Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klabu ya Liverpool imeripotiwa kuandaa kitita cha euro milioni 70 kwa ajili ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa klabu ya Eintracht Frankfurt, Omar Marmoush.

Marmoush (25) raia wa Misri amefunga magoli 13 na 'assists' 9 mpaka sasa msimu huu kwenye michuano yote yakiwemo magoli 10 na assist 6 kwenye Bundesliga.

Marmoush ambaye hivi karibuni alifunga goli maridadi la 'free-kick' kwenye ushindi wa Frankfurt dhidi ya Slavia Prague kwenye Ligi ya Europa anatarajiwa kuungana na Mmisri mwenzake, Mohammed Salah huko Liverpool.

Hata hivyo huenda akawa mrithi wa Salah ikiwa Liverpool itashindwa kufikia makubaliano ya nyongeza ya mkataba mpya na Mo Salah.

#KitengeSports
Amepiga lingine la Free-kick jana dhidi ya Stugart.
 
Mi sitamsamehe Klopp kwa fainali ya CL 2022 na PL 2019

Brother, kwenye CL ulitaka Klopp afanyaje? au kitu gani alitakiwa kufanya? karibu tujadili, maana kama unasema hutokuja kumsamehe, it means kuna sehem kubwa uliona amekosea, tujadili haya makosa, karibu.

Msimu wa 2018/19, we lost a league by 1 point.

We finished the league with;
1. 97 points
2. Salah & Mane as joint top scorers
3. Fewest goals conceded
4. Alisson with most clean sheets
5. Virgil won PL player of the year
6. etc

Meaning, tulikuwa tumekamilika kila idara, defense, MF & our attacking line, unfortunately we were going against Pep Guardiola & Man City ambao walikuwa on TOP form, but tulipoteza title kwa ONE point tu, City won it by 98 points.

Unajua, what it TAKES kugusa points 97 kwenye league marathon? mbona mnachukulia sana poa huu mchezo Aisee? au kwa kuwa mnaangalia tu kwenye TV? unaelewa wachezaji & bench la ufundi wanatakiwa kuwa katika LEVEL ipi phyically & mentally ku-clock hizo 97 points? tena kwenye league ngumu kama ya EPL? acha masikhara Aisee.

Then, huo mwaka unaonsema hutamsamehe Klopp kwa ku-clock 97 points, ndiyo tulipepa CHAMPIONS LEAGUE TROPHY after 14 years, same year tukashinda UEFA Super Cup, FIFA Club World Cup.

Then msimu uliofatia, 2019/20, we won the LEAGUE by 99 POINTS, 1 points off 100, and guess what? umesikia kuhusu Coote leo, the reason we didnt touch 100 POINTS, ni ile controvesial game yetu na Burnley at Anfield, ambayo Coote alikuwa ni refa.

Hebu acha kuchukulia mpira poa, kuna reason why players like Fabinho, Firmino, Gini, Mane, Henderson etc, started to struggle with injuries or lost their legs wakati bado umri unaruhusu, kulingana na LEVEL ya mpira tuliyokuwa tunacheza from 2018-2022.

Huwezi kumsamehe Manager, ambaye kakupa kila aina ya Kombe kwenye ngazi ya Club, huku akienda toe to toe na powerhouses kama Man City kwenye league, Messi's Barcelona, Ronaldo's & Benzema's madird, Bayern ya Muller & Lewandowski etc.

PL? kakupa
CL? Kakupa
FA Cups? Kakupa
EFL Cups? Kakupa
USC? Kakupa
FIFA Club World Cup? Kakupa

It took us 30 years ku-land a PL trophy.
14 years ku-land a CL trophy
15 years ku-land a FA Cup trophy
15 years ku-land a USC trophy
First time ever ku-land FIFA CWC.

Why, usiwe na shukrani kwa kocha aliyekuja na ku-break hii generational curse? huyo kocha ambaye huwezi msamehe kama angeamua kuondoka baada ya msimu wa 2022/23, hii club ingekuwa katika hali gani? alibaki na akaitengeneza hii team from the scratch tena, now wachezaji ambao ulikuwa unasema ni mizigo last season, kina Grav/Szobo/Nunez wanakupa points week in, week out, chini ya New coach, what if huyo new coach angekuja na kukutana na washed up Fabinho, Henderson, Firmino, Mane etc? form na aina ya mpira tunaocheza now ingekuwa the same? kuweni na shukrani sometimes, mpira siyo mwepesi kama mnavyodhani, its take a lot work na kujitoa kuwa mjuvi wa taaluma ya mpira, na hii inaenda kwenye fani/kazi ya mtu yeyote yule.
 
Brother, kwenye CL ulitaka Klopp afanyaje? au kitu gani alitakiwa kufanya? karibu tujadili, maana kama unasema hutokuja kumsamehe, it means kuna sehem kubwa uliona amekosea, tujadili haya makosa, karibu.

Msimu wa 2018/19, we lost a league by 1 point.

We finished the league with;
1. 97 points
2. Salah & Mane as joint top scorers
3. Fewest goals conceded
4. Alisson with most clean sheets
5. Virgil won PL player of the year
6. etc

Meaning, tulikuwa tumekamilika kila idara, defense, MF & our attacking line, unfortunately we were going against Pep Guardiola & Man City ambao walikuwa on TOP form, but tulipoteza title kwa ONE point tu, City won it by 98 points.

Unajua, what it TAKES kugusa points 97 kwenye league marathon? mbona mnachukulia sana poa huu mchezo Aisee? au kwa kuwa mnaangalia tu kwenye TV? unaelewa wachezaji & bench la ufundi wanatakiwa kuwa katika LEVEL ipi phyically & mentally ku-clock hizo 97 points? tena kwenye league ngumu kama ya EPL? acha masikhara Aisee.

Then, huo mwaka unaonsema hutamsamehe Klopp kwa ku-clock 97 points, ndiyo tulipepa CHAMPIONS LEAGUE TROPHY after 14 years, same year tukashinda UEFA Super Cup, FIFA Club World Cup.

Then msimu uliofatia, 2019/20, we won the LEAGUE by 99 POINTS, 1 points off 100, and guess what? umesikia kuhusu Coote leo, the reason we didnt touch 100 POINTS, ni ile controvesial game yetu na Burnley at Anfield, ambayo Coote alikuwa ni refa.

Hebu acha kuchukulia mpira poa, kuna reason why players like Fabinho, Firmino, Gini, Mane, Henderson etc, started to struggle with injuries or lost their legs wakati bado umri unaruhusu, kulingana na LEVEL ya mpira tuliyokuwa tunacheza from 2018-2022.

Huwezi kumsamehe Manager, ambaye kakupa kila aina ya Kombe kwenye ngazi ya Club, huku akienda toe to toe na powerhouses kama Man City kwenye league, Messi's Barcelona, Ronaldo's & Benzema's madird, Bayern ya Muller & Lewandowski etc.

