Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Si alikuwa analazimishwa kucheza nafasi isiyo yake
Klopp anamlazimisha
 
Hapa suala siyo yeye wa kwanza kuotewa vile
Kwahiyo kama siyo wa kwanza ndio aachie magoli vile!
Tena yote matatu

Muacheni Trent
Huyo dogo kiduku ana jicho kama la Trent la kufunga akiwa katikati ya uwanja?

Hakuachia, maana ya kuachia unatumia vibaya,

Trent hajawahi kufungia katikati ya uwanja.
 
Heheh hawataamini macho yao, japo hachelewi kutuvua taulo huyu jamaa

YNWA
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Slot amefanya homework yake vyema sana...

Hivi Mkuu najiuliza Macca hana speed na wakati mwingine yupo sloppy sana hata ukicheki mechi kadhaa anadakwa usingizini kiaina na kupokonywa mpira, je huyu Macca si ndio angecheza nyuma ya front line aafu Domy Soz arejee nyuma half DM kwa kua dogo ana kila sifa kucheza pale, ana tackle, ana mbio, ana pasi za mbali nk nk....

YNWA
 
Haya mkuu

I warned
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…