Wing Backs, build up yake inaanzia kwa GK na Central CB’s kama makocha wengi wafanyavyo. Ni muumini wa highline, Energetic Footabll, Pressing game, matumizi ya SPACE and TIME.

Sifa yake moja kubwa ni kujiamini, alipotakiwa na LFC kabla ya official meeting alisema “I WANT THAT JOB, I’M READY”.

Kwa data he is good as Klopp ( not mafanikio) kiuchezaji regardless of results kwanza.

Slot anatumia pure no. 10 hapa tunaweza kuona ubora wa Szobozslai as no. 10, Elliot, Macca and even Elliot.

RW & LW wakati wa kutengeneza mashambulizi huingia ndani pia kuungana na CF kutoa room kwa RB na LB kuingia pembeni kutengeneza mstari wa viungo wa tano. Hapa naona kama mnufaika ni JARELL QUANSAH over Konate (injury and style of play).

Nitandelea kumuongelea Slot, ila tusijipe matarajio makubwa mwisho tukapata magonjwa yanayoepukika. Tumuone kwanza kwenye Pre season na aina ya sajili tutakazofanya.

YNWA
 
TUZUNGUMZIE LIVERPOOL YA MSIMU UJAO.

Kwa ufupi Liverpoo imemaliza msimu wake rasmi mafanikio ni sealed UCL spot and Carabao Cup. Haya ni ndani ya uwanja ya nje huko tuachane nayo kwa sasa.

Sasa Liverpool ya msimu ujao itakuwaje bila Klopp na jopo lake?.

Ipo hivi baada ya FSG kumbembeleza sana Klopp abaki na kukataa kata kata, FSG waliona sehemu sahihi ni kurudi kwa Michael Edward, kwa nini? Wanajua uwezo wake kwenye mambo ya mpira (biashara ya mpira yupo vizuri). Wakaona wamtumie yeye kuiunda timu upya maana kuna kuondoka watu wengi sana. Ukiacha upanuzi wa uwanja kumrejesha Edward ni mojawapo ya Furaha FSG wamewahi kunipa.

Sasa basi Edward aliwavimbia mara ya kwanza akijua fika FSG watarudi tena, na kweli FSG walirudi kwa nguvu zote kwa Edward, sasa hivi ilikuwa ni Edward aseme anachotaka ili arejeshwe. Edward hakutaka mambo mengi mpunga mrefu, aliwaambia “I WANT FULL TAKE OVER” yes alitaka awe na mamlaka na sio nusu nusu kama alivykuwa kwa Klopp. FSG agreed the deal maana walikuwa wahitaji kuliko Edward. Edward ana kampuni yake ya data (ulaya ukibobea kwenye data analysis unaula tu). Hivyo hakutetereshwa na deal la FSG, tupambane tuondokane na NJAA kama Edward ili upate heshima. Imagine FSG mabosi wanapiga magoti kwa bwana mdogo Edward. Funny.

Anyway twende mbele, jambo la kwanza Edward alimchagua Richard Hughes as Sporting director ( jamaa hawa washkaji), Edward akampa jamaa shavu, ngoja tuone itakavyolipa.

Next move ilikuwa ni kumtafuta Kocha. Edward wanted Alonso, Alonso akachomoa deal akaamua kubali Leverkusen kwa msimu ujao. Naona mambo mawili kwa Alonso kwa nini alikataa deal
1. Bado anaona hajawa tayari kwa deals kubwa, pressure kwa Leverkusen itakua ndogo kutokana na udogo wao kimafankio, hivyo atamudu na kuiongoza Leverkusen kwenye CL league yenye new format.

2. Anataka kuprove watu wrong kwamba kabahatisha na moments kama hizi hutokea nadra sana.

3. Anategea deal la kwenda Madrid baada ya Don Carlo kuondoka. Anaipenda Madrid over Liverpool, Spanish guy, amecheza pale kwa mafanikio, amekuwa kocha wa U18 pale, anamafungano na Madrid over LFC

Anyway Edward hakufikiria kuendaelea na deals za Alonso”, akapaa kutoka Ujerumani huyoooooo mpaka Uholanzi akatua pale Feyernood akakutana na kipara mmoja anaitwa ARNE SLOT. Mwamba mwenye mpira wake. Baada ya msimu wa 2022/2023 kukamilika Chelsea na Spurs walienda kuzungumaz na Slot kwa ajili ya kumchukua kama alivyofanya Alonso kwa LFC ndivyo Slot akawafanyia wanaLondon hao.

Tumzungumzie our own BALD, Mr. Arne Slot bwana na sisi LFC tumeona City wanafaidi na kipara wao na siye wacha tukamtafute wa kwetu, kisha tukapiga hesabu tena kuwaonea gere utd na kipara wao tukaona na siye isiwe tabu tukapita nae alipotokea kipara wa utd. Msimu ujao tuna vipara watatu, jiji la Manchester na jiji la Liverpool wawili tumewaona hao kutoka Manchester ila mmoja ngoja kwanza.

Baada ya kupendekezwa kumrithi Klopp Edward jambo la kwanza alipunguza majukumu kwa Slot akamwambia tunakutaka ila utakuwa Coach na sio Manager.
Utofauti wa hapo ni kwamba Coach anahusika na mambo ya ndani ya uwanja tu, training, kupanga line ups baasi, ila manager anafanya haya na anahusika moja kwa moja kwenye kusajili. Its a British traditional. Bwana Edward akaona lets go anti clockwise yaliyotokea kwa Klopp yasitokee kiwepesi.

Hivyo Mfumo ni kwamba Slot atapeleka report zake kwa SD (R. Hughes) Hughes nae atapeleka kwa CEO (Michael Edward) watafanya meetings na kuamua wote ila mwenye maamuzi ya mwisho ni Edward. Mf. Slot ataandika nahitaji beki mwenye sifa hizi na hizi na hizi, nahitaji DM mwenye sifa hizi na hizi na hizi, atazipeleka kwa SD & SD atazipeleka kwa CEO. Hivyo kunakuwa na mgawanyo wa majukumu.

Turudi kwa Slot.

Kwanza ni muumini wa 4-2-3-1 hapa ni double pivot MFs maana yake anacheza na viungo wawili wenye uwezo wa kuka ba na kuchezesha timu, kwa sasa tuna Endo na Macca.

Kwa mimi tukipata Good DM na Endo awe back up (age yake itamlimit) kumtumia Trent kucheza na DM itafanya kazi vizuri sana. Trent ni master kwenye long and killer passer, anatumia Lone ST, anatumia Wing Backs, build up yake inaanzia kwa GK na Central CB’s kama makocha wengi wafanyavyo. Ni muumini wa highline, Energetic Footabll, Pressing game, matumizi ya SPACE and TIME.

Sifa yake moja kubwa ni kujiamini, alipotakiwa na LFC kabla ya official meeting alisema “I WANT THAT JOB, I’M READY”.

Kwa data he is good as Klopp ( not mafanikio) kiuchezaji regardless of results kwanza.

Slot anatumia pure no. 10 hapa tunaweza kuona ubora wa Szobozslai as no. 10, Elliot, Macca and even Elliot.

