Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_2024-11-06-00-52-24-852_com.quoord.jamiiforums.activity-edit.jpg
 
Anajitekenya na kucheka mwenyewe kwenye ufalme wake 😂😂😂
 
View attachment 3144712
🔥 🔥 🔥 All the best.

YNWA

Robertson has been relegated to 2nd choice LB.

I love it.

Maana shida alizokuwa anatupa Robertson last few months zilikuwa kubwa sana.

Man, Robbo is a LEGEND, he has done everything alichoweza kufanya at the club, been NOTHING but a GOOD servant kwa Club, he has lived his dreams na pia ka-plqy part kubwa sana kwenye one of the best LFC teams katika history ya Club yetu, but muda wake at the top level umeisha, anahitaji kwenda kupumzika kwenye leagues ambazo hazina demands kubwa, he has won everything katika ngazi ya Club, sitopenda kuona aki-turn kuwa villain kwa fans, he's a LEGEND na ana-deserve nothing but LOVE.

From being a jobless kid mpaka kununuliwa kwa £8m, from a relegated Hull City na kufanikiwa kubaba CL & PL with a lot of memorable records along the way, surely has has LIVED his dreams.

Greatest Liverpool LEFT BACK of all time, for me.
Screenshot_20241106_005548_com.twitter.android_edit_95843012275781.jpg
20241106_005655.jpg
 
View attachment 3144536
🤣🤣🤣🤣🤣Hivi kweli ama spin za yule wakala wake cha mdomoooo.
MosDef namna gani tena. Kwamba Semenyo na Mbuemo wanatosha.

YNWA

Barcelona, just like any other club with senses watakuwa wanasubiri hatima ya Salah at LFC.

Meanwhile, FSG wanajiuliza kama a 33 yr-old player anahitaji kupewa £300k p/w, but kwa kile anachokupa Salah, week in, week, out, unajiuliza nini? kuna shida gani ukitoa a 2 yr-contract? tafuta understudy wa kum-replace Salah taratibu but usimwache aende, kulingana na shape aliyonayo sasa, bado ana miaka 3-4 ya kucheza Europe yule, Mane & Firmino wanashabihiana umri na Salah, na wamecheza wote kwa mafanikio makubwa sana at LFC, lakini wenzake wapo uarabuni huko wanacheza na part-time footballers, huyu mwingine akaamua kuwa nae part time pastor (firmino), kishamaliza mpira wake anawapiga tu hela waarabu, mwingine (Mane) akaamua nae kurudi kwao kuoa kabinti ka miaka 18, baada ya kumdanganya Mellisa Reddy kwa miaka na miaka, yaani vurugu tupu brother, but Salah bado yupo LFC anawaongoza wadogo zake kina Diaz, Gakpo, Jota, Nunez etc pale mbele, na kuwaongoza kwa kuwa mentor, NO, kwa kuwafudisha jinsi ya kufunga na kuiokoa TEAM inapokuhitaji, KILA WEEK. sasa wewe FSG unajifikiriaje kumpa new contract? absurd.

Tatizo tuna owners wapuuzi sana, brother.

VVD & Trent, tayari offers zao zipo kwenye table ya FSG, ni FSG ku-sanction tu, na inside stories ni kuwa suala la VVD halina shida kabisa, na Suala la Trent ni DOABLE, but kwa Salah ndiyo maswali ni mengi, but unakuwaje na maswali?

Slot deserves to work with these players hata kwa misimu miwili-mitatu.

Trent wants to be the HIGHEST paid player in the Club, na shida kidogo ndiyo ipo hapo, but i think FSG will curve in, maana kumuachia Trent kwenda Madrid itakuwa ni suala ambalo hawatasamehewa kamwe na scousers, & shida ni kuwa Madrid wanasubiria tu ku-strike, wapo mlangoni, its up kwa FSG ku-sort this out.

