Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tujipongezeni . Ku maintain pale kileleni sio kazi rahisi.Ynwa. Japo sijaicheki gemu ya jana baada ya kupoteza jirani yetu kwenye ajali ya bus huko moshi.
Pole sana
Mungu ampumzishe pema.

Tafadhalini wachagga, endesha kistaarabu barabarani huko,
Mungu awalinde tunawaombea.
 
Slot's narrow structure as Liverpool looks to create their attacks


Wakuuu hii mnaielezeaje hapa naona huu ni mfumo mpya wa Slot pale timu yetu inapotengenza shambulizi na Trent anaonekana yupo mbele ya backline ya defence halafu Washambuliaji wa timu pinzani nyuma yao kuna double pivot ya Macca na Gravenberch. Hii iko Vipi Wakuuu?
Captain Marvelous
The MoNA
 
Chambuzi amegoma kabisa Leo kuwapa madini😂😂
 
Hakuikataa LFC, alisema yes im ready to come, but his club black mailed him, akaamua kubaki kwa ajili ya timu yake.

Ni sawa na mwanamke amkubali mwanaume kwa ajili ya ndoa ila wazazi wakatae, huwezi kusema mwanamke alimkataa mwanaume.

Ynwa’
Kwahiyo tukuamin wewe au Fabrizio
 
It’s not over until it’s mathematically secured.

Nimeandika makala but unfortunately imefutuka (sikufanya back up) 🥹

Lakini ngoja ni summarize kwa ufupi kuhusu LFC vs LEI. Japo haitanoga kama iliyokuwa mwanzo,

Anyway Van Nistelrooy alikuja na good plan ya kuzuia build ya LFC, kwa kubana spaces ili mipira isifike kwa Gravern na Macca hiyo cheat code ya Slot kutafuta magoli.
Akatengeneza shape ya Square ambayo inakuwa narrow pressing hivi, kuwazungunga Gravern au Macca, ili kuwanyima comfort zone ya kufanya progress nzuri.







Angalia hapo vizuri hii ni wakati wa build up zetu, na most of the game wanacheza hivyo (LEI), kuzuia build ya LFC.

Slot alichofanya baada ya kuona pameziba hapo, akafanya Overload system ambayo ni wide overload system, watch 2nd goal lilivyokuwa, Trent, Macca, Jones, Salah walikuwa RHS, kule hiyo ilikuwa overload ili kuvunja vunja pattern za LEI, lakn WIDE OVERLOAD. Waliendelea kubana katikati ili LFC wasipitie katikati, wapite pembeni zaidi wakakutane huko mbele, ni kosa hili kwao. WHY??

Lfc walikuwa na good wide players,. Una Salah, una Macca una Trent passer wa maana, una Gakpo una Jones una Szobo wanaopita pita pembeni, good runners, good passers compare na wao (LEI). Goli la tatu linakuonesha hilo kuruhusu kupita pembeni wakati ndio strength ya LFC so far. What a lovely pass from Cody Gakpo, to Salah na hiyo ndio inamtofautisha yeye na Diaz, i’m sure Diaz pale angeendeleza dribbling yake. Game ya Fulham kuna chance if it was Gakpo tungekuwa 9 clear on the top of the table.

Leicester beaten with quality too, both Fans, Coach and players.

Kudos to the boys.

Kuna mjadala kwa nini tunaruhusu magoli? Becker anatuchoma sana anafungwa mepesi sana, bora tuwe na Kelleher huu mjadala Mwenyeketi ni Saint Anne.

Anyway tuangalie

Before injury”,.

Becker alifungwa goli mbili kwenye mechi sita,
Kelleher next six games baada ua kuumia Becker, alifungwa goli sita hizi zote ni za EPL.

Becker had 88.2% saves
Kelleher had 73.9% saves

Hapa ni with Konate akiwa partnered with VVD, plus Trent&Bradley, Robbo&Tsimi. Muda utaamua for sure.

Top of the table, playing like a champion, we will flourish hopefully.


Kipindi tunawahitaji wafanye jambo wao wala hawana habari hii ndio rivalry, msimu huu hawana option maana wapo ICU lazima wakomae tu.

Best of luck to us all,
Wish you Merry Christmas and Happy 2025 year in advance.

Know You can

Ynwa’
 
Kwahiyo tukuamin wewe au FabrizioView attachment 3186553

Sipo hapa kutaka kuaminiwa na yeyote kaka. Kama upo kusubiri everything uletewe na Fabrizio pekee its up to you my brother.

Unajua mpaka kuikataa LFC ni nini?? Kalete News amepost Fabrizio kwamba LFC wanted to sign Zubi per installment,

Zubi said yea to LFC but made a u-turn lately unajua kwa nini??

