Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ni manner ya jinsi unavyomuongelea Klopp, its not about Slot here brother.

You can praise Slot's work bila kudogosha kile alichofanya Klopp at the Club.

Slot bado mpya sana, siombi kabisa itokee, but bado hajakutana na CHANGAMOTO yeyote at the club, na hii imechangiwa sana na kile alichoacha mtangulizi wake, na ndiyo maana huwa nasema, Klopp ni greatest Human-Being kuwahi kuitembelea LFC, hii club ingekuwa ni takataka bila Klopp kaka, uelekeo wetu baada ya Rodgers kuvurunda ulikuwa unaonekana brother, tungekosea appoitment ya Kocha kipindi kile, tulikuwa tunaenda kuoza, unajua kuwa Carlo alitukataa, options zilizokuwa mezani ni De Boer & Roberto Martinez, kabla ya Klopp kuamua kupokea simu za FSG, tulikuwa tuna options hizo tu, kama angetakaa, na angekuja, lets say, Roberto Martinez tungekuwa wapi now? huyo Slot angetaka hata kuja LFC? unajua why Slot alizikataa Chelsea na Spurs last season & kabla ya hapo? kwasababu ni MOJA tu, project hazikuwq stable, kaja LFC kwasababu ya Project hii, unamu-offer Alisson, VVD, Konate, Trent, Alexis, Ryan, Szobo, Gakpo, Nunez, Salah, Jota, Diaz, Curtis, Elliott, etc, anatakaa vipi kuja? na pia team imetoka kwa his role model Klopp? Klopp angekuwa selfish si angefanya kama Fergie kuiacha Utd na wazee? mbona alibaki na kuitengeneza team upya? hivi vitu hatuzingatii tunapomdogosha Klopp.

Klopp, alichukua LFC iliyokuwa na kikosi cha kina Mignolet, Brad Jones, Manquillo, Lovren, Sakho, Moreno, Can, Markovic, Balotelli, Lucas, Henderson, Borini, Skrtel, Lallana, Milner etc, NINE YEARS later baada ya kushinda kila kombe kwenye ngazi ya Club, kaacha kikosi chenye kina Alisson, VVD, Konate, Trent, Robertson, Kostas, Grav, Alexis, Szobo, Gomez, Curtis, Diaz, Gakpo, Salah, Nunez, Jota, Bradley, etc, unaona UTOFAUTI? angeamua ku-sabotage club si angefanya tu il kulinda his legacy? mbona kawa un-selfish?

Funny thing is, Slot bado anatembea na style of play kwenye BIG games zote, na sahiv imekuwa norm, kila game anatembea na style of play, because he's SMART, huwezi ku-imprint your new ideas now wakati team ipo kwenye good form, alichofanya ni ku-tweak tu shape ya kwenye midfield, instead ya kutumia recycler/retreaver (Endo or Alexis at 6) anatumia a flat bully ball carrier/progressor as a 6 ili ku-open up running voids za our wingers (LW & RW), hii ndiyo ilikuwa Klopp bread & butter kipindi cha kina Fabinho, kabla ya legs za fabinho kufa na ku-revert back kwenye retrieving pattern mode, hence we brought in Thiago, it limited Salah goal scoring chances/stats, but because ya kutokuwa na quick legs kwenye kiungo, ilitusaidia tuwe most watchable ball retainers in the league.