PL? kakupa
CL? Kakupa
FA Cups? Kakupa
EFL Cups? Kakupa
USC? Kakupa
FIFA Club World Cup? Kakupa

It took us 30 years ku-land a PL trophy.
14 years ku-land a CL trophy
15 years ku-land a FA Cup trophy
15 years ku-land a USC trophy
First time ever ku-land FIFA CWC.

Why, usiwe na shukrani kwa kocha aliyekuja na ku-break hii generational curse? huyo kocha ambaye huwezi msamehe kama angeamua kuondoka baada ya msimu wa 2022/23, hii club ingekuwa katika hali gani? alibaki na akaitengeneza hii team from the scratch tena, now wachezaji ambao ulikuwa unasema ni mizigo last season, kina Grav/Szobo/Nunez wanakupa points week in, week out, chini ya New coach, what if huyo new coach angekuja na kukutana na washed up Fabinho, Henderson, Firmino, Mane etc? form na aina ya mpira tunaocheza now ingekuwa the same? kuweni na shukrani sometimes, mpira siyo mwepesi kama mnavyodhani, its take a lot work na kujitoa kuwa mjuvi wa taaluma ya mpira, na hii inaenda kwenye fani/kazi ya mtu yeyote yule.
I completely agree. Klopp has been an absolute game-changer for Liverpool. The level of consistency and success we've seen under his tenure is truly remarkable.

It's easy to forget just how far we've come in such a short period. The team was in a bit of a rut before Klopp arrived, and he's completely transformed us into a dominant force in both domestic and European competitions.

To achieve the level of points we did in the 2018/19 and 2019/20 seasons, while also competing in multiple competitions, is a testament to Klopp's tactical acumen and the incredible work ethic of the players.

It's disappointing to see some fans take Klopp's success for granted. The Premier League is arguably the toughest league in the world, and to consistently challenge for titles year after year is no easy feat.

Klopp has given us memories that will last a lifetime. And while it's always disappointing to lose a title, especially by such a small margin, we should be proud of what the team has achieved under his leadership.
 
Slot hatabiriki namna anavyonyumbulika kutokana na opponent nilishangaa sana game ya Leverkusen alivyomtumia diaz as a force 9. na aliperform vizuri.

nachokiona slot will surprise many this season. ukiangalia transition yake akishinda namna anavyo manuva formation kumaintain ushindi.

Come may 2025 tutakuwa na mengi yakushangilia hopefully kama sio premier league basi UEFA au vyote kwa pamoja. cha msingi tuendelee kuwin game zetu tu.
I couldn't agree more! Slot's tactical flexibility is really impressive. Using Diaz as a false 9 against Leverkusen was a masterstroke. It just goes to show how adaptable he is and how he's always looking for new ways to catch our opponents off guard.

I'm really excited to see what the rest of the season holds for us under Slot. His ability to transition from defense to attack so quickly is going to be a huge asset.

If we can keep up this momentum, I have no doubt we'll be challenging for major honors. Whether it's the Premier League, the Champions League, or both, I'm confident we'll have plenty to celebrate come May 2025. Let's keep the faith and keep pushing forward!
 
Lakini bro it hard to speak about Slot without name Klopp, ni ngumu sana. After this season Slot ataanza kujitegemea mwenyewe its a nature.

Hivi umewaza kocha atakaye mrithi Pep itakuwaje? It will be Pap vs his successor, remember after Sir Fergie it was Moyes vs Fergie.

Hizi mbona mbona kukwepa ni ngumu but i agree with you.

Wengi hatukufikiri kama Slot atakuwa anachokifanya, but i agreed with that i expected nothing from, presence ya kubadili tu kocha ilibidi nikubaliane nayo why,? A world class coach like Klopp akikuambia im no more you have to accept him, kama Pep anavyowaambia City im no more you have to accept his decision.

After watching Slot’s pre season, niliona he has something we needed, 1 double pivot, kama Fabinho angepata hii system ya double pivot huenda tungekuwa naye till to date, how calm he is kwenye kutafuta ushindi , and jinsi alivyo mnyumbulikaji vs opponent ilinipa kuamini we are on the right track.

Game vs Arsenal’s preseason kama sijakosea, he used double 10 kwa sababu hakua na natural ST. Hii inakupa pic ni jinsi gani coach unapaswa kuishi na ulichonacho in term haujapata unayemtaka kwa factors kadhaa.

Im still 50/50 kwenye trophies sina matarajio makubwa kwake, lets enjoy our moment.

Ynwa’

Ni manner ya jinsi unavyomuongelea Klopp, its not about Slot here brother.

You can praise Slot's work bila kudogosha kile alichofanya Klopp at the Club.

Slot bado mpya sana, siombi kabisa itokee, but bado hajakutana na CHANGAMOTO yeyote at the club, na hii imechangiwa sana na kile alichoacha mtangulizi wake, na ndiyo maana huwa nasema, Klopp ni greatest Human-Being kuwahi kuitembelea LFC, hii club ingekuwa ni takataka bila Klopp kaka, uelekeo wetu baada ya Rodgers kuvurunda ulikuwa unaonekana brother, tungekosea appoitment ya Kocha kipindi kile, tulikuwa tunaenda kuoza, unajua kuwa Carlo alitukataa, options zilizokuwa mezani ni De Boer & Roberto Martinez, kabla ya Klopp kuamua kupokea simu za FSG, tulikuwa tuna options hizo tu, kama angetakaa, na angekuja, lets say, Roberto Martinez tungekuwa wapi now? huyo Slot angetaka hata kuja LFC? unajua why Slot alizikataa Chelsea na Spurs last season & kabla ya hapo? kwasababu ni MOJA tu, project hazikuwq stable, kaja LFC kwasababu ya Project hii, unamu-offer Alisson, VVD, Konate, Trent, Alexis, Ryan, Szobo, Gakpo, Nunez, Salah, Jota, Diaz, Curtis, Elliott, etc, anatakaa vipi kuja? na pia team imetoka kwa his role model Klopp? Klopp angekuwa selfish si angefanya kama Fergie kuiacha Utd na wazee? mbona alibaki na kuitengeneza team upya? hivi vitu hatuzingatii tunapomdogosha Klopp.

Klopp, alichukua LFC iliyokuwa na kikosi cha kina Mignolet, Brad Jones, Manquillo, Lovren, Sakho, Moreno, Can, Markovic, Balotelli, Lucas, Henderson, Borini, Skrtel, Lallana, Milner etc, NINE YEARS later baada ya kushinda kila kombe kwenye ngazi ya Club, kaacha kikosi chenye kina Alisson, VVD, Konate, Trent, Robertson, Kostas, Grav, Alexis, Szobo, Gomez, Curtis, Diaz, Gakpo, Salah, Nunez, Jota, Bradley, etc, unaona UTOFAUTI? angeamua ku-sabotage club si angefanya tu il kulinda his legacy? mbona kawa un-selfish?