RW & LW wakati wa kutengeneza mashambulizi huingia ndani pia kuungana na CF kutoa room kwa RB na LB kuingia pembeni kutengeneza mstari wa viungo wa tano. Hapa naona kama mnufaika ni JARELL QUANSAH over Konate (injury and style of play).

Nitandelea kumuongelea Slot, ila tusijipe matarajio makubwa mwisho tukapata magonjwa yanayoepukika. Tumuone kwanza kwenye Pre season na aina ya sajili tutakazofanya.

YNWA
 
TUZUNGUMZIE LIVERPOOL YA MSIMU UJAO.

Kwa ufupi Liverpool imemaliza msimu wake rasmi mafanikio ni sealed UCL spot and Carabao Cup. Haya ni ndani ya uwanja ya nje huko tuachane nayo kwa sasa.

Sasa Liverpool ya msimu ujao itakuwaje bila Klopp na jopo lake?.

Ipo hivi baada ya FSG kumbembeleza sana Klopp abaki na kukataa kata kata, FSG waliona sehemu sahihi ni kurudi kwa Michael Edward, kwa nini? Wanajua uwezo wake kwenye mambo ya mpira (biashara ya mpira yupo vizuri). Wakaona wamtumie yeye kuiunda timu upya maana kuna kuondoka watu wengi sana. Ukiacha upanuzi wa uwanja kumrejesha Edward ni mojawapo ya Furaha FSG wamewahi kunipa.

Sasa basi Edward aliwavimbia mara ya kwanza akijua fika FSG watarudi tena, na kweli FSG walirudi kwa nguvu zote kwa Edward, sasa hivi ilikuwa ni Edward aseme anachotaka ili arejeshwe. Edward hakutaka mambo mengi mpunga mrefu, aliwaambia “I WANT FULL TAKE OVER” yes alitaka awe na mamlaka na sio nusu nusu kama alivykuwa kwa Klopp. FSG agreed the deal maana walikuwa wahitaji kuliko Edward. Edward ana kampuni yake ya data (ulaya ukibobea kwenye data analysis unaula tu). Hivyo hakutetereshwa na deal la FSG, tupambane tuondokane na NJAA kama Edward ili upate heshima. Imagine FSG mabosi wanapiga magoti kwa bwana mdogo Edward. Funny.

Anyway twende mbele, jambo la kwanza Edward alimchagua Richard Hughes as Sporting director ( jamaa hawa washkaji), Edward akampa jamaa shavu, ngoja tuone itakavyolipa.

Next move ilikuwa ni kumtafuta Kocha. Edward wanted Alonso, Alonso akachomoa deal akaamua kubali Leverkusen kwa msimu ujao. Naona mambo mawili kwa Alonso kwa nini alikataa deal
1. Bado anaona hajawa tayari kwa deals kubwa, pressure kwa Leverkusen itakua ndogo kutokana na udogo wao kimafankio, hivyo atamudu na kuiongoza Leverkusen kwenye CL league yenye new format.

2. Anataka kuprove watu wrong kwamba kabahatisha na moments kama hizi hutokea nadra sana.

3. Anategea deal la kwenda Madrid baada ya Don Carlo kuondoka. Anaipenda Madrid over Liverpool, Spanish guy, amecheza pale kwa mafanikio, amekuwa kocha wa U18 pale, anamafungano na Madrid over LFC

Anyway Edward hakufikiria kuendaelea na deals za Alonso”, akapaa kutoka Ujerumani huyoooooo mpaka Uholanzi akatua pale Feyernood akakutana na kipara mmoja anaitwa ARNE SLOT. Mwamba mwenye mpira wake. Baada ya msimu wa 2022/2023 kukamilika Chelsea na Spurs walienda kuzungumaz na Slot kwa ajili ya kumchukua kama alivyofanya Alonso kwa LFC ndivyo Slot akawafanyia wanaLondon hao.

Tumzungumzie our own BALD, Mr. Arne Slot bwana na sisi LFC tumeona City wanafaidi na kipara wao na siye wacha tukamtafute wa kwetu, kisha tukapiga hesabu tena kuwaonea gere utd na kipara wao tukaona na siye isiwe tabu tukapita nae alipotokea kipara wa utd. Msimu ujao tuna vipara watatu, jiji la Manchester na jiji la Liverpool wawili tumewaona hao kutoka Manchester ila mmoja ngoja kwanza.

Baada ya kupendekezwa kumrithi Klopp Edward jambo la kwanza alipunguza majukumu kwa Slot akamwambia tunakutaka ila utakuwa Coach na sio Manager.
Utofauti wa hapo ni kwamba Coach anahusika na mambo ya ndani ya uwanja tu, training, kupanga line ups baasi, ila manager anafanya haya na anahusika moja kwa moja kwenye kusajili. Its a British traditional. Bwana Edward akaona lets go anti clockwise yaliyotokea kwa Klopp yasitokee kiwepesi.

Hivyo Mfumo ni kwamba Slot atapeleka report zake kwa SD (R. Hughes) Hughes nae atapeleka kwa CEO (Michael Edward) watafanya meetings na kuamua wote ila mwenye maamuzi ya mwisho ni Edward. Mf. Slot ataandika nahitaji beki mwenye sifa hizi na hizi na hizi, nahitaji DM mwenye sifa hizi na hizi na hizi, atazipeleka kwa SD & SD atazipeleka kwa CEO. Hivyo kunakuwa na mgawanyo wa majukumu.

Turudi kwa Slot.

Kwanza ni muumini wa 4-2-3-1 hapa ni double pivot MFs maana yake anacheza na viungo wawili wenye uwezo wa kuka ba na kuchezesha timu, kwa sasa tuna Endo na Macca.

Kwa mimi tukipata Good DM na Endo awe back up (age yake itamlimit) kumtumia Trent kucheza na DM itafanya kazi vizuri sana. Trent ni master kwenye long and killer passer, anatumia Lone ST, anatumia Wing Backs, build up yake inaanzia kwa GK na Central CB’s kama makocha wengi wafanyavyo. Ni muumini wa highline, Energetic Footabll, Pressing game, matumizi ya SPACE and TIME.

Sifa yake moja kubwa ni kujiamini, alipotakiwa na LFC kabla ya official meeting alisema “I WANT THAT JOB, I’M READY”.

Kwa data he is good as Klopp ( not mafanikio) kiuchezaji regardless of results kwanza.

Slot anatumia pure no. 10 hapa tunaweza kuona ubora wa Szobozslai as no. 10, Elliot, Macca and even Elliot.

RW & LW wakati wa kutengeneza mashambulizi huingia ndani pia kuungana na CF kutoa room kwa RB na LB kuingia pembeni kutengeneza mstari wa viungo wa tano. Hapa naona kama mnufaika ni JARELL QUANSAH over Konate (injury and style of play).

Nitandelea kumuongelea Slot, ila tusijipe matarajio makubwa mwisho tukapata magonjwa yanayoepukika. Tumuone kwanza kwenye Pre season na aina ya sajili tutakazofanya.