You know what? when Klopp said he was leaving, sikuwa hata shocked, kama ulikuwa unamsoma Klopp, ni mtu ambaye haamini katika PLAN B (tulikuwa tunapiga sana kelele kwenye hili), tulikuwa tunalia sana kila siku na Lovren, kila siku tulikuwa tunajiuliza humu, lini tunanunua a CB? mbona wapo wengi? kila siku tulikuwa tunakuja na majina humu, ila kwake ilikuwa ni VVD, it was him or NO ONE, ndiyo maana tulipokuwa busted na Southampton kule Blackpool, aliamua kusubiri tena mpaka january, hatuku-sign CB yeyote, na ilituumiza sana, but kwa Klopp ilikuwa ni VVD or BURST, ndiyo maana we broke the record and paid £75m for him, Klopp alifanya hivyo kwa Alisson, he was ready to continue na Karius, mpaka Roma walivyolegeza msimamo, na utakumbuka we had kuipiga chini move ya Fekir ambayo ilikuwa imebaki kusainiwa tu papers, but funds zilikuww tight, so it was HIM or BECKER, Klopp went for Becker bila hata kujiuliza, na hii ni baada ya kusubiria sana, same kwa Fabinho, na hawa ndiyo players waliobadilisha uelekeo wa LFC for good. so baada ya Fabinho kuanza kupotea, scouts walimpa majina mengi sana, but kati ya yote hayo he got obsessed na Tchouameni, ikawa ni HIM or BURST, na tulivyomkosa Klopo akagoma ku-sign players mwingine yeyote at DM, then akaibuka Caicedo, naye tukamkosa, nikajua tu, deep down kabisa, Klopp hana muda mrefu at LFC, because after Tchou & Caicedo, me binafsi sikuona DM mwingine ambaye Klopp angemuhitaji kwa nguvu zote, & he felt kuwa FSG didnt do enough kuhusiana na Caicedo. City had Rodri, Arsenal had Rice, that was so draining.

But, at the end our MF rebuild wasnt bad, especially signing iliyokuwa inaonekana ni pointless ya Gravenberch.

I like Slot, mimi nipo na scouser, believe me, 99% of scousers wanted Amorim at LFC, not Slot, jina lake lilivyotajwa, kulikuwa kuna ubaridi sana, yale maneno ya "trust edwards" ndiyo yalikuwa yamejaa, watu walikuwa hawamuamini Slot, but Edwards, kwamba Edwards hawezi fanya mistakes, scousers wote walianza kuwa behind na Slot baada ya Klopp kumuimba at Anfield wakati anaondoka na kuwaambia WAMUAMINI SLOT, ndiyo mtaani kukabadilika, sasa kuna watu ambao walikuwa hawamtaki kabisa Slot, nawaona kila siku kwenye platforms mbali mbali wanamwita genius now, mimi napenda na nafatilia mpira, na tangu mwanzo sikuwa na shaka na appointment ya Slot, nilivyosikia mwisho wa interviews, it was him or Amorim, nilikuwa nimejiandaa kwa yeyote atayepita, because wote ni good coaches na zilikuwa ni right profiles.

Slot, ana safari ndefu at LFC, but haijalishi kuwa kakuta a good team, mazingira mazuri etc, anachofanya kwasasa ni KIKUBWA sana, it takes a GIANT to be a GIANT.

But, i know for a fact, kama Slot angeanza na results mbovu, najua kabisa ningekuwa nashinda humu kumtetea, maana najua angekuwa anatukanwa sana, na ukizingatia katokea Feyernoord, angekuwa anatukanwa yeye na FSG kila siku, but Mungu ni mwema kaanza vizuri, so ametusaidia kuficha ujinga na uzandiki wa mashabiki wq LFC duniani kote, siyo tu humu.

Mimi kwangu, LFC ni KWANZA, then vingine vinafata, na kama umesoma sana my posts huko nyuma, huwa simkosoi manager msimu wake wa kwanza, na huwa naanza ku-call for his head msimu wa tatu (kama mambo yakiwa yanaenda kombo), nina maswali mengi sana kuhusu technical abilities za Slot, na nikiamua kuandika hapa, nitaja feed, but sipo hivyo, this is his first season, na technically, mchezaji wake ni Chiesa tu, na mpira wake tutaanza kuona akipata DM wake anayemuhitaji (Zubimendi was the one), hapa nilipo na-revisit game ya Astona Villa, baada ya kumaliza ya Arsenal, huwa napenda kuangalia mpira in detail, bacause ni kazi yangu, but huwezi kuona nauza articles za kumkosoa Slot now, NO, this is his adjustment period, na so far ame-prove kuwa LFC is NOT that BIG kwake.
Mkuu nabubujikwa na machozi kwa haya uliyoyaandika kuhusu klopp huyu mwamba inatakiwa aheshimiwe kwa kila jambo pale LFC huyo mwamba alitutoa kwenye unyonge mkubwa sana tulikuwa kila msimu tunasajili mafungu ya wachezaji lakini mafanikio hakuna!
 