Funny thing is, Slot bado anatembea na style of play kwenye BIG games zote, na sahiv imekuwa norm, kila game anatembea na style of play, because he's SMART, huwezi ku-imprint your new ideas now wakati team ipo kwenye good form, alichofanya ni ku-tweak tu shape ya kwenye midfield, instead ya kutumia recycler/retreaver (Endo or Alexis at 6) anatumia a flat bully ball carrier/progressor as a 6 ili ku-open up running voids za our wingers (LW & RW), hii ndiyo ilikuwa Klopp bread & butter kipindi cha kina Fabinho, kabla ya legs za fabinho kufa na ku-revert back kwenye retrieving pattern mode, hence we brought in Thiago, it limited Salah goal scoring chances/stats, but because ya kutokuwa na quick legs kwenye kiungo, ilitusaidia tuwe most watchable ball retainers in the league.

You know what? when Klopp said he was leaving, sikuwa hata shocked, kama ulikuwa unamsoma Klopp, ni mtu ambaye haamini katika PLAN B (tulikuwa tunapiga sana kelele kwenye hili), tulikuwa tunalia sana kila siku na Lovren, kila siku tulikuwa tunajiuliza humu, lini tunanunua a CB? mbona wapo wengi? kila siku tulikuwa tunakuja na majina humu, ila kwake ilikuwa ni VVD, it was him or NO ONE, ndiyo maana tulipokuwa busted na Southampton kule Blackpool, aliamua kusubiri tena mpaka january, hatuku-sign CB yeyote, na ilituumiza sana, but kwa Klopp ilikuwa ni VVD or BURST, ndiyo maana we broke the record and paid £75m for him, Klopp alifanya hivyo kwa Alisson, he was ready to continue na Karius, mpaka Roma walivyolegeza msimamo, na utakumbuka we had kuipiga chini move ya Fekir ambayo ilikuwa imebaki kusainiwa tu papers, but funds zilikuww tight, so it was HIM or BECKER, Klopp went for Becker bila hata kujiuliza, na hii ni baada ya kusubiria sana, same kwa Fabinho, na hawa ndiyo players waliobadilisha uelekeo wa LFC for good. so baada ya Fabinho kuanza kupotea, scouts walimpa majina mengi sana, but kati ya yote hayo he got obsessed na Tchouameni, ikawa ni HIM or BURST, na tulivyomkosa Klopo akagoma ku-sign players mwingine yeyote at DM, then akaibuka Caicedo, naye tukamkosa, nikajua tu, deep down kabisa, Klopp hana muda mrefu at LFC, because after Tchou & Caicedo, me binafsi sikuona DM mwingine ambaye Klopp angemuhitaji kwa nguvu zote, & he felt kuwa FSG didnt do enough kuhusiana na Caicedo. City had Rodri, Arsenal had Rice, that was so draining.

But, at the end our MF rebuild wasnt bad, especially signing iliyokuwa inaonekana ni pointless ya Gravenberch.

I like Slot, mimi nipo na scouser, believe me, 99% of scousers wanted Amorim at LFC, not Slot, jina lake lilivyotajwa, kulikuwa kuna ubaridi sana, yale maneno ya "trust edwards" ndiyo yalikuwa yamejaa, watu walikuwa hawamuamini Slot, but Edwards, kwamba Edwards hawezi fanya mistakes, scousers wote walianza kuwa behind na Slot baada ya Klopp kumuimba at Anfield wakati anaondoka na kuwaambia WAMUAMINI SLOT, ndiyo mtaani kukabadilika, sasa kuna watu ambao walikuwa hawamtaki kabisa Slot, nawaona kila siku kwenye platforms mbali mbali wanamwita genius now, mimi napenda na nafatilia mpira, na tangu mwanzo sikuwa na shaka na appointment ya Slot, nilivyosikia mwisho wa interviews, it was him or Amorim, nilikuwa nimejiandaa kwa yeyote atayepita, because wote ni good coaches na zilikuwa ni right profiles.

Slot, ana safari ndefu at LFC, but haijalishi kuwa kakuta a good team, mazingira mazuri etc, anachofanya kwasasa ni KIKUBWA sana, it takes a GIANT to be a GIANT.

But, i know for a fact, kama Slot angeanza na results mbovu, najua kabisa ningekuwa nashinda humu kumtetea, maana najua angekuwa anatukanwa sana, na ukizingatia katokea Feyernoord, angekuwa anatukanwa yeye na FSG kila siku, but Mungu ni mwema kaanza vizuri, so ametusaidia kuficha ujinga na uzandiki wa mashabiki wq LFC duniani kote, siyo tu humu.

Mimi kwangu, LFC ni KWANZA, then vingine vinafata, na kama umesoma sana my posts huko nyuma, huwa simkosoi manager msimu wake wa kwanza, na huwa naanza ku-call for his head msimu wa tatu (kama mambo yakiwa yanaenda kombo), nina maswali mengi sana kuhusu technical abilities za Slot, na nikiamua kuandika hapa, nitaja feed, but sipo hivyo, this is his first season, na technically, mchezaji wake ni Chiesa tu, na mpira wake tutaanza kuona akipata DM wake anayemuhitaji (Zubimendi was the one), hapa nilipo na-revisit game ya Astona Villa, baada ya kumaliza ya Arsenal, huwa napenda kuangalia mpira in detail, bacause ni kazi yangu, but huwezi kuona nauza articles za kumkosoa Slot now, NO, this is his adjustment period, na so far ame-prove kuwa LFC is NOT that BIG kwake.
 
I completely agree. Klopp has been an absolute game-changer for Liverpool. The level of consistency and success we've seen under his tenure is truly remarkable.

It's easy to forget just how far we've come in such a short period. The team was in a bit of a rut before Klopp arrived, and he's completely transformed us into a dominant force in both domestic and European competitions.

To achieve the level of points we did in the 2018/19 and 2019/20 seasons, while also competing in multiple competitions, is a testament to Klopp's tactical acumen and the incredible work ethic of the players.

It's disappointing to see some fans take Klopp's success for granted. The Premier League is arguably the toughest league in the world, and to consistently challenge for titles year after year is no easy feat.

Klopp has given us memories that will last a lifetime. And while it's always disappointing to lose a title, especially by such a small margin, we should be proud of what the team has achieved under his leadership.

LFC was just a stepping stone kabla ya Klopp, na hivyo it took Klopp 3 years kuaminisha players kuwa LFC ni serious club.
 