YNWA
 
Wewe mpira unaangaliaga kweli yaani unasema Salah Sasa hivi wa moto nafikiri humjui Salah miaka 5 nyuma mtu umri ukienda kwenye mpira hata iweje hawezi kulazimisha kiufupi asepe wachezaji wapo wengi tu wakusajiliwa
Wadada na mpira wapi na wapi? Wao wanafataga mkumbo tu [emoji1787]
 
Wadada na mpira wapi na wapi? Wao wanafataga mkumbo tu [emoji1787]
Dah kweli aisee wanafuata mkumbo eti Salah huyu wa moto hivi anamjua Salah vizuri miaka 5 iliyopita combo Yao mane firmino salah kwenye hii dunia tukisema Salah ameisha tunamaanisha 🤣🤣🤣🤣
 
TUZUNGUMZIE LIVERPOOL YA MSIMU UJAO.

Kwa ufupi Liverpool imemaliza msimu wake rasmi mafanikio ni sealed UCL spot and Carabao Cup. Haya ni ndani ya uwanja ya nje huko tuachane nayo kwa sasa.

Sasa Liverpool ya msimu ujao itakuwaje bila Klopp na jopo lake?.

Ipo hivi baada ya FSG kumbembeleza sana Klopp abaki na kukataa kata kata, FSG waliona sehemu sahihi ni kurudi kwa Michael Edward, kwa nini? Wanajua uwezo wake kwenye mambo ya mpira (biashara ya mpira yupo vizuri). Wakaona wamtumie yeye kuiunda timu upya maana kuna kuondoka watu wengi sana. Ukiacha upanuzi wa uwanja kumrejesha Edward ni mojawapo ya Furaha FSG wamewahi kunipa.

Sasa basi Edward aliwavimbia mara ya kwanza akijua fika FSG watarudi tena, na kweli FSG walirudi kwa nguvu zote kwa Edward, sasa hivi ilikuwa ni Edward aseme anachotaka ili arejeshwe. Edward hakutaka mambo mengi mpunga mrefu, aliwaambia “I WANT FULL TAKE OVER” yes alitaka awe na mamlaka na sio nusu nusu kama alivykuwa kwa Klopp. FSG agreed the deal maana walikuwa wahitaji kuliko Edward. Edward ana kampuni yake ya data (ulaya ukibobea kwenye data analysis unaula tu). Hivyo hakutetereshwa na deal la FSG, tupambane tuondokane na NJAA kama Edward ili upate heshima. Imagine FSG mabosi wanapiga magoti kwa bwana mdogo Edward. Funny.

Anyway twende mbele, jambo la kwanza Edward alimchagua Richard Hughes as Sporting director ( jamaa hawa washkaji), Edward akampa jamaa shavu, ngoja tuone itakavyolipa.

Next move ilikuwa ni kumtafuta Kocha. Edward wanted Alonso, Alonso akachomoa deal akaamua kubali Leverkusen kwa msimu ujao. Naona mambo mawili kwa Alonso kwa nini alikataa deal
1. Bado anaona hajawa tayari kwa deals kubwa, pressure kwa Leverkusen itakua ndogo kutokana na udogo wao kimafankio, hivyo atamudu na kuiongoza Leverkusen kwenye CL league yenye new format.

2. Anataka kuprove watu wrong kwamba kabahatisha na moments kama hizi hutokea nadra sana.

3. Anategea deal la kwenda Madrid baada ya Don Carlo kuondoka. Anaipenda Madrid over Liverpool, Spanish guy, amecheza pale kwa mafanikio, amekuwa kocha wa U18 pale, anamafungano na Madrid over LFC

Anyway Edward hakufikiria kuendaelea na deals za Alonso”, akapaa kutoka Ujerumani huyoooooo mpaka Uholanzi akatua pale Feyernood akakutana na kipara mmoja anaitwa ARNE SLOT. Mwamba mwenye mpira wake. Baada ya msimu wa 2022/2023 kukamilika Chelsea na Spurs walienda kuzungumaz na Slot kwa ajili ya kumchukua kama alivyofanya Alonso kwa LFC ndivyo Slot akawafanyia wanaLondon hao.

Tumzungumzie our own BALD, Mr. Arne Slot bwana na sisi LFC tumeona City wanafaidi na kipara wao na siye wacha tukamtafute wa kwetu, kisha tukapiga hesabu tena kuwaonea gere utd na kipara wao tukaona na siye isiwe tabu tukapita nae alipotokea kipara wa utd. Msimu ujao tuna vipara watatu, jiji la Manchester na jiji la Liverpool wawili tumewaona hao kutoka Manchester ila mmoja ngoja kwanza.

Baada ya kupendekezwa kumrithi Klopp Edward jambo la kwanza alipunguza majukumu kwa Slot akamwambia tunakutaka ila utakuwa Coach na sio Manager.
Utofauti wa hapo ni kwamba Coach anahusika na mambo ya ndani ya uwanja tu, training, kupanga line ups baasi, ila manager anafanya haya na anahusika moja kwa moja kwenye kusajili. Its a British traditional. Bwana Edward akaona lets go anti clockwise yaliyotokea kwa Klopp yasitokee kiwepesi.

Hivyo Mfumo ni kwamba Slot atapeleka report zake kwa SD (R. Hughes) Hughes nae atapeleka kwa CEO (Michael Edward) watafanya meetings na kuamua wote ila mwenye maamuzi ya mwisho ni Edward. Mf. Slot ataandika nahitaji beki mwenye sifa hizi na hizi na hizi, nahitaji DM mwenye sifa hizi na hizi na hizi, atazipeleka kwa SD & SD atazipeleka kwa CEO. Hivyo kunakuwa na mgawanyo wa majukumu.

Turudi kwa Slot.

Kwanza ni muumini wa 4-2-3-1 hapa ni double pivot MFs maana yake anacheza na viungo wawili wenye uwezo wa kuka ba na kuchezesha timu, kwa sasa tuna Endo na Macca.

Kwa mimi tukipata Good DM na Endo awe back up (age yake itamlimit) kumtumia Trent kucheza na DM itafanya kazi vizuri sana. Trent ni master kwenye long and killer passer, anatumia Lone ST, anatumia Wing Backs, build up yake inaanzia kwa GK na Central CB’s kama makocha wengi wafanyavyo. Ni muumini wa highline, Energetic Footabll, Pressing game, matumizi ya SPACE and TIME.

Sifa yake moja kubwa ni kujiamini, alipotakiwa na LFC kabla ya official meeting alisema “I WANT THAT JOB, I’M READY”.

Kwa data he is good as Klopp ( not mafanikio) kiuchezaji regardless of results kwanza.

Slot anatumia pure no. 10 hapa tunaweza kuona ubora wa Szobozslai as no. 10, Elliot, Macca and even Elliot.

RW & LW wakati wa kutengeneza mashambulizi huingia ndani pia kuungana na CF kutoa room kwa RB na LB kuingia pembeni kutengeneza mstari wa viungo wa tano. Hapa naona kama mnufaika ni JARELL QUANSAH over Konate (injury and style of play).

Nitandelea kumuongelea Slot, ila tusijipe matarajio makubwa mwisho tukapata magonjwa yanayoepukika. Tumuone kwanza kwenye Pre season na aina ya sajili tutakazofanya.