Andy Robertson: “Look, I am a lot older and a lot wiser now than when I came in.”

“When I first came in, I was only 23, and it was my first time playing for a big club. I have been here for seven years and have won everything and played in a lot of big games.”

“I am a lot more experienced and a lot better at switching off from everything like over-reactions and things like that. Probably a bad 45 minutes of football against Arsenal, it was not great. I think pretty much everyone had written me off after that.”
 
You're doing great sana brother.

But, ukiwa unafanya in game-analysis, uwe unaangazia pia changamoto ambazo zilitokea kwenye game husika, ili u-balance, usiweke emotions kwenye kuchambua mpira, utashindwa kupanuka kimawazo, and knowledge ya kuuona mchezo kwa jicho la tatu itakuwa LIMITED sana, and that wont be a good look kabisa, especially kwa uwezo wako mkubwa ninouona wa kuusoma mchezo kwa ufanisi sana.

Siyo KUKOSOA, bali ku-highlight CHANGAMOTO, kukosoa ni jambo jingine kabisa na halina nafasi kwa sasa.

Game ya Villa ilikuwa ni game ya 2 halves, Slot outcoached Unai kipindi cha kwanza, BUT Unai outcoached Slot kipindi cha Pili, the difference hapa ilikuwa ni kuwa Slot ana Salah, Unai hana Salah.

So uchambuzi ungelenga kwa kina ku-discuss/decipher what went wrong in the 2nd half?, what needed to be changed/shifted ili ku-regain back control ya game? and why Unai outclassed us in that half, why did we allow it? then zingatia detailed patterns za mchezo husika, afu linganisha na games zingine ili uone nature ya patterns inayohusika hapo, kama inajirudia au ni suala la lapses tu, then utapata vitu viwili, utaigundua hiyo changamoto (negative pattern), na pia utagundua SOLUTION yake (Positive pattern), kupitia hizo hizo games utakazo-review.

Bado una-watch mpira/game, try to SEE the game, zingatia sana small details maana hizo ndizo huwa zinaamua game.

Either way, just happy upo hapa unashare chambuzi zako bila kuchoka, najua ni jinsi gani inachukua time na akili kuandaa hizi threads za chambuzi, its not a about money, but sharing your talent na kile ulichonacho kwa your fellow fans, thats the way of LFC.

This is a major move brother, continue to spread the love kupitia chambuzi hizi, hujui, but you're healing a lot of LFC football heads.

Changamoto za maisha ni nyingi, so ndiyo maana huwa napenda tuwe tunaifanya hii platform kuwa sehem ya kusambaziana upendo through football.
Maestro umeandika Kwa upendo na mapenzi makubwa kwetu Wana Liverpool na kukltutia moyo sana


Mola awajaalie na awazidishie mapenzi nyie woote mnaotuandikia kuhusu klabu yetu Tena buree bila kujali gharama muda na rasilimali zenu mnazotumia

YWNA to eternity
 
Manyanza unanifurahisha, watu ambao una-interact nao au kuwa-follow kwenye hizi platforms, huwa inachekesha sana.

Huyo scouser wa redmen Tv umem-follow hapo, ni BIG believer wa ile kauli yao ya Liverpool FC ni ya wakati wa Jiji la Liverpool tu, & wageni wanafanya wao wapate tabu sana kupata tickets na hawafai kuingia uwanjani kuangalia matches.

Ni racist mkubwa sana huyo, na ni kawaida yao sana kuanzishaga ugomvi/mabishano na foreign fans nje ya uwanja.

Redmen Tv, ndiyo fan Tv yenye access kubwa sana na Club, na ndiyo maana wanapata inteviews nyingi sana na players & coaches, kwasababu ni FSG bootlickers, hao hakuna baya la FSG, nakupa task sahiv, anza kuwafatilia kwenye hizi debates za mikataba ya Kina Salah, VVD, Trent, utakuta wanawalaumu kina Salah, tena especially Trent.