Nunez agent of chaos.
Hana regular starting berth under Slot thus scoring just 2 and an a 1 assist and with Gakpo na Diaz playing as they are well Nunez has fallen below the pecking order as of now.
At Liverpool's his role its a bit different compared na Benfica where he had wing backs and Ramos and Rafa Silva playing in his strength under 442 or 343 formation and his numbers are there to tell especially his second season he was voted best player in the league and scored 26 league goals in 28 games akiwa mfungaji bora wa ligi .
Misimu yake miwili Benfica ligi kuu alifunga goli 32 na assist 14 katika gemu 57 huku gemu akianza gemu 43 na kupewa sub gemu 14 na gemu moja akianzia benchi hivyo utaona akiwa Ureno alicheza dakika nyingi na magoli pia yalikua mengi msimu wke wa pili. Msimu wa kwanza 2020 aliumia na kupata corona hivyo alifunga goli 6 tu. Baada ya kupona hakufunga goli kwa miezi minne na dogo hakuchoka wala kukataa tamaa kwani msimu uilofuata ndio alijitangaza vyema kama strika chipukizi kwa kufunga magoli muhimu Ureno Benfica alichukua ubingwa na champions league akiwafunga Liverpool, Barcelona, Ajax nk nk.
Nunez anang’aa zaidi akicheza lone 9 jambo ambalo Liverpool ni ngumu ukiwa na epic Salah akiwa focal points wa timu hivyo Klopp alijaribu kila namna ku accommodate wote na kwa matokeo tofauti.

Nunez ana ma shoti ya kila engo akitumia mguuu wa kulia na pia ni mzuri mipira ya kichwa.. Ana mishe haswa pale mbele, anahitaji utulivu wa maauzi sahihi wakati sahihi.

Pale ureno hakua na majukummu ya kurudi nyuma kusaidia timu alibaki kule kule mbele kwa kua ni waumini wa kaunta atack wakitumia overlapping full backs.


Ligi Kuu Uingereza amecheza gemu 75 ameanza gemu 44 ametokea benchi gemu 28 huku akifunga goli 21 na assist 12. Amekua akicheza aidha winga wa kushoto au mshambuliaji wa kati. Hua anapedelea kucheza winga wa kushoto tunaposhambulia ili kufungua njia kwa wengine wafunge akiwavuta pembeni mabeki kusud akina Salah etc wapate space za kushambulia.

Mapungufu yake yapo tukianza na la nidhamu tangu atue Liverpool amecheza foul 62 akipewa kadi za njano 12 na nyekundu 1.
Mapungufu mengine amecheza offside mara 53 na hii hapa ndio Slot akomae nae kwani anafanya kila move sahihi kasoro kwenye timing ili akwepe offside trick ya timu pinzani. His offside awareness ndio biggest weakness alionayo hapa Liverpool and the earlier Slot sort that out we have a beast in namba 9.
Pia hajawa clinical akigonga mwamba mara 14 EPL tu. Ina maana Slot na hapa wana kibarua.
Kingine ni klosi zake sio nzuri sana japo sio jukumu lake kuu lakin angalau na hapa Slot apambane nae.
Ukilinganisha na wengine ana goal involvement rate per 90 ipo kama ifuatavyo
Jota 0.36
Nunez 0.25
Gapko 0.23
Diaz 0.80
Salah 0.72
Ukitazama hapo utaona hayupo vimbaya sana compared na dakika anazopata.
Anafunga goli msimu huu kila baada ya dakika 361.
Yupo nafasi ya 56 kwa kufunga kati ya wachezaji 276 EPL.
Assist yupo nafasi ya 41 kati ya wachezaji 276 EPL.
Ana pass completion ya 70.97% needs improvement. Key pass rate ni 0.75.

So anamsaidia aje Slot kwa sasa? With Nunez uwanjani Slot ataona opponent back line inakua pinned kwenye half yao kwa sababu dogo yeye hua anakimbia dakika 90+ hachoki ni pale tu aongeze awareness kukwepa mtego wa offside maana mbio anazo, ana instinct wapi pasi ya Trent etc itatua ishu tu ni wakati gani akimbie. Ni mzuri kutega rebounds shot lakin ishu tu ni accuracy na offside trick.
Tangu atue Slot tunamuona Nunez design kama Firmino in terms of kucheza zaidi kwa ajili ya timu. Tazama stat zake amecheza gemu 10 tu ana tackling 6. Aafu chini ya Klopp kwa misimu miwili alicheza tackling 33 katika gemu 65 hapo utaona Slot anachokitaka ni awe 1st line of defence ili kupoza mashambulizi kwenda kwetu na hii sasa itamfanya awe all round player akiwa threat ndani ya box na nje ya box.

Rekodi Nunez EPL ipo hivi
Offiside 53
Foul amecheza 62
Ametackle 43
Ame block 36
Interception mara 7
Clearance mara 26.
Ina maana Nunez ni work in progress na Slot naanza kumwelewa baada ya kazi nzuriiiiii kwa Gravenberch, Tsimikas, Konate, Diaz na Trent wote tumewaona wamekua next level chini ya Kipara wetu niko na imani Nunez nae atafikia levo hizo.

YNWA

Thanks brother.

Tunatafuta tafuta huku, siku tutakumbukana kwenye ufalme, hahaha!

God is good.
 
View attachment 3149639
View attachment 3149640
View attachment 3149641


David Coote refa aliyetuumiza sana.

Hilo tukio la Rodri, ilikuwa mechi vs Everton City alishinda kwa 1-0 should them get penalty ambayo ingeamua hatma ya ubingwa. Ndio season tuliyokoja ubingwa kwa point moja, imagine angetoa penalty, story would be otherwise.

Ila kwa PGMOL hakuna kitu watamfanya ni mbwembwe tu hizi, i expect nothing.

Ynwa’
His career kwenye PL imeisha.

his bosses wont risk it.
 

Manyanza unanifurahisha, watu ambao una-interact nao au kuwa-follow kwenye hizi platforms, huwa inachekesha sana.

Huyo scouser wa redmen Tv umem-follow hapo, ni BIG believer wa ile kauli yao ya Liverpool FC ni ya wakati wa Jiji la Liverpool tu, & wageni wanafanya wao wapate tabu sana kupata tickets na hawafai kuingia uwanjani kuangalia matches.

Ni racist mkubwa sana huyo, na ni kawaida yao sana kuanzishaga ugomvi/mabishano na foreign fans nje ya uwanja.

Redmen Tv, ndiyo fan Tv yenye access kubwa sana na Club, na ndiyo maana wanapata inteviews nyingi sana na players & coaches, kwasababu ni FSG bootlickers, hao hakuna baya la FSG, nakupa task sahiv, anza kuwafatilia kwenye hizi debates za mikataba ya Kina Salah, VVD, Trent, utakuta wanawalaumu kina Salah, tena especially Trent.

Hao watu siyo wa kuwafollow, they are against foreigners, wakati Team yote wanayosupport imejaa foreigners.
 
Brother, kwenye CL ulitaka Klopp afanyaje? au kitu gani alitakiwa kufanya? karibu tujadili, maana kama unasema hutokuja kumsamehe, it means kuna sehem kubwa uliona amekosea, tujadili haya makosa, karibu.

Msimu wa 2018/19, we lost a league by 1 point.

We finished the league with;
1. 97 points
2. Salah & Mane as joint top scorers
3. Fewest goals conceded
4. Alisson with most clean sheets
5. Virgil won PL player of the year
6. etc

Meaning, tulikuwa tumekamilika kila idara, defense, MF & our attacking line, unfortunately we were going against Pep Guardiola & Man City ambao walikuwa on TOP form, but tulipoteza title kwa ONE point tu, City won it by 98 points.