YNWA
LFC tumeona City wanafaidi na kipara wao na siye wacha tukamtafute wa kwetu, kisha tukapiga hesabu tena kuwaonea gere utd na kipara wao tukaona na siye isiwe tabu tukapita nae alipotokea kipara wa utd. Msimu ujao tuna vipara watatu, jiji la Manchester na jiji la Liverpool wawili tumewaona hao kutoka Manchester ila mmoja ngoja kwanza. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah kweli aisee wanafuata mkumbo eti Salah huyu wa moto hivi anamjua Salah vizuri miaka 5 iliyopita combo Yao mane firmino salah kwenye hii dunia tukisema Salah ameisha tunamaanisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mioto ya aina mbalimbali especially wa kitandan sijui yeye anazungumzia moto upi [emoji1787]
 
Kuna mioto ya aina mbalimbali especially wa kitandan sijui yeye anazungumzia moto upi [emoji1787]
Itakua ya kitandani ila kwenye mpira wa miguu Salah Sasa hivi kaisha Yani Salah Sasa hivi anaweza kupata nafasi 5 akakosa zote wakati enzi zake ukimuacha na beki wa 1 ujue Gori Kwa asilimia kubwa au labda mumkate kwenye box iwe penatu anafikili Hilo jina la egptyian king alipewa akiwa na uwezo kama huu
 
Itakua ya kitandani ila kwenye mpira wa miguu Salah Sasa hivi kaisha Yani Salah Sasa hivi anaweza kupata nafasi 5 akakosa zote wakati enzi zake ukimuacha na beki wa 1 ujue Gori Kwa asilimia kubwa au labda mumkate kwenye box iwe penatu anafikili Hilo jina la egptyian king alipewa akiwa na uwezo kama huu
Kaisha Salah na jana kuna picha niliiweka ipo huko juu kabisa stats zake zimekuwa za chini sana
 
Aisee nakumbuka klopp ana tua liva kwa Mara ya kwanza, ana shinda Kisha game ya ana kufa 2-0 kwa Burnley.

Klopp ni kocha mzuri, ila naona kacheki zama za kutamba epl, na uwepo wa guardiola ndo vina mkimbiza kabisa
FB_IMG_17142026851339805.jpg
 
TUZUNGUMZIE LIVERPOOL YA MSIMU UJAO.

Kwa ufupi Liverpoo imemaliza msimu wake rasmi mafanikio ni sealed UCL spot and Carabao Cup. Haya ni ndani ya uwanja ya nje huko tuachane nayo kwa sasa.

Sasa Liverpool ya msimu ujao itakuwaje bila Klopp na jopo lake?.

Ipo hivi baada ya FSG kumbembeleza sana Klopp abaki na kukataa kata kata, FSG waliona sehemu sahihi ni kurudi kwa Michael Edward, kwa nini? Wanajua uwezo wake kwenye mambo ya mpira (biashara ya mpira yupo vizuri). Wakaona wamtumie yeye kuiunda timu upya maana kuna kuondoka watu wengi sana. Ukiacha upanuzi wa uwanja kumrejesha Edward ni mojawapo ya Furaha FSG wamewahi kunipa.

Sasa basi Edward aliwavimbia mara ya kwanza akijua fika FSG watarudi tena, na kweli FSG walirudi kwa nguvu zote kwa Edward, sasa hivi ilikuwa ni Edward aseme anachotaka ili arejeshwe. Edward hakutaka mambo mengi mpunga mrefu, aliwaambia “I WANT FULL TAKE OVER” yes alitaka awe na mamlaka na sio nusu nusu kama alivykuwa kwa Klopp. FSG agreed the deal maana walikuwa wahitaji kuliko Edward. Edward ana kampuni yake ya data (ulaya ukibobea kwenye data analysis unaula tu). Hivyo hakutetereshwa na deal la FSG, tupambane tuondokane na NJAA kama Edward ili upate heshima. Imagine FSG mabosi wanapiga magoti kwa bwana mdogo Edward. Funny.

Anyway twende mbele, jambo la kwanza Edward alimchagua Richard Hughes as Sporting director ( jamaa hawa washkaji), Edward akampa jamaa shavu, ngoja tuone itakavyolipa.

Next move ilikuwa ni kumtafuta Kocha. Edward wanted Alonso, Alonso akachomoa deal akaamua kubali Leverkusen kwa msimu ujao. Naona mambo mawili kwa Alonso kwa nini alikataa deal
1. Bado anaona hajawa tayari kwa deals kubwa, pressure kwa Leverkusen itakua ndogo kutokana na udogo wao kimafankio, hivyo atamudu na kuiongoza Leverkusen kwenye CL league yenye new format.

2. Anataka kuprove watu wrong kwamba kabahatisha na moments kama hizi hutokea nadra sana.

3. Anategea deal la kwenda Madrid baada ya Don Carlo kuondoka. Anaipenda Madrid over Liverpool, Spanish guy, amecheza pale kwa mafanikio, amekuwa kocha wa U18 pale, anamafungano na Madrid over LFC

Anyway Edward hakufikiria kuendaelea na deals za Alonso”, akapaa kutoka Ujerumani huyoooooo mpaka Uholanzi akatua pale Feyernood akakutana na kipara mmoja anaitwa ARNE SLOT. Mwamba mwenye mpira wake. Baada ya msimu wa 2022/2023 kukamilika Chelsea na Spurs walienda kuzungumaz na Slot kwa ajili ya kumchukua kama alivyofanya Alonso kwa LFC ndivyo Slot akawafanyia wanaLondon hao.

Tumzungumzie our own BALD, Mr. Arne Slot bwana na sisi LFC tumeona City wanafaidi na kipara wao na siye wacha tukamtafute wa kwetu, kisha tukapiga hesabu tena kuwaonea gere utd na kipara wao tukaona na siye isiwe tabu tukapita nae alipotokea kipara wa utd. Msimu ujao tuna vipara watatu, jiji la Manchester na jiji la Liverpool wawili tumewaona hao kutoka Manchester ila mmoja ngoja kwanza.

Baada ya kupendekezwa kumrithi Klopp Edward jambo la kwanza alipunguza majukumu kwa Slot akamwambia tunakutaka ila utakuwa Coach na sio Manager.
Utofauti wa hapo ni kwamba Coach anahusika na mambo ya ndani ya uwanja tu, training, kupanga line ups baasi, ila manager anafanya haya na anahusika moja kwa moja kwenye kusajili. Its a British traditional. Bwana Edward akaona lets go anti clockwise yaliyotokea kwa Klopp yasitokee kiwepesi.

Hivyo Mfumo ni kwamba Slot atapeleka report zake kwa SD (R. Hughes) Hughes nae atapeleka kwa CEO (Michael Edward) watafanya meetings na kuamua wote ila mwenye maamuzi ya mwisho ni Edward. Mf. Slot ataandika nahitaji beki mwenye sifa hizi na hizi na hizi, nahitaji DM mwenye sifa hizi na hizi na hizi, atazipeleka kwa SD & SD atazipeleka kwa CEO. Hivyo kunakuwa na mgawanyo wa majukumu.

Turudi kwa Slot.

