Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naona dalili ya timu nyingi kuanza ligi ya epl zikiwa na kikosi hafifu sana...alafu majira ya kiangazi vurugu kubwa sana itafanyika kwenye usajili. Ya Leicester City kuchukua ubingwa inaweza kujirudia.
 
Naona dalili ya timu nyingi kuanza ligi ya epl zikiwa na kikosi hafifu sana...alafu majira ya kiangazi vurugu kubwa sana itafanyika kwenye usajili. Ya Leicester City kuchukua ubingwa inaweza kujirudia.
kwa jinsi nionavyo dirisha la usajili likiendelea hivi hivi

Man City na Arsenal wataendelea kupambania kombe

Vikosi vyao viko imara zaidi ya vikosi vyetu
 
Newcastle offered to buy Joe Gomez for £45m, with Anthony Gordon going the other way for £75m.

Medicals were scheduled to take place in Leipzig, but Newcastle found other options and the move fell through. [Simon Jones - @MailSport]
 
Naona dalili ya timu nyingi kuanza ligi ya epl zikiwa na kikosi hafifu sana...alafu majira ya kiangazi vurugu kubwa sana itafanyika kwenye usajili. Ya Leicester City kuchukua ubingwa inaweza kujirudia.
Muda bado upo mwingi sana kaka, kwa usajili masaa 24 ni mengi sana
 
Newcastle offered to buy Joe Gomez for £45m, with Anthony Gordon going the other way for £75m.

Medicals were scheduled to take place in Leipzig, but Newcastle found other options and the move fell through. [Simon Jones - @MailSport]

Lilikua deal nzuri sana, kumpata Gordon kwa £30M deals zinazofanya niamnini Edward anajua sana kufanya biashara hizi kwenye mpira.

Will be a busy August kwa Liverpool”,.. behind the scene deals are great but risk sometimes…
 
75ff51b8-47d6-421c-933d-567fab160ac7.jpg

The Gaffer..
Thank you boss

His famous quote
“You have to change from doubters to believers” Hii ni kauli yake aliyoitoa siku anatambulishwa LIVERPOOL”,.

Hope akiamua kurudi next stop itakuwa National team probably.

Up reds
YNWA Jurgen Norbert Klopp
 
The MoNA nini maoni yako mchezo wa jana na Arsenal?

Premier wont be ready for Slotball.

Nafikiri ni miongoni mwa niliyekubali mapema sana kwa heri ya Klopp na kukubali ujio mpya wa koche yeyote. Binafsi ni mtu ninaemini sana deals za Edward hasa toka awe Sporting director wa klabu 2015. Jamaa naweza kusema 80% of his deals zinafit na zinakuwa za bei nzuri.

Kutuletea Slot was a huge gamble but aliangalia culture ya klabu kocha aliyepita na sera za wamiliki akaona Slot will fit kwani:- aliyewataka mwanzo Alonso na Amorin walikataa deal la kuwa head coach wakataka Manager Edward akashindwa na hapo akaja na asiyejulikana Arne Slot.

Since then nilichagua kumuamini ili nisije kuumia akifanya mabalaa, ila nilijipa 50/50 bado kwake. Nikasema nitatazama hizi mechi za pre season nimuone ameleta nini. Guys i can say tumepata kocha aisee. Kitu kimoja nilitamani kuona ni kocha mnyumbulifu na anayesoma mchezo kutoka na mpinzani sio kutokana na yeye. Bahati mbaya Klopp kwake hakuwa dynamic ndio maana kuna baadhi ya makocha walimuweza mf. Ancelloti toka akiwa Napoli na Madrid, kwa nini? Zuia flanks halafu mwachie mpira auchezee we were not good with the ball under Klopp, inakuwa rahisi kumshinda.

Slot alisema amekuwa na role model kadhaa, Klopp, Guardiola, Arteta, De Zerbi, Spalletti. Amenyofoa tuvitu vitu humo akaongeza na vya kiholanzin na anavyoviamini yeye. Kuna changes kubwa kwenye build up yetu na defending yetu pia. Jamaa anatumia double pivot MF which is something good kama Klopp angelimtumia Fabinho na DP asingechoka haraka pengine.

Tunafanya build up na CB’s plus GK, then RB & LB wanatanua wide, RW & LW wanakuwa simple wide, then mchakato unaendelea kuanzia hapo, unakutana na 2-4-4 kwenye build very risk ila inakuwa rahisi kubreak the lines. Kwenye defending nimeona inakuwa 4-2-4 pale opponent anafanya build up yake.

Slot bana he is very dynamic, anajua kudance according to the beat & rhythm. Im happy atleast kuona kuna changes kwenye build up na defending yetu, short passes accurate plus long passes. Nilisema Elliot, Szobo, Macca, Gakpo hawa wanaweza kushine sana under Slot kwa patterns zake, kwani hazihitaji only energetic players but also tactical players. Hapa ndio msimu Hendo angetukanwa na kutetewa sana, mchezo wa Pasi fupi fupi na ndefu kwa haraka unahitaji brainers.

Kwenye attacking naiona ile geggen pressing ya Mr. Klopp kwa mbaaaali ikitumika, unaona kama goli la jana kwenye box la mpinzani unakuta atleast 3-5 players wanshambulia. Nimeona high defensive line, ila hii kidogo inabakisha watu watatu kati kati which is good think risk but worth.