Na huwezi kumuachia Trent kaka, mimi mwenyewe nitaandamana na hawa stinking scousers, achia wote lakini siyo yule mtoto kaka, achia wote siyo yule, nakuwa na ugomvi nae mara kwa mara kwa hapa JF (kwa posts zangu za kumkosoa humu), ni kwasababu, wewe, mimi, na LFC fans wote wa humu, na dunia nzima kwa ujumla, tumemshuhudia huyu mtoto akikua at the club, unakumbuka wakati yupo academy, tulikuwa tumeshaanza kumuita new SG, now ni vice captain na ameshabeba kila kombe ngazi ya club at 26, imagine.

unamuachaje mtoto wetu tuliemlea aende Madrid for FREE? unforgivable.
 
Juve wamemuacha kwa sababu ya kuumia kila wakati,tuliongea tukaonekana tunapondea Usajiri.
Hapo hakuna kitu anakula mshahara wa bure tu mpaka msimu huishe kwa mazoezi yetu huyu hata wezakirudi uwanjani.

Mpaka sasa hajulikani hatarudi lini,icho tayari ni kimeo.

He clocked 2900 minutes katika games zote last season, sidhani kama notion yako ya "kuumia umia kila mara" ina-apply hapa, na kama ni hivyo tungemuuza Curtis Jones, maana katika career yake at LFC tangu ajoin senior squad hajawahi ku-clock 2900 minutes kwa msimu wowote ule.

Can it be ni kuwa we signed unfit player? ambaye hakuwa hata na pre-season? and if kama ushawahi kucheza mpira, unaelewa demands za mchezaji kuwa fit? na je ushajaribu kusoma fitness memoirs za Slot? maybe yeye na physio wanadhani bado hajawa fit kamili ku-take nafasi ya fit & ready-made players wa bench?

Why mnapenda kuwa "proved right" kabla ya kuzingatia well-being ya team? kuna mchezaji gani world class unayemtaka wewe angekubali kuja kukaa bench akisubiria Salah aumie ndiyo acheze? at £13m for an experienced player like Chiesa hiyo ni bad signing? mbona Jota kila kukicha yupo kwenye Physio rooms? na tulitoa £45m kwa Wolves? hatukujua injury record yake at Wolves? why tulimnunua? because we didnt view him as a starter, but his goal-scoring ratio ndiyo tulikuwa tunaihitaji, despite na his injuries mbona anatusaidia sana akiwa fit? Diaz, Nunez, Gakpo, Salah wana good fitness, ukiwa na Jota & Chiesa kama rotational players unapungukiwa na kipi? hujaona hata kile ambacho Chiesa anaweza ku-offer kwa team yako na unalalamika, subiri uone ataku-offer kipi, kama akiwa hakuna anachoku-offer, si unauza brother, Jota na injuries zake zote, anapewa new contract, why? kwasababu anakupa kitu tofauti akiwa fit, and thats what matters the most, siyo kila mchezaji ana fitness nzuri, kabla ya ku-throw stones at Chiesa, mpe nafasi kwanza akuoneshe anachoweza kuleta at the club, hajajileta yeye at LFC, kanunuliwa na Club, mpe nafasi, tuachane na hizi kasumba za kuponda wachezaji ambao bado hata hawajapata muda wa kucheza na ku-showcase wanachoweza kukupa.

Tuache hizi kasumba.
 
For years, LFC walikuwa wanapiga makelele kuwa Kostas siyo good backup, kisa tu sometimes alikuwa na games ngumu kwasababu ya kutokupata nafasi kubwa ya kucheza, now ndiyo anatuokoa at LB kipindi hiki ambacho Robertson ana-struggle sana.

Gravenberch, msimu uliopita, alikuwa termed kama flop, hata humu kuna fans walikuwa wanamwita mzigo, now ndiyo anatuokoa at DM, week in, week out, jifunzeni kuwapa wachezaji TIME.

Gakpo nae ilikuwa the SAME, now unashuhudia anavyotusaidia, give players TIME.

Same kwa Szobo, Slot kapata his new version of Henderson, his workhorse.

Give these players TIME.

