Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Hii habari imependekezwa muswada kuhusu vilabu vinavyomilikiwa au kudhibitiwa na Serikali kufutiwa leseni ya umiliki kwa vilabu husika vinavyoshiriki ligi kuu nchi uongereza.

Man City na Newcastle wametajwa. Kwa nini?

Man City mmiliki wake vice president wa Unated Arab Emirate bwana Sheikh Mansour,
huku Newcastle wakimilikiwa na Saudi Arabia’s Public Investment Fund chini ya m/kiti Mohamed bin Salman (crown Prince)

Ukiwatazama hao wamiliki hapo ni wahusika wa moja kwa moja na serikali wanazozihudumu na wana madaraka makubwa nchini mwao. Sasa ishu inataka kuwatenga watu wanaomiliki vilabu wasihusike na serikali, wawe individual owners lengo ni kukwepa kutumika fedha za nchi wanazotoka kuendeshea timu hizo.

Waliobaki wote ni individual owners wakiwemo wabahili kutoka USA, FSG wa LFC.

Ngoja tuone kama muswada utapita tushuhudie oil money ikipotea.

Hapa M16 wamenusa harufu ya pesa chafu kutumika hasa na wamiliki wa City, huu muswada haujaanzia from Nowhere tu,

Vuta kiti chukua visheti endelea kusikilizia, ukipita uniarifu[emoji81]maana wameanza kuwaandama.

Ynwa’
 
5 wins 🏆, 5 Man of the Match
 

Attachments

  • Screenshot_20241129_082351_Threads.jpg
    1,009.8 KB · Views: 2
Hakuna mahali tumesema tunabeba makombe, ila yakija it’s a bonus for sure.
Hii statement nimeielewa aisee
e
 
Salah hakutakiwa kupewa penalty mechi dhidi ya Madrid.
Anataka alipe kisasi, probably angekosa tu.
 
Kesho ndio mechi muhimu zaidi kwetu

Napendelea tushinde zaidi EPL,
UEFA iwe kama bonus tuu
 
Endrick baada ya kumuumiza konate mashabiki wa Liverpool sasa 😂
 

Attachments

  • FB_IMG_1732942392163.jpg
    46.1 KB · Views: 2
Hivi nikwanini wanaikataa Liverpool nakwenda Madrid?
 

Attachments

  • FB_IMG_1732953804134.jpg
    106.4 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…