Elliot naona gari limekubali excellent assist from the boy, Szobozslai yule aliyemkununa Jurgen tunaweza kumuona under Slot, huenda Graven akafufukia kwa Slot, boy has a talent ile move yake kwenda Bayern ilimuharibu wakati tulimuhitaji ila nilielewa kwa nini.

Haya ndio mambo ya Slot kwa Sasa EPL is not ready for him, Arteta alimpa good test bwana Slot especially second half, Arsena wananikera defending yao na pressing yao, kama hauna ma brainer utaishia kufanya makosa kibao unahitaji watu watulivu sana hivi hivi utaminywa. Nilipenda zaidi Slot alipombana Arteta 1st half na kumnyima uhuru wa kucheza atakavyo, kuanzia pressing ya Slot, defending yake.

TAHADHARI:

Ni mapema sana kutoa view ya kusema next tutafanya nini ila tunaweza kuwa kwenye race. Wasi wasi wangu ni kwa Alison he is a Stopper world class one, ila kwa kufanya build kuanzia na yeye ni very risk guy is not good kwenye footwork hii inaweza kutusumbua zaidi. Moja ya silaha kubwa na Pep kwenye kutengeneza movements kuanzia nyuma ni yule Ederson anakuwa kama extra MF, footwork ya jamaa ni hatari sana, ngoja tuone Slot atafanya nini kwenye hili.

Challange ya pili kwa Slot ni Trent atamtumiaje kwa faida?? Challange nyingine kwa Slot ni kumpata no. 6 japo hapa ana msaada wa watu wawili Hughes and Edward. Tunahitaji no. 6 ambaye atarahisisha kazi ataleta uwiano mzuri kwenye attacking and defending.

Guys dont panic kwa Slot hana jina na wengi hawamjui ila we have that guy, good coach, with his brain about football, good days are there for us.

Tunasuburi behind the scene deals.

Up REDS
YWNA
 
Na zile movements zà magoli yote unazizungumzia vipi?
The MoNA

Build up build up build up”,.

Crazy, sijui ilikuwa vipi nikawa mpenzi wa Liverpool maana napenda sana mpira mzuri flowing movements, with short and quick passes, ukweli ni kwamba nilivutiwa na:
1. Uzi mwekundu.
2. Nembo ile original sio ya sasa.
3. Carlsberg mbele ya jezi.

Magoli yale ni pattern ya mazoezi, nilimfuatilia Slot an team yake ya ukufunzi pale Pittsburg goli la kwanza la jana na lile la Betis zile ni moves za mazoezini.

Was beautiful to watch”, indeed inanikumbusha msimu wa Klopp 2019/2020, kuna moves za mazoezini na kuna individual brilliances. Yalikuwa counter goals,. Jota alivyo utoa mpira hewani na kuushusha correctly ni individual brilliance.
 
Slot kwa afikirie kushinda hizi pre seasons matches ili kuongeza confidence kwake na kwa wachezaji. Kocha mpya akiwa na pre season nzuri inambeba hata yeye, good thing amechagua timu shindani za premier league, nafikir ameona jana alichokuwa anafanya Arsenal kuna maeneo ya kuboresha.

Slot anapenda akipata akitunze alichokipata, jana 2nd half alikubali kuwapa Arsenal mpira yeye azuie tu ni risk mbinu ya kuzuia kwa kukaba maana ilikuwa all men behind the ila inalipa sana,. Tofauti na Jurgen anakupa tu ukikaa vibaya anakupa hana cha kutulizana, Slot yeye anatulizana labda mechi imlazimishe kufanya hivyo..!!!

Kikubwa sio matokeo ila changes ambazo naamini zitafanya tuwe vizuri kwenye michuano, ndizo zimenifurahisha.

Tunahitaji 3 signings na tutakuwa vizuri

LCB
DM
RW (Salah’s understudy with potential).

Up REDS
YWNA
 
Hivi hawa Nike wanaakili timamu kweli mijezi Gani hii waliyotutengenezea msimu huu Hawa jamaa mkataba unaisha lini aisee maana Leo nilikua naenda kuchukua jezi aisee nilichokutana nacho kariakoo ni kituko nimeumia sana jezi nyekundu mbaya sana na ndio rangi yangu pendwa
 
[emoji599] 𝐂𝐋𝐀𝐑𝐈𝐅𝐈𝐄𝐃: Jürgen Klopp keeps doors open to coaching again… and he’s 𝐍𝐎𝐓 retired [emoji732]️[emoji629]

“At the moment, there is nothing at all in terms of jobs. No club, no country. Let’s see what it will look like in a few months”, this was the real full sentence by Klopp.

“As of today, that’s it for me as a coach. I didn’t quit on a whim, it was a general decision. I’ve also coached the best clubs in the world. But maybe we can talk about it again in a few months”, Jürgen Klopp has also added.

He’s keeping doors open for future job, was never keen on return in 2024 but from 2025 anything can happen.

“England? That would be the biggest loss of face in the history of football if I said I’ll make exception for you!”.

“I still want to work in football and help people with my experience and contacts. Let’s see what will happen”.

…𝐰𝐡𝐢𝐜𝐡 𝐜𝐥𝐮𝐛/𝐜𝐨𝐮𝐧𝐭𝐫𝐲 𝐬𝐡𝐨𝐮𝐥𝐝 𝐠𝐨 𝐟𝐨𝐫 𝐊𝐥𝐨𝐩𝐩? [emoji3593][emoji102]
 
Back
Top Bottom