Hao watu siyo wa kuwafollow, they are against foreigners, wakati Team yote wanayosupport imejaa foreigners.
Most of us follow and read from sources we do not know. Usishange siku unakutana na link au screenshot from the sun!
 
Guys, mmeshajiuliza kuhusu hatima ya Kelleher especially baada ya signing na Marmadashvili?

To me it seems like the end for Kelleher at Liverpool. Slot ame admit multiple times kuwa when AB is fit Kelleher hawezi kuanza (labda kwenye cup games).

So with Marma in the horizon I think Kelleher is going to depart at the end of the season.

To me it will be fair kama atapata team in the prem ambapo atakuwa first team starter week in week out.

Kwa quality aliyonayo hastahili kuwa kwenye shadow ya AB na Marma at Liverpool.

What is your opinion. MosDef The MoNA Captain Marvelous
 
With Harvey back the squad depth is getting deeper while Arne is still on the process of instilling his football to the ready made players.

Liverpool FC is gonna become a monster of a team. A beast to reckon with.

YNWA.
GcHv2jPXcAEOzbv.jpeg
 
🎙️🗣️M. Salah: "Before I came back to EPL I had offers from different leagues but I chose Liverpool to show people who doubted me that I'm not useless. It's like a revenge and so far I have helped my team to win trophies and that's the perfect way to show your worth."

Never doubt the Egyptian King👑

Chelsea as a club are just too in a hurry to let players go when they struggle, even KDB was also thrown out and many good players who could have changed the dynamics of the club positively. Hope they learn from it.
 
Among friends of mine used to call me Klopp, i love that man, his connection with LFC, fans and all over street were exceptional indeed.

Sijawahi kumdogosha Klopp zaidi ya hisia za kishabiki kipindi he is our man. Huwezi kupinga uhalisia.

Slot ana kazi kubwa sana ya kufanya kufikia a half ya aliyoyafanya Klopp. Till date kuna watu hawamkubali Slot, wamesusa they are crying they want Klopp back, they were not ready kuona LFC without Klopp.

But Concern yangu iko hapa

Klopp vs Slot, chochote Slot atakachofanya marking scheme yake ni Klopp, tusichukulie in a negative way its a normal debate in football, on form Saka last season walisema he is better than Salah, ikaja Vvd vs Saliba. Fergie alipoondoka debate was Fergie vs Moyes, akiondoka Pep itakuwa Pep vs xyz. So hii Slot akifananishwa na Klopp ni kawaida kwa binadamu, na Slot akipoteana (God forbid) itakuwa ngumu kelele zitakua we knew, hawezi kumrithi Klopp and so forth.

Fergie alikuwa mchoyo alitaka kustaafu kwa heshima na alipoona inatokea akaona its a right time.

Klopp had dream kutengeneza LFC nyingine ya kusumbua misimu mingine mitatu ya mkataba wake, hakufikiri kuondoka kama alivyoondoka, some issues force him especially hakupewa enough back up hasa kupata quality DM, he is professional na hesabu zake zilimuonesha bora kuondoka sasa before kuondoka kama alivyoondoka Dortmund.

Lets enjoy our moment we have,

Know You Can
Ynwa’

Mpira ni mchezo wa vipindi brother, yes kuna watu wame-stuck na Klopp, but ni muhimu sana ku-move on, huku ukiwa unaendelea kuipigania na kuitetea legacy yake.

LFC, imeanzishwa tarehe 3/6/1896, miaka 128 mpaka sasa, kipindi chote hicho, wamepita watu mashuhuri sana at the LFC, katika nyakati tofauti, na wote wali-play big part kuifanya LFC kuendelea kuwepo mpaka leo, maana siyo tu suala la vikombe, kuifanya club ibakie katika top level kwa muda mrefu sana, ni jambo la kushukuru pia.

Hizi ni nyakati za Slot, na ni muhimu kumpa support, itafika muda nae ataondoka, muhimu ni kuombea aache a good legacy at the club.