Kwanza ni muumini wa 4-2-3-1 hapa ni double pivot MFs maana yake anacheza na viungo wawili wenye uwezo wa kuka ba na kuchezesha timu, kwa sasa tuna Endo na Macca.

Kwa mimi tukipata Good DM na Endo awe back up (age yake itamlimit) kumtumia Trent kucheza na DM itafanya kazi vizuri sana. Trent ni master kwenye long and killer passer, anatumia Lone ST, anatumia Wing Backs, build up yake inaanzia kwa GK na Central CB’s kama makocha wengi wafanyavyo. Ni muumini wa highline, Energetic Footabll, Pressing game, matumizi ya SPACE and TIME.

Sifa yake moja kubwa ni kujiamini, alipotakiwa na LFC kabla ya official meeting alisema “I WANT THAT JOB, I’M READY”.

Kwa data he is good as Klopp ( not mafanikio) kiuchezaji regardless of results kwanza.

Slot anatumia pure no. 10 hapa tunaweza kuona ubora wa Szobozslai as no. 10, Elliot, Macca and even Elliot.

RW & LW wakati wa kutengeneza mashambulizi huingia ndani pia kuungana na CF kutoa room kwa RB na LB kuingia pembeni kutengeneza mstari wa viungo wa tano. Hapa naona kama mnufaika ni JARELL QUANSAH over Konate (injury and style of play).

Nitandelea kumuongelea Slot, ila tusijipe matarajio makubwa mwisho tukapata magonjwa yanayoepukika. Tumuone kwanza kwenye Pre season na aina ya sajili tutakazofanya.

YNWA

Nimefurahia hizi makala zako, kuanzia uchambuzi wa Klopp na timu 'ilipofeli' mpaka kwa uchambuzi wa Edward na Slot. Nimecheka kidogo uliposema kuwa mmeamua kupata kipara wenu pia (niliwashauri kama mnataka ndevu, Santo yupo na ana kipara pia ila hamkunisikiliza) na jinsi ulivyo malizia kwa tahadhari.

Yote kwa yote, mshukuruni Klopp na msonge mbele. Jamaa amepiga kazi na amefanikiwa kuliko mnavyodhani. Msisahau kuwa mwamba amekuja huku EPL iliyo na Pep. Nina uhakika karibia asilimia 95, ligi isingekuwa na Pep, Klopp na Liverpool yake wangetawala mpaka mchoke. Ila ndiyo hivyo, haikuwa bahati yake. Acha aje Slot aungane na Arteta katika mpambano.
 
JURGEN NOBERT KLOPP : END OF AN ERA.

Forget about the 90's.

LFC came again to LIFE in 2000's, from Gérard Houllier (R.I.P) to Rafael Benitez, we had up and downs, but overall, the 2000's treated us fairly, i mean CL trophy, and few other Cups, NOT BAD.

It was in 2009/10, when things started to take a bad turn, from the owners, manager, players and the whole club at large, then Benitez left, soon after Hicks & Gillet followed suit, Club ikaishia mikononi mwa FSG (2010), hiki ni kipindi ambacho we had Roy Hodgson as our esteemed manager, ambaye aliondoka LFC, huku akikumbukwa zaidi kwa maneno yake ya kuwa "LFC are not that big to not be in the relegation battle"

Then, akaondolewa, akaja Kenny Dalglish (MBE), ikumbukwe kwamba when Rafa left, fans were demanding ujio wa Dalglish, kabla ya Club ku-opt for Hogdson, but baada ya Hodgson kuondolewa, FSG decided to go for Dalglish, well this was more of a tactical appointment iliyolenga kuiweka/kuirudisha club katika hali ya umoja, i mean, we were going through a very bad patch, so we needed a figure ambayo ilikuwa inakubalika na kupendwa na kila shabiki ili kuweka mambo sawa, au kuirudisha meli katika mstari, besides Dalglish alikuwa mananikio sana at the club, as a player na manager pia, so ilikuwa ni NO BRAINER, na ilikuwa ni cheap/easy option (Well, its FSG).

Well, Dalglish (an easy option), stayed until 2012, but things didnt go well, athough we won Carling Cup (Carabao Cup), but there were no future kwenye his project, this was when we signed a lot of duds (Carroll, Downing, Charlie Adam, Jose Enrique, Alexander Doni, Sebastian Coates & Jordan Henderson), apart from Luis Suarez, ni Henderson tu ambaye alifanikiwa kubakiza walau value yake at the club, (not counting Craig Bellamy).

Dalglish, ended up getting sacked, well sababu zilikuwa nyingi but, signings mbovu alizofanya ndiyo zilikuwa za MSINGI zaidi, and verdict ikawa kuwa his second spell at the club as a manager, was a TOTAL FAILURE.

FSG, decided to turn their eyes and noses kwa a very young coach, who was playing a very, very, very good football at Swansea, Mr. Brendan Rodgers, FSG wanted to start from the scartch, they wanted to build the club kuanzia chini kabisa, hence they wanted a young coach, na kutengeneza structure nzuri ya uongozi, ikihusiana zaidi na mambo ya usajili (TC), ambapo hapa ndipo kina Michael Edwards wakaanza kuonekana, BUT again Rodgers came in, and decided to abandon his philosophies, pressure ya ku-coach team kubwa got to him, Yeah, we challenged and came 2nd once under his watch, but at what cost? HE FAILED at LFC.

Rodgers, left in 2015, after 3 long years at the club, at this point, FSG were failing as owners, ikumbukwe mpaka 2015, walikuwa na miaka mitano at the club, with One Carling Cup & 2nd place finish at their helm. the project was going nowhere, it was kipindi hiki ambapo we werent able to attract World Class talents, and hata WC players tuliokuwa nao walikuwa wana-force kuondoka kila summer/january TWs, kuanzia 2009-2015 we lost Alonso, Mascherano, Torres, Meireles, Sterling, Suarez etc, players kama Torres, Meireles, Sterling tuliwapoteza kwa our close rivals (Chelsea & Man City), and kwa upande wetu we were just going for the left-overs, because hatukuwa na uwezo wa ku-sign world beaters, ukiacha na siginings za Dalglish nilizotaja hapo juu, overall kuanzia 2009-2015 tuli-sign players kama Poulsen, Jovanovic, Konchesky, Joe Cole, then from 2012-2015 we signed the likes of Borini, Balotelli, Lambert, Lallana, Lovren, Aly Cissokho, Joe Allen, Adam Bogdan, Kolo Toure, Ings, Markovic, Mignolet, Assaidi, Aspas, Luis Alberto, Moreno etc, apart from Coutinho, Sturridge, Firmino, Divock, Joe Gomez & Milner, WACHEZAJI WOTE niliowataja hapo juu proved to be FAILURES, na hii ni kwasababu tulikuwa hatuwezi ku-attract WC players & potential talents kwasababu hatukuwa na mvuto/pull ya kuwaleta LFC, ni kipindi hiki ambacho players wengi sana walikuwa wanatukwepa.