Unajua, what it TAKES kugusa points 97 kwenye league marathon? mbona mnachukulia sana poa huu mchezo Aisee? au kwa kuwa mnaangalia tu kwenye TV? unaelewa wachezaji & bench la ufundi wanatakiwa kuwa katika LEVEL ipi phyically & mentally ku-clock hizo 97 points? tena kwenye league ngumu kama ya EPL? acha masikhara Aisee.

Then, huo mwaka unaonsema hutamsamehe Klopp kwa ku-clock 97 points, ndiyo tulipepa CHAMPIONS LEAGUE TROPHY after 14 years, same year tukashinda UEFA Super Cup, FIFA Club World Cup.

Then msimu uliofatia, 2019/20, we won the LEAGUE by 99 POINTS, 1 points off 100, and guess what? umesikia kuhusu Coote leo, the reason we didnt touch 100 POINTS, ni ile controvesial game yetu na Burnley at Anfield, ambayo Coote alikuwa ni refa.

Hebu acha kuchukulia mpira poa, kuna reason why players like Fabinho, Firmino, Gini, Mane, Henderson etc, started to struggle with injuries or lost their legs wakati bado umri unaruhusu, kulingana na LEVEL ya mpira tuliyokuwa tunacheza from 2018-2022.

Huwezi kumsamehe Manager, ambaye kakupa kila aina ya Kombe kwenye ngazi ya Club, huku akienda toe to toe na powerhouses kama Man City kwenye league, Messi's Barcelona, Ronaldo's & Benzema's madird, Bayern ya Muller & Lewandowski etc.

PL? kakupa
CL? Kakupa
FA Cups? Kakupa
EFL Cups? Kakupa
USC? Kakupa
FIFA Club World Cup? Kakupa

It took us 30 years ku-land a PL trophy.
14 years ku-land a CL trophy
15 years ku-land a FA Cup trophy
15 years ku-land a USC trophy
First time ever ku-land FIFA CWC.

Why, usiwe na shukrani kwa kocha aliyekuja na ku-break hii generational curse? huyo kocha ambaye huwezi msamehe kama angeamua kuondoka baada ya msimu wa 2022/23, hii club ingekuwa katika hali gani? alibaki na akaitengeneza hii team from the scratch tena, now wachezaji ambao ulikuwa unasema ni mizigo last season, kina Grav/Szobo/Nunez wanakupa points week in, week out, chini ya New coach, what if huyo new coach angekuja na kukutana na washed up Fabinho, Henderson, Firmino, Mane etc? form na aina ya mpira tunaocheza now ingekuwa the same? kuweni na shukrani sometimes, mpira siyo mwepesi kama mnavyodhani, its take a lot work na kujitoa kuwa mjuvi wa taaluma ya mpira, na hii inaenda kwenye fani/kazi ya mtu yeyote yule.
Nimependa sana hii.
Baadhi ya watu hudhani kila mmoja aweza kuwa kocha.
Kazi ya ukocha ni ngumu, waache dharau.
Klopp amefanya makubwa, apewe heshima yake
 
Slot: not that difficult to plan” to face Unai Emery’s Aston Villa as the Spaniard “has played in a similar style for years”.

Hii kauli unaweza kuona kama mpinzani amechukuliwa kiwepesi but it had happened yesterday.

Slot anafuatilia mpinzani wake in details na ndio mana Villa kila wakijaribu kuja na plan ya kutushambulia au kutuzuia ilikuwa rahisi kwa Slot kuwajibu na hiyo jibu lake ni hili njoo na nyingine.

Jana build ilafanywa narrowly structure Bradley anasogea karibu na Ibou, Robbo karibu na Vvd na ball movements zinafanyika kwa muundo huo, mpira uki RHS Bradley anavutika chini Robbo anavutika upande pia kufuata ball move and vice verse, mbele yao anasimama Gravern na Macca, Kazi ya Vvd, Ibou Bradley, Robbo ni kupiga 1 pass nyuma ya mstari wa kwanza wa Villa kwa Gravern au Macca baada ya hapo imeisha, why?? Villa waliacha spaces nyingi btn foward line & MF line ilikuwa easy kwa Gravern with one turn and its over.

Villa walikuja na 4-3-3 without the ball kwa muda mrefu kipindi cha kwanza ikawa rahisi kupita. Hata LFC waliacha Spaces ila as Slot said its not difficult ku plain vs Emery.

One counter and killed them (hii toka era ya klopp we were beast kwenye counter) So Slot applied it yesterday where it due. Nunez had the chance to put 2-0 with the Counter ila Nunez is just Nunez.

2nd half Emery akaja na solution ya kuzuia na wachezaji wengi na wengi wawe behind the ball, with 4-4-2 defensively, Spaces zikafungwa vilivyo ilabaki tunacheza mpira zaidi kwa defenders & MF’s. Slot akaja na option nyingine Macca & Jones wasogee mbele na wacheze wide RHS& LHS lengo ni kulazimisha Villa wafunguke zaidi katikati pawe na Spaces maana yake kama watabaki ndani tu, LFC wameongeza numbers pembeni, mpira hauna na unautaka mpira upo 1-0 means bado mpo mchezoni, wakaingia kwenye mtego Spaces zikafunguka one long ball, Salah akapress pasi akaizuia, mbio tushindane, Martinez sogea mbele kidogo, mkataba nautaka uarabuni siende, its my chance them Boom 2 up.

Slot kapunguza offensively mode akawasha balance mode with natural DM (Endo) kuja kutuluza vurugu zao. Yule Onana alikuwa pinned sana ndio Gravern wao ukimbana vilivyo unaipunguzia Villa ability ya kukuumiza.

Slot anatamua muda mwingi kufuatilia opponents wake kwa kauli yake juu ya Emery. Nikajiuliza what if tufungwe na kauli kama hii??

Mpira unahitaji moments zote mbili uwe timamu uwanjani asiwepo mamluki with the ball, find spaces, with a time achia pasi, find space, run kwenye channels, tumia nafasi kwa usahihi and without the ball, kimbia kadiri ya uwezavyo, shinda mipambano yako ya aerial duels, second balls kwa ukamilifu. Hiki ndicho kilifanyika jana vs Villa.

Diaz is a beast mapafu ya mbwa mwenye njaa.

Jones technical ability yake inakupa tuvitu vitu hivi vitamu.

Gravern anavyoutumia mwili wake joyous to watch him with the ball.

Ibou Konate wanakuambia amebakisha mechi mbili vs City na Madrid baada ya hapo apewe likizo amwachie Quansah na Gomez, funny eeh?? Nafikiri Vvd akiona anacheza na Ibou anafurahia sana. Jamaa anajituma sana without the ball Ibou ni mtu hatari sana kuliko akiwa na mpira, ananusaa hatari haraka sana, kwenye counters so far he is our destroyer.