Wape TIME wachezaji, wakishindwa ku-prove their worth baada ya muda, ndiyo anza kukosoa, historia yangu kuhusu Henderson inajulikana hapa JF, but you know what, na huwa nasema hivi kila siku, i gave Henderson 3 years, because as a football guy, naelewa kazi inayofanyika mpaka ku-sign a player, watu hawakurupuki tu ku-sign a player, na players hawajisajili wenyewe, na naamini ku-flop kwa mchezaji kunachangiwa na vitu vingi, mchezaji aki-flop kwenye team flani siyo kwamba ni m-bovu, kuna factors nyingi sana (Injuries, pressure, environment, style of play, especially manager), kuna wachezaji at LFC wali-flop under Klopp, wali-flop under Benitez, na kuna wengine wata-flop under Slot, ni kawaida.

Nani alijua kuwa Coutinho ata-flop at Barcelona?

Kuna shabiki yeyote yule wa LFC, alijua kuwa Keita ange-flop LFC?

Pogba flopped at Utd, Sancho flopped at Utd, Cavani flopped at Utd, Di Maria flopped at Utd, Depay flopped at Utd, etc. hawa ni bad footballers? NO, kuna factors zilipelekea wa-flop.

Salah was considered a total flop at Chelsea, look at him now.

So, kama Chiesa aki-flop, its just football, doesnt mean kuwa ni bad footballers, because alikotoka, stats zinam-back.

I gave up on Henderson after 3 years of waiting, baada ya hapo macho yangu yaliendelea kupata maumivu kila weekend nilipokuwa namuangalia aki-chase his First touch, but you know what, siwezi kusema Henderson ni flop, because alipata nafasi ya muda mrefu ya ku-showcase his useless career, and in the end he played his huge part kwenye mafanikio ya club (huwezi kuacha kumtaja).

Sasa, kuna wachezaji ambao hawakupata nafasi at LFC kama za kina Hendo, Lovren etc, kama wangepata, maybe wange-prove their worth.

Kelleher anacheza kwenye CL nights now, who wouldve thought? ni suala la nafasi tu.

Rule yangu mimi, personally, huwa nawapa players 2-3 seasons, depends wamesajiliwa kipindi team ipo kwenye wakati gani, we signed Grav, Gakpo, Szobo, Macca, Nunez etc wakati tupo kwenye transition period, sasa ningekuwa kichaa kuanza kuponda hawa players ambao wamekuta team kwenye chaos, wote hawa niliwapa 3 years, na mpaka sasa wote wana-play part kwenye team kulingana na time-frame yao ya ku-settle in, ni suala la kutokuwa NAIVE, these are human-beings, siyo machine, nilisema hapa, kuwa kwangu mimi ni Club kwanza ndiyo players and coach, ndiyo maana kuna kipindi humu ndani nilikuwa natukaniwa mpaka wazazi kwa kumkosoa tu Klopp, na ilikuwa ni kila siku, na itakuwa the same kama Slot akizingua pia, au mchezaji yeyote yule, mchezaji ambaye sijawahi kumkosoa maishani mwangu wa LFC ni SG tu, kwasababu tangu nipate utambuzi wa kumuangalia akicheza mpira sijawahi kumuona akiwa na game mbovu, na the fact that he was HERE, during our DARK, DARK, DARk days, carrying us week after week, sijawahi ona mchezaji kama yule at LFC, sijawahi.

LFC fans, hii club ni kama family, kuna utofauti flani hivi ukiwa shabiki wa LFC, so tuzingatie sana kuwa players ni human-being, wanahitaji time, nitakuwa wa kwanza kukosoa signing ya Chiesa isipo-deliver, but kwasasa nampa muda, mpaka nione kile atakachoiletea club mezani, ikishindana, ataondoka, and thats football.

akiipa club, numbers kama za Shaqiri, he will be a success.
 
Klopp, atakuwa anaumia sana kila akimuangalia Caicedo msimu huu, kazi anayopiga bwana mdogo msimu pale katikati, si mchezo. yule mjerumani alivyokuwa bahili, kukubali FSG watoe £110m, ilikuwa ni BIG statement, tunachukulia poa, lakini imagine Klopp and FSG ku-bid £110m for a player, man, we wouldve won everything with Caicedo.