Baada yakumfukuza Rodgers, FSG had to make THE RIGHT MOVE, kwasababu kama wangekosea tena, Club ilikuwa inaingia SHIMONI moja kwa moja, na hapa ndipo FSG walipokuwa tipped kujaribu kwa Klopp, ilikuwa ni long strech, maana he had strong Bayern & Utd offers kwenye meza yake, and who wouldve chosen LFC kipindi kile? kwa aina ya wachezaji ipi? tulikuwa hatuna mvuto HATA kidogo, so FSG kujaribu kwa Klopp ilikuwa ni big Pipe-dream, but at the end, it paid off.

JURGEN, came in & changed everything, EVERYTHING.

Creating world beaters on the pitch.

Creating Monsterious financial gains off the pitch.

Creating a very strong fanbase around the globe.

Creating everlasting memories at the Club.

Oh! I will miss him a LOT.

He changed and impacted my LIFE in so many ways, from being a monumental doubter mpaka kuwa a spoiled little brat, BUT he gave me new purposes in LIFE, alinifanye nipende football zaidi, kwake Football is everything, angekuwa na uwezo asingeingiza pesa kwenye football, he admired loyalty over everything. I will mis HIM.

What can i say?

1. Breathing a new life & purpose kwa Roberto Firmino

2. Giving and provide Henderson with a very stable career & purpose.

3. Creating monsters and world beaters kwa our african brothers, Mane & Salah.

4. Giving us a World Class DM, after what 8-9 years?

5. Giving us a World class academy player (Trent), after what? 20+ years?

6. Giving us a World class GK, after what? 10-12 years?

7. Giving us a world class Centre Back, after what, man, after what? 15 years?

Now, we can sit, and talk all day, but we need to ask ourselves, after blunders za 2009-2015, tungekuwa na uwezo wa ku-sign players calbre ya Mane, Salah, VVD, Alisson, Fabinho ambao walitupa kila kitu at the club? then Konate, Diaz, Nunez etc? maana hata Gakpo alikuwa amebakiza asilimia chache kwenda UTD, and we managed to snatch him under their noses, kama ilivyokuwa kwa Nunez & Mane, but nyuma kidogo, unakumbuka ni wachezaji wangapi tumepoteza kwa Utd? not because of wages, not because of the price, but kwasababu hawakuona mvuto wa kuja LFC? we were getting rejected for clubs like Spurs, remember the Willian & especially Sigurdsson sagas? achana na players waliotukimbia for Chelsea, but how many players tulipoteza kwa Chelsea? remember kuhusu Mo Salah? we lost him to Chelsea for nothing, and his price tag was just £9-11m, and achana na Suarez kujaribu ku-force a move to Arsenal, but how many players tulipoteza kwa Arsenal? unakumbuka nini kuhusu Alexis Sanchez, kugoma kupokea simu za Rodgers? au unakumbuka nini kwa Toni Kroos? Club kumuomba Gerrard ampigie simu kumshawishi ajiunge na LFC?

But, when Klopp came in, Mane rejected LVG & Utd for LFC.

Alisson rejected Barca, Madrid & Juve approaches for LFC.

VVD rejected MAN CITY & Chelsea approaches for LFC, Man City tried the hardest, walikuwa ni wao walio-leak zile habari za Klopp kukutana na VVD at Blackpool.

Fabinho turned down Utd for LFC.

Naby Keita, REJECTED Barcelona & Bayern approaches for LFC.

What about Konate & PSG? what about Szobo and Newcastle & Man City camp telling him to wait a little? what about Nunez & United/Chelsea? What about Diaz & Barcelona? what about Gakpo & Ten Hag/Utd? what about Alexis & City/Utd?

Before Klopp, tungekuwa able ku-convince hao players kuja LFC over hao powerhouses wengine?

What changed at the CLUB? ni KLOPP, its just simple.

He gave this club (a dying club) a new face, a new beginning, new hope and fresh dreams, new memories.

Again, what can i say?

From that game against Norwich at Carrow Road on 23/01/2016.

From that game against Dortmund at Anfield, on 14/4/2016

From that game against Barcelona at Anfield on 7/05/2019

OR, what about that game against Spurs in Madrid? what a NIGHT, after what? 14 years of waiting?

OR, the day you broke our Curse? giving us our first PL title, after what? 30+ whole years? nani angefanya mwingine? Graeme Sousness failed, Roy Evans failed, Gerrard Houllier failed, Rafa Benitez failed, Dalglish (2nd spell) failed, Rodgers FAILED, but it was you JURGEN, you gave and handed that DREAM, many of us (me, personally), sikuwahi kupata bahati ya kushuhudia my club iki-lift PL title, but you gave me that NAFASI, it was you JURGEN, it was just you JURGEN, na kwangu itabakia kuwa your biggest achievement at the Club.

What more can i say about you Jurgen? wanasema your time at LFC may be classified as a failure because umebeba 1 PL in 9 years, well i always laugh about that, because as a manager you've won EVERY SINGLE TROPHY kwenye ngazi ya Club isipokuwa Europa? man, who gives a https://jamii.app/JFUserGuide about Europa? competition ya Failures? yeah, who cares.

But what? Premiel League?, Champions League? FA Cup? Carabao? UEFA Super Cup? FIFA Club World Cup? yeah nahitaji nini zaidi kutoka kwako Jurgen? nakudai kipi Jurgen? nitakuwa greedy nikikuomba uendelee kubaki LFC? yeah, naumia sana kuwa unaondoka, but wanasema a good dancer must know when to leave the stage but umefika huko Jurgen? you're still 56, thats still a very young age for a coach Jurgen, bado mpira unakudai sana, najiuliza kama tungekuwa na different owners ungeendelea kuwepo? au makelele ya FSG kwa wewe ku-sunction deal ya Gravenberch, yalikuumiza sana? ni nini Jurgen? kwasababu FSG gave you just £16m for a DM? or ni kwasababu you felt betrayed kwenye deals za Caicedo & Lavia baada ya kujua ukweli? or the fact kuwa FSG lied to you kuhusiana na Jude? but ni mara ya kwanza wamekudangaya kuhusu big signings? why umeamua kuacha now? au unaogopa mbuzi kukufia mkononi? why uogope? ulisema utakuwa nasi kwaajili ya LFC 2.0, why imekuwa ghafla?

But, natakiwa kuyaheshimu maamuzi yako?, absolutely, nayaheshimu, you're a human-being after all, kuna kipindi maisha mengine lazima yaendelee, BUT umeniheshimisha sana Jurgen, growing up, sikuwa hata na uwezo wa kuingilia debates za mpira at school or mtaani kwasababu i was supporting LFC, it was hard, it was hard watching Utd winning trophies evert season, nilikuwa na uwezo wa ku-brag kuhusu Premier league title? NO, but you made it possible. i cried like a little baby when Torres left the Club, but chini ya uongozi wako, nilikuwa na wasiwasi kuhusu Salah/Mane/Firmino/VVD/Fabinho/Alisson/Trent/Robertson/Gini etc kuondoka at their prime years? HELL NO!!, because you made us WORLD BEATERS.

JURGEN, you changed this club a lot, i'm so worried about the future of this club now, i was so spoilt na nikasahau kabisa kuwa hii siku itakuja, i thought your love for this club itakufanya ukae miaka na miaka at the Club, but maybe unajijua wewe zaidi kuliko mimi ninavyokujua, na maybe deep down umeona ni muda muafaka wa wewe kuondoka LFC.