Kelleher what a Gk we have so far. Huwezi kuona pengo la AB1, kudos

Lets FSG open their mind and give Slot a proper DM in January and the rest will be history.

After Shankly (Klopp) to build LFC its time for Paisley (Slot) to grab as many tuttles as he can.

Chelsea[emoji736]
Leipzig[emoji736]
Arsenal[emoji1754]
Brighton[emoji736]
Brighton[emoji736]
Leverkusen[emoji736]
Aston Villa[emoji736]
Southampton[emoji3480]

Up reds
Up Liverpool

Know You Can
Ynwa’

You're doing great sana brother.

But, ukiwa unafanya in game-analysis, uwe unaangazia pia changamoto ambazo zilitokea kwenye game husika, ili u-balance, usiweke emotions kwenye kuchambua mpira, utashindwa kupanuka kimawazo, and knowledge ya kuuona mchezo kwa jicho la tatu itakuwa LIMITED sana, and that wont be a good look kabisa, especially kwa uwezo wako mkubwa ninouona wa kuusoma mchezo kwa ufanisi sana.

Siyo KUKOSOA, bali ku-highlight CHANGAMOTO, kukosoa ni jambo jingine kabisa na halina nafasi kwa sasa.

Game ya Villa ilikuwa ni game ya 2 halves, Slot outcoached Unai kipindi cha kwanza, BUT Unai outcoached Slot kipindi cha Pili, the difference hapa ilikuwa ni kuwa Slot ana Salah, Unai hana Salah.

So uchambuzi ungelenga kwa kina ku-discuss/decipher what went wrong in the 2nd half?, what needed to be changed/shifted ili ku-regain back control ya game? and why Unai outclassed us in that half, why did we allow it? then zingatia detailed patterns za mchezo husika, afu linganisha na games zingine ili uone nature ya patterns inayohusika hapo, kama inajirudia au ni suala la lapses tu, then utapata vitu viwili, utaigundua hiyo changamoto (negative pattern), na pia utagundua SOLUTION yake (Positive pattern), kupitia hizo hizo games utakazo-review.

Bado una-watch mpira/game, try to SEE the game, zingatia sana small details maana hizo ndizo huwa zinaamua game.

Either way, just happy upo hapa unashare chambuzi zako bila kuchoka, najua ni jinsi gani inachukua time na akili kuandaa hizi threads za chambuzi, its not a about money, but sharing your talent na kile ulichonacho kwa your fellow fans, thats the way of LFC.

This is a major move brother, continue to spread the love kupitia chambuzi hizi, hujui, but you're healing a lot of LFC football heads.

Changamoto za maisha ni nyingi, so ndiyo maana huwa napenda tuwe tunaifanya hii platform kuwa sehem ya kusambaziana upendo through football.
 
Ni manner ya jinsi unavyomuongelea Klopp, its not about Slot here brother.

You can praise Slot's work bila kudogosha kile alichofanya Klopp at the Club.

Slot bado mpya sana, siombi kabisa itokee, but bado hajakutana na CHANGAMOTO yeyote at the club, na hii imechangiwa sana na kile alichoacha mtangulizi wake, na ndiyo maana huwa nasema, Klopp ni greatest Human-Being kuwahi kuitembelea LFC, hii club ingekuwa ni takataka bila Klopp kaka, uelekeo wetu baada ya Rodgers kuvurunda ulikuwa unaonekana brother, tungekosea appoitment ya Kocha kipindi kile, tulikuwa tunaenda kuoza, unajua kuwa Carlo alitukataa, options zilizokuwa mezani ni De Boer & Roberto Martinez, kabla ya Klopp kuamua kupokea simu za FSG, tulikuwa tuna options hizo tu, kama angetakaa, na angekuja, lets say, Roberto Martinez tungekuwa wapi now? huyo Slot angetaka hata kuja LFC? unajua why Slot alizikataa Chelsea na Spurs last season & kabla ya hapo? kwasababu ni MOJA tu, project hazikuwq stable, kaja LFC kwasababu ya Project hii, unamu-offer Alisson, VVD, Konate, Trent, Alexis, Ryan, Szobo, Gakpo, Nunez, Salah, Jota, Diaz, Curtis, Elliott, etc, anatakaa vipi kuja? na pia team imetoka kwa his role model Klopp? Klopp angekuwa selfish si angefanya kama Fergie kuiacha Utd na wazee? mbona alibaki na kuitengeneza team upya? hivi vitu hatuzingatii tunapomdogosha Klopp.

Klopp, alichukua LFC iliyokuwa na kikosi cha kina Mignolet, Brad Jones, Manquillo, Lovren, Sakho, Moreno, Can, Markovic, Balotelli, Lucas, Henderson, Borini, Skrtel, Lallana, Milner etc, NINE YEARS later baada ya kushinda kila kombe kwenye ngazi ya Club, kaacha kikosi chenye kina Alisson, VVD, Konate, Trent, Robertson, Kostas, Grav, Alexis, Szobo, Gomez, Curtis, Diaz, Gakpo, Salah, Nunez, Jota, Bradley, etc, unaona UTOFAUTI? angeamua ku-sabotage club si angefanya tu il kulinda his legacy? mbona kawa un-selfish?

Funny thing is, Slot bado anatembea na style of play kwenye BIG games zote, na sahiv imekuwa norm, kila game anatembea na style of play, because he's SMART, huwezi ku-imprint your new ideas now wakati team ipo kwenye good form, alichofanya ni ku-tweak tu shape ya kwenye midfield, instead ya kutumia recycler/retreaver (Endo or Alexis at 6) anatumia a flat bully ball carrier/progressor as a 6 ili ku-open up running voids za our wingers (LW & RW), hii ndiyo ilikuwa Klopp bread & butter kipindi cha kina Fabinho, kabla ya legs za fabinho kufa na ku-revert back kwenye retrieving pattern mode, hence we brought in Thiago, it limited Salah goal scoring chances/stats, but because ya kutokuwa na quick legs kwenye kiungo, ilitusaidia tuwe most watchable ball retainers in the league.