Ile game yetu dhidi ya Chelsea at Anfield, tulishindia uzoefu na akili ya ziada ya Kipara wetu, ila bwana mdogo Caicedo alishika dimba yote katikati, watu wanasema ile first-half dhidi ya Arsenal ndiyo ilikuwa game ngumu zaidi so far kwa Grav, but against Chelsea ndiyo ilikuwa ngumu Aisee, shughuli aliyopigishwa na Caicedo pale kati ilikuwa si mchezo, Kipara wetu kila akijaribu ku-tweak set-ups ili kumuokoa m-dutch mwenzake, shinpads bado zilikuwa zinawaka moto tu, hizi wanasemaga ni silent battles, vita inapigwa kimya kimya. kuna battle moja kati ya Fabinho Vs Rodri ilipigwa November 10, 2019 pale Etihad, ile Rodri alilala na Viatu nahisi, ilikuwa si mchezo ile battle, Fabinho was a MONSTER, no wonder he got washed up at 29, kazi aliyokuwa anafanya siyo ya mchezo.

Shughuli aliyopata mdogo wangu dhidi ya Caicedo, nahisi alivyofika dressing-room tu, akajitupa chini, haha, Sema Aisee, i cant express how much i love Grav, he is a warrior, a BEAST, proud of him.
 
Kama Wolverhampton aisee jamaa wanampira wa kumwagika, matokeo ndio shughuli sema wanakosa striking force ya maana

Ynwa

O'Neil is a good coach.

We interviewed pia wakati tunatafuta Klopp replacement.

I know its too early, na anaweza ku-turn things around, but data zinaonesha hali ni mbaya sana kwa Wolves now, ni suala la kumuamini au kumruhusu aende, maybe wachezaji wanahitaji new ideas & motivation.
 
AREND "Arne" MARTIJN SLOT.

Couldnt ask for more.

There will be ups & downs, twists & turns, the road wont always be fair & nice, BUT, tell you what? i'm excited, so excited, i think, i mean, i really think, just like Jurgen, this man, this BALDY GENIUS, was made for our CLUB.

Yes, & again, Welcome abroad SLOT, i will support you every step of the way, you will get some heat-up msgs from me, well here & there, but thats how i am, haha, but kama ilivyokuwa kwa Klopp, you're legacy will be safe with me.

I've already watched & witnessed what you can really do with this Club, so nobody can tell me shit, didnt even got phased with another Genius, Amorim going to Utd, why would i? i've got you at LFC.

Theres still a LONG WAY to go, and i'm not carried away with these results, but i see hope, i see nothing but a good future, a good LFC team, a good LFC club.

I was there, at Anfield, at our Brighton game, and what you did in that second-half, left me fucking amazed & speechless, i was like, oh my word, this bald fucker, this bald fucker!!!!!! what the https://jamii.app/JFUserGuide is this???? hahaha. what a coach, again Mr. SLOT, WELCOME ABROAD.

I TRUST YOU.

20241106_032231.jpg
 
Barcelona, just like any other club with senses watakuwa wanasubiri hatima ya Salah at LFC.

Meanwhile, FSG wanajiuliza kama a 33 yr-old player anahitaji kupewa £300k p/w, but kwa kile anachokupa Salah, week in, week, out, unajiuliza nini? kuna shida gani ukitoa a 2 yr-contract? tafuta understudy wa kum-replace Salah taratibu but usimwache aende, kulingana na shape aliyonayo sasa, bado ana miaka 3-4 ya kucheza Europe yule, Mane & Firmino wanashabihiana umri na Salah, na wamecheza wote kwa mafanikio makubwa sana at LFC, lakini wenzake wapo uarabuni huko wanacheza na part-time footballers, huyu mwingine akaamua kuwa nae part time pastor (firmino), kishamaliza mpira wake anawapiga tu hela waarabu, mwingine (Mane) akaamua nae kurudi kwao kuoa kabinti ka miaka 18, baada ya kumdanganya Mellisa Reddy kwa miaka na miaka, yaani vurugu tupu brother, but Salah bado yupo LFC anawaongoza wadogo zake kina Diaz, Gakpo, Jota, Nunez etc pale mbele, na kuwaongoza kwa kuwa mentor, NO, kwa kuwafudisha jinsi ya kufunga na kuiokoa TEAM inapokuhitaji, KILA WEEK. sasa wewe FSG unajifikiriaje kumpa new contract? absurd.