Kuna media politics zinaendelea at the club, unajua Klopp wasnt a fan wa a lot of LFC jornos, kina Pearce, Hughes, Bascombe etc, na kuna kipindi ilitokea kutoelewana kwa Klopp & Edwards, na mpaka Edwards kuondoka, narratives zikawa shida ni Klopp, & mpaka leo kipo hivyo, so hizi medias zina-play part kubwa sana kujaribu kudogosha umuhimu wa Klopp at LFC, wakati wanajua alichofanya, ndiyo maana kila sehemu unakutwa ni Edwards, Edwards, Edwards, kwamba kaleta kocha bora kuliko Klopp, swali unajiuliza Slot angeweza ku-build world class team na kuitoa kwenye shimo la kina Mignolet? inawezekana ana uwezo wa kufanya hivyo, je angeweza ku-cop na pressure ya kuirudisha juu a struggling big club? maswali ni mengi.

Na funny enough, huyo Edwards alimwambia Spearmann, atafute kocha anaefanana kwenye ideologies na Klopp, kwasababu Edwards/FSG hawakutaka kubadilisha ile foundation/culture ambayo Klopp alikuwa ameacha at the Club.

tum-support Slot, lakini tusiingie kwenye mitego ya hizi politics, kuna mambo mengi sana yanaendelea nyuma ya pazia kwenye hizi clubs tunazozipenda.
 
Yeah..!!! I expect serious with positive impact.

But PGMOL siwaamin they might turn the issue. Tatizo lao huwa hawataki kuonekana wana watu wa hovyo, kwamba wao ni brand wanatoa watu makini of which ni uongo. FIFA wameamua kuwatupia kapuni kwenye mashindano yao.
Huko CL maamuzi yao mengi ni ya hovyo.

Ngoja tuone kama watajikaza katika hili na kumla kichwa.

Ynwa’

Coote is done kaka.

Tatizo ni kuwa kaonekana akitukana 2 big brands kwenye PL kaka, (Klopp & LFC).

PGMOL ni Company, ambayo ni limited by guarantee, its main job ni ku-provide officiating services kwa PL, FA, EFL, sasa kama mfanyakazi wako, katukana on live videos one of your biggest clients (LFC), na ku-show wazi kabisa conflict of interest, sidhani kabisa kama kuna a way back.

His career is over, and i am just glad to be honest.
 
Waingereza bana wanajiona wao ndio wenye mpira wanastahili high class respect n.k

Imagine Vvd angekuwa Scouser, Salah, and may be Gakpo hivi heheh wangesumbua sana. God knows alot aisee

Ynwa’

The truth is, Football has changed a lot kwa kipindi cha miaka kadhaa iliyopita.

Unajua, kipindi cha miaka 10 nyuma, LFC main global territories ilikuwa ni Scandinavia countries & parts of eastern Africa, Asia & Africa ilikuwa ni kugusa sana, kwa Africa, main territory ilikuwa ni South Africa, its no secret kuwa biggest clubs in Africa ni Utd, Arsenal & Chelsea, but baada ya Kina Mane & Salah ku-set the league on fire, tukaanza kupata a big following in Africa hasa kwa generation mpya, na kile kipindi cha 2018-2022, kilishuhudia club ikikusanya a BIG following all over the world, sasa scousers wanaona SIFA sana club kuwa na big followers around the world, but wanachukia kuona foreigners wanajaa Liverpool kila siku kuona games & kufanya utalii, FSG ni wafanyabiashara baada ya kuona hii demands wakaongeza bei ya tickets & merchs, sasa scouser wanaumia sana na hizi bei, mara nyingi sana wanajaa kwenye pubs kuangalia mpira, especially big games, maana ulanguzi unakuwa mkubwa sana, na foreigners ndiyo huweza kulipia, au people wa pale pale UK, but outside of Liverpool City, kwahiyo ubaguzi umekuwa mkubwa, wanaona kama foreigners wanawaharibia, na wakiingia uwanjani wanapiga picha tu bila kushangilia ndiyo maana atmosphere inakuwa chini, wanasahau kuwa global fanbase ndiyo inayoipa hela LfC.