I will miss you JURGEN.

You've spoiled me so much, nikasahau kabisa, hardships tulizopitia as a club, ndiyo maana sometimes tukifungwa nikawa na-shout kabisa KLOPP OUT but now you're really leaving JURGEN, and i feel so EMPTY, so EMPTY.

I will miss you.

Its an end of an ERA, era iliyokuwa na ups & downs, era iliyokuwa na a LOT of mixed emotions & memories, ERA ambayo ili-define the modern LFC, era ambayo ilitoa/kuleta new purpose & new direction kwa Club, era ambayo imeirudisha club at the BIG TABLE, yeah, what an ERA, what an FUCKING ERA.

All these years, ulikuwa ukipigana na MDUDU mkubwa sana, ambaye alikuwa akiongozwa na one of the most greatest and decorated managers of our time (Josep Guardiola), ulikuwa uki-fight na mdudu ambaye anaweza ku-bench £80-100m players for fun, but you managed to win at some point, hahaha! you're just special, so fucking Special.

Jurgen, kwangu mimi, YOU'RE THE GREATEST LIVERPOOL FOOTBALL CLUB MANAGER OF ALL TIME. and nothing, i mean NOTHING can ever change that.

I will miss you, Jurgen.

Farewell Jurgen, Farewell my Manager.
 
Nini kimechangia kushuka kiwango cha huyu Mwamba?
View attachment 2977615

Manyanza.

Unauliza, why Salah ana-struggle, wakati unajua kuwa alipata a bad injury at AFCON?

He will be 32 in June (keshokutwa tu), he had a deep/proper tear kwenye his hamstring, a bad injury, ambayo ni lazima ingetibua his fitness shape, especially kwa umri alio nao now, hayupo kwenye his 20s anymore.

Injury ilitokea akiwa AFCON, so team yake yake ya Taifa ilikuwa ya kwanza kum-check kabla ya kurudi at Axa, and it took him what? mwezi mzima ku-recover? sasa ulikuwa unategemea atarudi kwa form ile ile? na ukizingatia ile injury imetibua his fitness form kabisa? now anapata muscle injuries ndogo ndogo.

Ni mchezaji ambaye, siyo wa injuries za mara kwa mara, and suddenly amepata a bad injury, ni lazima mwili wake uwe ngumu ku-rudi kwenye its usual shape kwa muda mfupi, he needed time, but kwa kuwa tulikuwa deep kwenye title run, we had to rush him back.

He's still a world class player.

City walikuwa na luxuly ya kumpa muda wa kutosha KDB na injury yake, kwasababu wana watu wa ku-cover eneo lake at ease, sisi hatuna hiyo luxuly jamani, we needed Salah kwa upesi sana.
 
Ruben Amorim on flying to the UK for talks with West Ham:

“The first thing to say is that the club knew about my trip, that’s the first thing, because it’s important and changes the context.”

“The second thing to talk about is this ‘veil of secrecy’ around the trip. I ‘secretly’ parked my car outside, ‘secretly’ walked past 15 people, spoke with the people, took photos with people and got on a plane. It’s important to take away this idea that it was all done behind the club’s back, that didn’t happen. And now the most important point, that obviously it was a mistake.”

“The trip, the timing was completely wrong. I didn’t think so at the time but it was wrong, especially when I’m so demanding of my players, and I’m always the first to say that the problems of individuals can’t take over the team, and I’ve taken players out of the team for much less.

“It was my fault, I have to accept that and live with it. I didn’t think it was so bad at the time but thinking back on it it’s very clear. I’ve explained this

Amorim was Club's first choice, or niseme William Spearman's choice.

Amorim, just didnt like the fact atakuwa "first team coach" at the club, na siyo manager.

Of-course, Kocha yeyote anayejiamini, hawezi kukubali kuwa just a coach kwenye big club, so we passed on him baada ya first interview.

Alonso, didnt even entertain our calls/approach.

Arne Slot was recommended na Pep Lijnders.
 
Bora iwe hivi aisee Klopp amekua na ushawishi mkubwa sana hata pale unapoona baadhi ya wachezaji wanapewa upendeleo hakuna cha kufanya, kwa mfano ishu ya Gini aliekua haumii na mara chache ana bad days analipwa pea nut huku Milner n Henderson wakapata premium wages ili ngumu kuelewa kweli. Tunahitaji mabadiliko haraka sanaaa.

YNWA

Klopp was just a manager.

Suala la wages halijwahi kuwa chini yake.

kuna reasons why Klopp wanted a big part ya usajili pia, tusi-take sides kwasababu anaondoka now.

Hawa big players wote walioko LFC, ni kwasababu ya call/msgs za Klopp.

Who was Edwards kabla ya Klopp? matter of fact, it was klopp aliyemtoa Edwards kwenye kitengo cha data na kushawishi FSG kumpa u-DOF kipindi kile.

Yes, Klopp siyo mzuri sana kwenye ku-spot talents, but was it Edwards aliyekuwa anashawishi World class talents kuja LFC?
 
When Sir Alex Ferguson decided to retire from management, he didn't tell his players until the day they won the Premier League 2013.

Jurgen Klopp went public and that has two negative impacts on his squad.

1. He put more pressure on his players to win as many cups as possible.

2. He dared the opposition players to test his resolves. This is my last season, so dare to take these cups off me and my players and unfortunately, the teams (Man Utd FA Cup, Atalanta Europa League, and Man Utd, Crystal Palace and Everton Premier League) dared and succeeded.

Truly, people can't ruin what they don't know. He reached an agreement with Liverpool that he can't continue next season, why didn't he tell them to keep the announcement private until the end of the season?

I think he might be regretting over that announcement.

1. Everybody in the world football knew that Sir Alex was leaving Utd that year, It wasnt a secret, Fergie yeye mwenyewe alimu-approach Klopp wakati msimu unaendelea, and IT WASNT A SECRET.

2. Klopp kutangaza kuwa anaondoka LFC in january, kunahusiana nini na form ya team kushuka in late march/April?

3. Kwanini tunaangalia mpira na tunashindwa ku-grasp kuwa injuries ndiyo zimetuharibia msimu? (Endo anacheza na pain killers, Szobo anacheza na pain killers, Nunez anacheza na pain killers, Curtis anacheza na pain killers, Salah ana issues na muscles).

Jota got rushed back na kuumia tena, fatigues zimeharibu forms za VVD, Gomez, Alexis. and its understandable.

Trent amekosa games ngapi? Konate ametuumiza mara ngapi kwa his stupid injuries? y'all thought playing kids kwenye title race ni sustainable?

players ambao wapo sharp now ni Gakpo, Grav na Elliott, why? because mara nyingi walikuwa ni rotational players, players wote wanao-struggle na injuries/fatigues ni wale waliocheza most minutes, na kwenye title run, asa kipindi hichi, unahitaji your top players kuwa fit zaidi, but tulishindwa kwasababu most of our key players walikuwa out with injuries, kipindi cha Dec-jan-Feb, ambacho ndiyo kipindi cha kufanya big rotations ili kuandaa players kwaajili ya March-April busy run-ins, but Salah, Jota, Trent, Robertson, Tsimikas, Konate, Endo, Curtis, Szobo etc wote walipata injuries vipindi hivi, so kama unajua mpira utaelewa kwanini our form dipped late march/April, its not a rocket science.
 