Tatizo tuna owners wapuuzi sana, brother.

VVD & Trent, tayari offers zao zipo kwenye table ya FSG, ni FSG ku-sanction tu, na inside stories ni kuwa suala la VVD halina shida kabisa, na Suala la Trent ni DOABLE, but kwa Salah ndiyo maswali ni mengi, but unakuwaje na maswali?

Slot deserves to work with these players hata kwa misimu miwili-mitatu.

Trent wants to be the HIGHEST paid player in the Club, na shida kidogo ndiyo ipo hapo, but i think FSG will curve in, maana kumuachia Trent kwenda Madrid itakuwa ni suala ambalo hawatasamehewa kamwe na scousers, & shida ni kuwa Madrid wanasubiria tu ku-strike, wapo mlangoni, its up kwa FSG ku-sort this out.

Na huwezi kumuachia Trent kaka, mimi mwenyewe nitaandamana na hawa stinking scousers, achia wote lakini siyo yule mtoto kaka, achia wote siyo yule, nakuwa na ugomvi nae mara kwa mara kwa hapa JF (kwa posts zangu za kumkosoa humu), ni kwasababu, wewe, mimi, na LFC fans wote wa humu, na dunia nzima kwa ujumla, tumemshuhudia huyu mtoto akikua at the club, unakumbuka wakati yupo academy, tulikuwa tumeshaanza kumuita new SG, now ni vice captain na ameshabeba kila kombe ngazi ya club at 26, imagine.

unamuachaje mtoto wetu tuliemlea aende Madrid for FREE? unforgivable.
Maneno mengi lkn huwezi kuwapangia FSG cha kufanya
 
Klopp, atakuwa anaumia sana kila akimuangalia Caicedo msimu huu, kazi anayopiga bwana mdogo msimu pale katikati, si mchezo. yule mjerumani alivyokuwa bahili, kukubali FSG watoe £110m, ilikuwa ni BIG statement, tunachukulia poa, lakini imagine Klopp and FSG ku-bid £110m for a player, man, we wouldve won everything with Caicedo.

Ile game yetu dhidi ya Chelsea at Anfield, tulishindia uzoefu na akili ya ziada ya Kipara wetu, ila bwana mdogo Caicedo alishika dimba yote katikati, watu wanasema ile first-half dhidi ya Arsenal ndiyo ilikuwa game ngumu zaidi so far kwa Grav, but against Chelsea ndiyo ilikuwa ngumu Aisee, shughuli aliyopigishwa na Caicedo pale kati ilikuwa si mchezo, Kipara wetu kila akijaribu ku-tweak set-ups ili kumuokoa m-dutch mwenzake, shinpads bado zilikuwa zinawaka moto tu, hizi wanasemaga ni silent battles, vita inapigwa kimya kimya. kuna battle moja kati ya Fabinho Vs Rodri ilipigwa November 10, 2019 pale Etihad, ile Rodri alilala na Viatu nahisi, ilikuwa si mchezo ile battle, Fabinho was a MONSTER, no wonder he got washed up at 29, kazi aliyokuwa anafanya siyo ya mchezo.

Shughuli aliyopata mdogo wangu dhidi ya Caicedo, nahisi alivyofika dressing-room tu, akajitupa chini, haha, Sema Aisee, i cant express how much i love Grav, he is a warrior, a BEAST, proud of him.
Kiswahili Kingi lkn point tupu
Wewe ni mchambuzi mzuri saana
Napenda kusikia jinsi Livapoli walivyoteseka
 
AREND "Arne" MARTIJN SLOT.

Couldnt ask for more.

There will be ups & downs, twists & turns, the road wont always be fair & nice, BUT, tell you what? i'm excited, so excited, i think, i mean, i really think, just like Jurgen, this man, this BALDY GENIUS, was made for our CLUB.

Yes, & again, Welcome abroad SLOT, i will support you every step of the way, you will get some heat-up msgs from me, well here & there, but thats how i am, haha, but kama ilivyokuwa kwa Klopp, you're legacy will be safe with me.