Sasa hivi, stats zinasema, for the past 3-4 years, LFC ni most watched football club in the world. hii yote ni kwasababu ya global fanbase.
 
October to Feb aaah tuliogelea ushindi tukasahau kufungwa kuna fananaje mpaka walipokuja Watford kuharibu nearly invincible triump, na hapo ndipo UKUU wa Klopp ukita mizizi EPL, invincible with 100+ points, ingechukua years kuja kuvunjwa…

Ila tuseme tu ukweli, kuna muda Klopp alikosa bahati pia. Angeshinda mengine even with Pep’s presence.

Ywna”

City were just unplayable.

Pep & Klopp used to hate each other, deeply.

Ndiyo maana unaona Pep akarelax Klopp alivyoondoka, hata transfer window ya Man City ilikuwa na arrogance sana, but ndiyo inawatafuna, Pep thought Klopp kaondoka, hawa madogo hawawezi nisumbua, well, i hope hii Slot run itakuwepo for DAYSSS!!
 
Maestro umeandika Kwa upendo na mapenzi makubwa kwetu Wana Liverpool na kukltutia moyo sana


Mola awajaalie na awazidishie mapenzi nyie woote mnaotuandikia kuhusu klabu yetu Tena buree bila kujali gharama muda na rasilimali zenu mnazotumia

YWNA to eternity

mtongwe.

We unajua, tumetoka mbali sana na hii club, tukiwa pamoja katika huu uzi, ni baraka, kuendelea kuwepo hapa.

Tuendelee kuombeana uzima, na kusambaziana upendo kupitia mpira, na kupitia club yetu pendwa ya LFC.

Baraka ni nyingi sana.
 
Guys, mmeshajiuliza kuhusu hatima ya Kelleher especially baada ya signing na Marmadashvili?

To me it seems like the end for Kelleher at Liverpool. Slot ame admit multiple times kuwa when AB is fit Kelleher hawezi kuanza (labda kwenye cup games).

So with Marma in the horizon I think Kelleher is going to depart at the end of the season.

To me it will be fair kama atapata team in the prem ambapo atakuwa first team starter week in week out.

Kwa quality aliyonayo hastahili kuwa kwenye shadow ya AB na Marma at Liverpool.

What is your opinion. MosDef The MoNA Captain Marvelous

Signing ya Mamar, shouldve waited, but it was inevitable, kutokana na the way Alisson acted baada ya Klopp kuondoka, he communicated na Club kuwa he wont sign a new contract, baada ya huu kuisha, & Club ianze ku-consider offers.

Unajua, wachezaji ni kama fans, huwa wana arrogance zao, most ya senior players at the club, didnt like the IDEA of Slot, they thought after Klopp, atakuja kocha mkubwa, wanasahau kuwa na wenyewe walianzia sehemu mpaka wakapanda na kuwa world class, sasa hii start ya Slot imewa-prove wrong wengi sana, na Slot alivyo smart, hajataka hata kuwasumbua na new style of play, kaichukua ile ile ya role model wake, na kaiongezea vitu kidogo tu, na players wana-enjoy sana.

Shida yw Kelleher he WANTS to leave, and i understand him, and for me club imuachie tu, anadeserve kwenda kuwa undisputed starter somewhere.

I think, msimu ujao na utakaofatia, Mamar atakuwa our 2 choice, maana Alisson kabakiza 2 years tu, yeye na mwenzake Ederson wana BIG offers ziko mezani za waarabu, na unajua wabrazil walivyo kwenye suala la pesa.
 
With Harvey back the squad depth is getting deeper while Arne is still on the process of instilling his football to the ready made players.

Liverpool FC is gonna become a monster of a team. A beast to reckon with.

YNWA.
View attachment 3150104

Ndugu yako Szobo will be in trouble though.

Elliott will be a star under Slot.

Szobo/Jones/Elliott, a very good problem kuwa nayo at the club.
 
Back
Top Bottom