MSIMU ULIISHA KABLA HAUJAISHA.

Kwangu msimu wa Liverpool ulimalizika mechi ya Utd FA cup, toka pale niliona hali itakuwa mbaya sana. Mimi ni muumini wa mpira mzuri, sasa kwa tulivyocheza bila PASSION, AGGRESSIVE, COMMITMENT, we were like hey we will score anytime. Tulipoteza loads of chances bila hata kuonesha ishhh.!!!! WTF


Utd waliitaka ile mechi kuliko LIVERPOOL alivyoitaka. That match was supposed to be put on the bed only 1st Half kwa Liverpool. Utd walikuwa tayari baana eh tufungeni tu mnaweza kuliko sisi, tukashindwa, walipopata magoli wakaona ahaa kumbe its possible lets pushing guys BOOM wakafanikiwa. Again Klopp alizingua ile mechi kwa subs zile.

Mechi zilizofuata yalikuwa yale yale tu nothing new, nikaitoa LIVERPOOL kwenye mbio za ubingwa maana sikuon mabadiliko yoyote ya kimbinu wala kiakili. Wachezaji wanacheza wakiwaza next season itakuwaje? Hawana future baada ya Klopp na jopo lake kuondoka (its a massive clear out, mpaka wapishi wanaondoka), je kama ni wewe utakuwa na utimamu wa akili? Jibu ni Hapana, even Klopp ni kama alishaumaliza msimu tayari kwenye mechi ya Palace (0-1).

Anyway mambo kadhaa naona yametuporomosha kutoka quadruple mpaka kubaki na kikombe kile cha CARABAO.

1. Klopp’s issue
Lawama namtupia Mr.JK kwa sababu kutoka season inaanza tulikuwa na magonjwa kadhaa a) defensively as a team and poor performance 1st half. Hapa akatupa na jina “MONSTER MENTALITY” tukaona Yes, sisi ndio mashujaa tunaweza kutanguliwa na tulamsulubu mtu, tukachukulia ni sehemu yetu ya msimu huu. Mimi mmoja wapo niliona YES sisi ndio wababe YNWA”, kumbe tunapika BOMU na limekuja kulipuka mwishoni, quadruple ileeee.

Ni ngumu sana kuwa bingwa huku mara 21 umetanguliwa kufungwa kati ya mara 35. Record mbovu sana hii mbaya sana hii. Hatustahili kubeba EPL kama vile ambavyo tayari imeshatokea. Arsenal deserve alot especially 2nd round of the season. They are deserving ahead of City but always City is City, Pep is just Pep anapoona kuna uwezekano.

Klopp alishindwa kuiset timu yake kimkakati, unajua ukituangalia tunavyofikiwa kwenye final third kiwepesi na baaada ya hapo ni mipira inapenya nyavuni tu kwa sababu tunakosa hata Individual brilliance. Kwa nini inakuwa hivi? Patterns zetu zinakuwa mbovu sana, Hatuna mapafu ya mbwa pale kati, tayari Endo amechoka (excessive game time) Szobo isnt the same too, Jones amerudi kwenye asili yake ya kichezaji (to hodl ball too much even kwenye moves za maana). Graven akili inataka mwili hautaki, Macca [emoji91][emoji91][emoji91] ndio kiungo tunayemtegemea zaidi, akifuatiwa na ELIIOT akicheza as RCM na akitokea sub. Nafikiri ilikuwa vyema Klopp acheze na double pivot (Endo & Macca, Endo as anchor and Macca as Play marker) kisha mpr Szobo free role offensively, change 4-3-3 to 4-2-3-1 uangalie itakulipa au lah.!!


Mpira wa Klopp ni SPEED & ENERGY ila kwa Sasa mwenye uwezo wa kufundisha matumizi ya SPACE & TIME anafanikiwa zaidi. (Pep, Arteta,Amorim, Alonso, De Zerbi n.k) kwa Klopp imekuwa tofauti kidgo. View attachment 2978288


Embu angalia Liverpool wakicheza halafu angalia na timu kama City, Arsenal, Brighton, Fulham, angalia moves zao ni za hatari kuanzia build up mpaka final third ya mpinzani. Sasa inatokana na uwezo wa kocha kuunda patterns mbali mbali za miondoko. Liverpool tukicheza kila mchezaji lazima atapigiwa pasi atapokea atakaa nao atleast 1-2 seconds, wengine watatumia even 2-4 seconds hawa ni attackers wetu. Sas tunakosa hizo moves za hatari kwa kishindwa kutumia SPACE & TIME vyema.

Klopp yupo na sisi kimwili ila kiakili hayupo nasi. Toka game ya FA mpaka ya Westham hatujabadilika kitu kiuchezaji. Aisee ilibidi nimuelewe Klopp na kauli ya kuishiwa nguvu ya kufundisha ni 100% True tusimuhukumu hata kidogo. Angalia Line up vs Atalanta, angalia subs zake dah.!!

Nafikiri niseme tuThank You Klopp for everything, ulitupa furaha na huzuni japo furaha ilidumu kuliko huzuni. Best of luck.

2. Kwa wachezaji.
Pamoja na Klopp na mapungufu yake yakujirudia rudia (2020/2021) last season na msimu huu, ila kwa sasa lawama wabebe wachezaji nao kubwa tu.

Embu angalia mechi ya utd EPL (Nunez alivyokosa)
City at Anfield (Diaz with one Glorious chance and second chance looks min glorious chance) Gakpo vs City vs Utd Yaani hii imeenda mpaka kwa Salah toka arudi kutoka injury hajawa Salah yule yule anakosa magoli ya kipuuzi, anapiga mashuti unashindwa kuelewa ndio anajifunza kucheza au ni mzoefu huyu? Jota (clinical ila injuries sasa dah.!).

Kuna moves tunazitengeneza za 5v2 4v2 lakini end product ni 0. Ila cha ajabu kwetu inatokea 4vs 3 lakini tunaruhusu, yaani tuna wachezaji wanne kwenye eneo letu la mwisho na wapinzani wapo watatu ila wanafunga. Ndio ile inaitwa MWAKA WA NJAA.View attachment 2978285
View attachment 2978286
View attachment 2978287
Ona hizo chances. Yaani hakuna mchezaji ana nafuu awapo golini wanakosa utulivu wa akili.View attachment 2978289
Hii picha nimeambatanisha huko juu kwenye maelezo ya shida ya Klopp, ona hao Fulham walivyonipanga, kawaangalie Atalanta both matches, angalia, palace, Everton miundo ni hiyo hiyo tu. Hapo wana deal na wachezaji wawili tu ENDO na Macca Basi kina Vvd, Quansah, Konate, Robbo, Alison watajipigia mipasi weeeeee wao wakipata ni quick moves tayari tumefikiwa.

Anyway Thanks Klopp anaondoka kwa sababu hawezi kutu offer kingine kipya.

YNWA.


Good thread.

But, my question.

What were your expectations msimu huu?
 
Back
Top Bottom