I've already watched & witnessed what you can really do with this Club, so nobody can tell me shit, didnt even got phased with another Genius, Amorim going to Utd, why would i? i've got you at LFC.

Theres still a LONG WAY to go, and i'm not carried away with these results, but i see hope, i see nothing but a good future, a good LFC team, a good LFC club.

I was there, at Anfield, at our Brighton game, and what you did in that second-half, left me fucking amazed & speechless, i was like, oh my word, this bald fucker, this bald fucker!!!!!! what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala is this???? hahaha. what a coach, again Mr. SLOT, WELCOME ABROAD.

I TRUST YOU.

View attachment 3144747
mkuu,
what's your take on Amorin to Utd,?

huwa najaribu kufikiria, nini kilimshinda Erick ambacho yeye ataweza? bado namwona Eric kama kocha mzuri, sijui kwanini amefeli pale
 
Barcelona, just like any other club with senses watakuwa wanasubiri hatima ya Salah at LFC.

Meanwhile, FSG wanajiuliza kama a 33 yr-old player anahitaji kupewa £300k p/w, but kwa kile anachokupa Salah, week in, week, out, unajiuliza nini? kuna shida gani ukitoa a 2 yr-contract? tafuta understudy wa kum-replace Salah taratibu but usimwache aende, kulingana na shape aliyonayo sasa, bado ana miaka 3-4 ya kucheza Europe yule, Mane & Firmino wanashabihiana umri na Salah, na wamecheza wote kwa mafanikio makubwa sana at LFC, lakini wenzake wapo uarabuni huko wanacheza na part-time footballers, huyu mwingine akaamua kuwa nae part time pastor (firmino), kishamaliza mpira wake anawapiga tu hela waarabu, mwingine (Mane) akaamua nae kurudi kwao kuoa kabinti ka miaka 18, baada ya kumdanganya Mellisa Reddy kwa miaka na miaka, yaani vurugu tupu brother, but Salah bado yupo LFC anawaongoza wadogo zake kina Diaz, Gakpo, Jota, Nunez etc pale mbele, na kuwaongoza kwa kuwa mentor, NO, kwa kuwafudisha jinsi ya kufunga na kuiokoa TEAM inapokuhitaji, KILA WEEK. sasa wewe FSG unajifikiriaje kumpa new contract? absurd.

Tatizo tuna owners wapuuzi sana, brother.

VVD & Trent, tayari offers zao zipo kwenye table ya FSG, ni FSG ku-sanction tu, na inside stories ni kuwa suala la VVD halina shida kabisa, na Suala la Trent ni DOABLE, but kwa Salah ndiyo maswali ni mengi, but unakuwaje na maswali?

Slot deserves to work with these players hata kwa misimu miwili-mitatu.

Trent wants to be the HIGHEST paid player in the Club, na shida kidogo ndiyo ipo hapo, but i think FSG will curve in, maana kumuachia Trent kwenda Madrid itakuwa ni suala ambalo hawatasamehewa kamwe na scousers, & shida ni kuwa Madrid wanasubiria tu ku-strike, wapo mlangoni, its up kwa FSG ku-sort this out.

Na huwezi kumuachia Trent kaka, mimi mwenyewe nitaandamana na hawa stinking scousers, achia wote lakini siyo yule mtoto kaka, achia wote siyo yule, nakuwa na ugomvi nae mara kwa mara kwa hapa JF (kwa posts zangu za kumkosoa humu), ni kwasababu, wewe, mimi, na LFC fans wote wa humu, na dunia nzima kwa ujumla, tumemshuhudia huyu mtoto akikua at the club, unakumbuka wakati yupo academy, tulikuwa tumeshaanza kumuita new SG, now ni vice captain na ameshabeba kila kombe ngazi ya club at 26, imagine.

unamuachaje mtoto wetu tuliemlea aende Madrid for FREE? unforgivable.
Trent if they don't have money to give him they should consult us fans

If they sell trent i won't look any Liverpool match for two or three season

It will be a mental breakdown
 
Back
Top Bottom