You know what? when Klopp said he was leaving, sikuwa hata shocked, kama ulikuwa unamsoma Klopp, ni mtu ambaye haamini katika PLAN B (tulikuwa tunapiga sana kelele kwenye hili), tulikuwa tunalia sana kila siku na Lovren, kila siku tulikuwa tunajiuliza humu, lini tunanunua a CB? mbona wapo wengi? kila siku tulikuwa tunakuja na majina humu, ila kwake ilikuwa ni VVD, it was him or NO ONE, ndiyo maana tulipokuwa busted na Southampton kule Blackpool, aliamua kusubiri tena mpaka january, hatuku-sign CB yeyote, na ilituumiza sana, but kwa Klopp ilikuwa ni VVD or BURST, ndiyo maana we broke the record and paid £75m for him, Klopp alifanya hivyo kwa Alisson, he was ready to continue na Karius, mpaka Roma walivyolegeza msimamo, na utakumbuka we had kuipiga chini move ya Fekir ambayo ilikuwa imebaki kusainiwa tu papers, but funds zilikuww tight, so it was HIM or BECKER, Klopp went for Becker bila hata kujiuliza, na hii ni baada ya kusubiria sana, same kwa Fabinho, na hawa ndiyo players waliobadilisha uelekeo wa LFC for good. so baada ya Fabinho kuanza kupotea, scouts walimpa majina mengi sana, but kati ya yote hayo he got obsessed na Tchouameni, ikawa ni HIM or BURST, na tulivyomkosa Klopo akagoma ku-sign players mwingine yeyote at DM, then akaibuka Caicedo, naye tukamkosa, nikajua tu, deep down kabisa, Klopp hana muda mrefu at LFC, because after Tchou & Caicedo, me binafsi sikuona DM mwingine ambaye Klopp angemuhitaji kwa nguvu zote, & he felt kuwa FSG didnt do enough kuhusiana na Caicedo. City had Rodri, Arsenal had Rice, that was so draining.

But, at the end our MF rebuild wasnt bad, especially signing iliyokuwa inaonekana ni pointless ya Gravenberch.

I like Slot, mimi nipo na scouser, believe me, 99% of scousers wanted Amorim at LFC, not Slot, jina lake lilivyotajwa, kulikuwa kuna ubaridi sana, yale maneno ya "trust edwards" ndiyo yalikuwa yamejaa, watu walikuwa hawamuamini Slot, but Edwards, kwamba Edwards hawezi fanya mistakes, scousers wote walianza kuwa behind na Slot baada ya Klopp kumuimba at Anfield wakati anaondoka na kuwaambia WAMUAMINI SLOT, ndiyo mtaani kukabadilika, sasa kuna watu ambao walikuwa hawamtaki kabisa Slot, nawaona kila siku kwenye platforms mbali mbali wanamwita genius now, mimi napenda na nafatilia mpira, na tangu mwanzo sikuwa na shaka na appointment ya Slot, nilivyosikia mwisho wa interviews, it was him or Amorim, nilikuwa nimejiandaa kwa yeyote atayepita, because wote ni good coaches na zilikuwa ni right profiles.

Slot, ana safari ndefu at LFC, but haijalishi kuwa kakuta a good team, mazingira mazuri etc, anachofanya kwasasa ni KIKUBWA sana, it takes a GIANT to be a GIANT.

But, i know for a fact, kama Slot angeanza na results mbovu, najua kabisa ningekuwa nashinda humu kumtetea, maana najua angekuwa anatukanwa sana, na ukizingatia katokea Feyernoord, angekuwa anatukanwa yeye na FSG kila siku, but Mungu ni mwema kaanza vizuri, so ametusaidia kuficha ujinga na uzandiki wa mashabiki wq LFC duniani kote, siyo tu humu.

Mimi kwangu, LFC ni KWANZA, then vingine vinafata, na kama umesoma sana my posts huko nyuma, huwa simkosoi manager msimu wake wa kwanza, na huwa naanza ku-call for his head msimu wa tatu (kama mambo yakiwa yanaenda kombo), nina maswali mengi sana kuhusu technical abilities za Slot, na nikiamua kuandika hapa, nitaja feed, but sipo hivyo, this is his first season, na technically, mchezaji wake ni Chiesa tu, na mpira wake tutaanza kuona akipata DM wake anayemuhitaji (Zubimendi was the one), hapa nilipo na-revisit game ya Astona Villa, baada ya kumaliza ya Arsenal, huwa napenda kuangalia mpira in detail, bacause ni kazi yangu, but huwezi kuona nauza articles za kumkosoa Slot now, NO, this is his adjustment period, na so far ame-prove kuwa LFC is NOT that BIG kwake.

Among friends of mine used to call me Klopp, i love that man, his connection with LFC, fans and all over street were exceptional indeed.

Sijawahi kumdogosha Klopp zaidi ya hisia za kishabiki kipindi he is our man. Huwezi kupinga uhalisia.

Slot ana kazi kubwa sana ya kufanya kufikia a half ya aliyoyafanya Klopp. Till date kuna watu hawamkubali Slot, wamesusa they are crying they want Klopp back, they were not ready kuona LFC without Klopp.

But Concern yangu iko hapa

Klopp vs Slot, chochote Slot atakachofanya marking scheme yake ni Klopp, tusichukulie in a negative way its a normal debate in football, on form Saka last season walisema he is better than Salah, ikaja Vvd vs Saliba. Fergie alipoondoka debate was Fergie vs Moyes, akiondoka Pep itakuwa Pep vs xyz. So hii Slot akifananishwa na Klopp ni kawaida kwa binadamu, na Slot akipoteana (God forbid) itakuwa ngumu kelele zitakua we knew, hawezi kumrithi Klopp and so forth.

Fergie alikuwa mchoyo alitaka kustaafu kwa heshima na alipoona inatokea akaona its a right time.

Klopp had dream kutengeneza LFC nyingine ya kusumbua misimu mingine mitatu ya mkataba wake, hakufikiri kuondoka kama alivyoondoka, some issues force him especially hakupewa enough back up hasa kupata quality DM, he is professional na hesabu zake zilimuonesha bora kuondoka sasa before kuondoka kama alivyoondoka Dortmund.

Lets enjoy our moment we have,

Know You Can
Ynwa’
 
His career kwenye PL imeisha.

his bosses wont risk it.

Yeah..!!! I expect serious with positive impact.

But PGMOL siwaamin they might turn the issue. Tatizo lao huwa hawataki kuonekana wana watu wa hovyo, kwamba wao ni brand wanatoa watu makini of which ni uongo. FIFA wameamua kuwatupia kapuni kwenye mashindano yao.
Huko CL maamuzi yao mengi ni ya hovyo.

Ngoja tuone kama watajikaza katika hili na kumla kichwa.

Ynwa’
 
Manyanza unanifurahisha, watu ambao una-interact nao au kuwa-follow kwenye hizi platforms, huwa inachekesha sana.

Huyo scouser wa redmen Tv umem-follow hapo, ni BIG believer wa ile kauli yao ya Liverpool FC ni ya wakati wa Jiji la Liverpool tu, & wageni wanafanya wao wapate tabu sana kupata tickets na hawafai kuingia uwanjani kuangalia matches.

Ni racist mkubwa sana huyo, na ni kawaida yao sana kuanzishaga ugomvi/mabishano na foreign fans nje ya uwanja.

Redmen Tv, ndiyo fan Tv yenye access kubwa sana na Club, na ndiyo maana wanapata inteviews nyingi sana na players & coaches, kwasababu ni FSG bootlickers, hao hakuna baya la FSG, nakupa task sahiv, anza kuwafatilia kwenye hizi debates za mikataba ya Kina Salah, VVD, Trent, utakuta wanawalaumu kina Salah, tena especially Trent.

Hao watu siyo wa kuwafollow, they are against foreigners, wakati Team yote wanayosupport imejaa foreigners.

Waingereza bana wanajiona wao ndio wenye mpira wanastahili high class respect n.k

Imagine Vvd angekuwa Scouser, Salah, and may be Gakpo hivi heheh wangesumbua sana. God knows alot aisee

Ynwa’
 
You're doing great sana brother.

But, ukiwa unafanya in game-analysis, uwe unaangazia pia changamoto ambazo zilitokea kwenye game husika, ili u-balance, usiweke emotions kwenye kuchambua mpira, utashindwa kupanuka kimawazo, and knowledge ya kuuona mchezo kwa jicho la tatu itakuwa LIMITED sana, and that wont be a good look kabisa, especially kwa uwezo wako mkubwa ninouona wa kuusoma mchezo kwa ufanisi sana.

Siyo KUKOSOA, bali ku-highlight CHANGAMOTO, kukosoa ni jambo jingine kabisa na halina nafasi kwa sasa.

Game ya Villa ilikuwa ni game ya 2 halves, Slot outcoached Unai kipindi cha kwanza, BUT Unai outcoached Slot kipindi cha Pili, the difference hapa ilikuwa ni kuwa Slot ana Salah, Unai hana Salah.

So uchambuzi ungelenga kwa kina ku-discuss/decipher what went wrong in the 2nd half?, what needed to be changed/shifted ili ku-regain back control ya game? and why Unai outclassed us in that half, why did we allow it? then zingatia detailed patterns za mchezo husika, afu linganisha na games zingine ili uone nature ya patterns inayohusika hapo, kama inajirudia au ni suala la lapses tu, then utapata vitu viwili, utaigundua hiyo changamoto (negative pattern), na pia utagundua SOLUTION yake (Positive pattern), kupitia hizo hizo games utakazo-review.

Bado una-watch mpira/game, try to SEE the game, zingatia sana small details maana hizo ndizo huwa zinaamua game.

Either way, just happy upo hapa unashare chambuzi zako bila kuchoka, najua ni jinsi gani inachukua time na akili kuandaa hizi threads za chambuzi, its not a about money, but sharing your talent na kile ulichonacho kwa your fellow fans, thats the way of LFC.

This is a major move brother, continue to spread the love kupitia chambuzi hizi, hujui, but you're healing a lot of LFC football heads.

Changamoto za maisha ni nyingi, so ndiyo maana huwa napenda tuwe tunaifanya hii platform kuwa sehem ya kusambaziana upendo through football.

I will brother[emoji1614][emoji1614][emoji1431][emoji1431] im learning alot to reach there.

Never mind i took it positively. Best of luck to us all

Ynwa’
 
THREE LONGEST WINNING RUNS BY PL MANAGERS IN HISTORY.

18 GAMES by Klopp, Oct 2019-Feb 2020
18 GAMES by Pep, August-Dec 2017
17 GAMES by Klopp, March-Oct 2019

October to Feb aaah tuliogelea ushindi tukasahau kufungwa kuna fananaje mpaka walipokuja Watford kuharibu nearly invincible triump, na hapo ndipo UKUU wa Klopp ukita mizizi EPL, invincible with 100+ points, ingechukua years kuja kuvunjwa…

Ila tuseme tu ukweli, kuna muda Klopp alikosa bahati pia. Angeshinda mengine even with Pep’s presence.

Ywna”
 
Brother, kwenye CL ulitaka Klopp afanyaje? au kitu gani alitakiwa kufanya? karibu tujadili, maana kama unasema hutokuja kumsamehe, it means kuna sehem kubwa uliona amekosea, tujadili haya makosa, karibu.

Msimu wa 2018/19, we lost a league by 1 point.

We finished the league with;
1. 97 points
2. Salah & Mane as joint top scorers
3. Fewest goals conceded
4. Alisson with most clean sheets
5. Virgil won PL player of the year
6. etc

Meaning, tulikuwa tumekamilika kila idara, defense, MF & our attacking line, unfortunately we were going against Pep Guardiola & Man City ambao walikuwa on TOP form, but tulipoteza title kwa ONE point tu, City won it by 98 points.

Unajua, what it TAKES kugusa points 97 kwenye league marathon? mbona mnachukulia sana poa huu mchezo Aisee? au kwa kuwa mnaangalia tu kwenye TV? unaelewa wachezaji & bench la ufundi wanatakiwa kuwa katika LEVEL ipi phyically & mentally ku-clock hizo 97 points? tena kwenye league ngumu kama ya EPL? acha masikhara Aisee.

Then, huo mwaka unaonsema hutamsamehe Klopp kwa ku-clock 97 points, ndiyo tulipepa CHAMPIONS LEAGUE TROPHY after 14 years, same year tukashinda UEFA Super Cup, FIFA Club World Cup.

Then msimu uliofatia, 2019/20, we won the LEAGUE by 99 POINTS, 1 points off 100, and guess what? umesikia kuhusu Coote leo, the reason we didnt touch 100 POINTS, ni ile controvesial game yetu na Burnley at Anfield, ambayo Coote alikuwa ni refa.

Hebu acha kuchukulia mpira poa, kuna reason why players like Fabinho, Firmino, Gini, Mane, Henderson etc, started to struggle with injuries or lost their legs wakati bado umri unaruhusu, kulingana na LEVEL ya mpira tuliyokuwa tunacheza from 2018-2022.

Huwezi kumsamehe Manager, ambaye kakupa kila aina ya Kombe kwenye ngazi ya Club, huku akienda toe to toe na powerhouses kama Man City kwenye league, Messi's Barcelona, Ronaldo's & Benzema's madird, Bayern ya Muller & Lewandowski etc.

PL? kakupa
CL? Kakupa
FA Cups? Kakupa
EFL Cups? Kakupa
USC? Kakupa
FIFA Club World Cup? Kakupa

It took us 30 years ku-land a PL trophy.
14 years ku-land a CL trophy
15 years ku-land a FA Cup trophy
15 years ku-land a USC trophy
First time ever ku-land FIFA CWC.

Why, usiwe na shukrani kwa kocha aliyekuja na ku-break hii generational curse? huyo kocha ambaye huwezi msamehe kama angeamua kuondoka baada ya msimu wa 2022/23, hii club ingekuwa katika hali gani? alibaki na akaitengeneza hii team from the scratch tena, now wachezaji ambao ulikuwa unasema ni mizigo last season, kina Grav/Szobo/Nunez wanakupa points week in, week out, chini ya New coach, what if huyo new coach angekuja na kukutana na washed up Fabinho, Henderson, Firmino, Mane etc? form na aina ya mpira tunaocheza now ingekuwa the same? kuweni na shukrani sometimes, mpira siyo mwepesi kama mnavyodhani, its take a lot work na kujitoa kuwa mjuvi wa taaluma ya mpira, na hii inaenda kwenye fani/kazi ya mtu yeyote yule.
Umemaliza kila kitu umeweka kumbukumbu vyema.
 
Back
Top Bottom