Leta post yoyote Fabrizio aliyopost kuhusu Zubi akisema amesema Yes.!! Go further real deals a behind the scene.

Sipo kutaka kuaminiwa nashare kile nachoweza kushare ni wewe na yule mtaamua kuamini au kutokuamini mkuu.

Enjoy your time.
Ynwa’
 
1. Liverpool will suffer and go back to being a mid table team now that Jurgen Klopp has left, can't wait for next season.
-Liverpool make it to the top of the Premier League.

2. This new Manager is average, they could have got a manager with experience with big teams. Happy Xabi Alonso has rejected them!
-Arne Slot defeats top managers Pep Guardiola, Carlo Anceloti, Ten Hag and Xabi Alonso.

3. Lol the honeymoon is over. Now that they have lost to Nottingham Forest, they are back to default settings. Can't wait to see them. Plus Liverpool NEXT TEN GAMES! 😬
-Liverpool immediately forget how to lose and go on a 20 GAMES UNBEATEN STREAK!

4. Liverpool can beat everyone except their Daddy, Real Madrid. It is a known story that they do not stand a chance.
-Liverpool slaughter Real Madrid and embarrass Mbappe.

5. Now that Alison is injured, watch this young goalkeeper swallow goals for breakfast plus Diogo Jota is injured let's see how they win with Darwin Nunez.
-Liverpool keep FOUR clean sheets without Alison and bang goals for fun without Jota.

6. Liverpool are only doing better because we all have injuries while their players are fit. The day their players get injured honeymoon is over.
-Alison, Jota, Trent, Kostas, Eliot, Konate and Bradley get injured!

7. Liverpool are only doing fine because of Virgil Van Dijk and Mo Salah. Take these out and see if they still be the same. Wait until they go and you'll see the real Liverpool.
-Liverpool play WITHOUT Van Dijk and Mo Salah and WIN!

8. Liverpool.... Liverpool...Man take Arne Slot from wherever he came from!😭😭😭😭😭

They have tried very HARD to discredit us and instill fear in us but it keeps on backfiring! I wonder what their next excuse will be! 😂
 
TAREHE 27 DESEMBA

Tarehe 27 Desemba, Liverpool FC imeandika kumbukumbu kadhaa muhimu katika historia yake:

1. Usajili wa Virgil van Dijk (2017)

Mnamo tarehe 27 Desemba 2017, Liverpool ilitangaza rasmi kumsajili beki wa kati kutoka Southampton, Virgil van Dijk, kwa ada ya rekodi ya £75 milioni kwa beki wakati huo.

Van Dijk alijiunga rasmi Januari 1, 2018, na baadaye kuwa mhimili wa mafanikio ya Liverpool, ikiwemo kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya (2019) na Ligi Kuu ya Uingereza (2020).

2. Ushindi Dhidi ya Swansea City (2017)

Katika siku hii, Liverpool iliwashinda Swansea City 5-0 kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza:

Wafungaji: Philippe Coutinho, Roberto Firmino (mabao mawili), Trent Alexander-Arnold, na Alex Oxlade-Chamberlain.

Mechi hii ilionyesha kasi ya kikosi cha Liverpool chini ya kocha Jürgen Klopp, wakimaliza Desemba wakiwa na nafasi kubwa ya kumaliza ndani ya nne bora

3. Ushindi Dhidi ya Stoke City (2016)

Mnamo tarehe 27 Desemba 2016, Liverpool ilipata ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City:

Wafungaji: Adam Lallana, Roberto Firmino, bao la kujifunga kutoka kwa Giannelli Imbula, na Daniel Sturridge.

Ushindi huu uliimarisha nafasi yao katika mbio za kutwaa taji la Ligi Kuu msimu huo.

Mwaka 1963: Mechi maarufu ya Ligi Kuu ya Uingereza ilipigwa wakati wa msimu wa sherehe ambapo Liverpool ilishinda Sheffield United 3-0, ikiwa sehemu ya kumbukumbu ya mechi za krismasi zilizojaa mabao mengi.
 

Timu nyingi zinacheza hivyo na LFC, kwanza hapo LEI walikuwa na 4-4-2 defending structure lkn walikuwa wanahakikisha mipira haifiki mingi kwa Gravern na Macca, quality ina sehemu yke kubwa kwenye kushinda tactics za opponents.

Muone Jones na Salah walipo plus Trent hiyo inaandaliwa wide overload, maana yake unawashawishi LEI waende upande ule wa kule kuzuia nafasi au probably kutengeneza Man marking au 1v1, ili kujaribu kufungua Spaces. Game vs Brighton ilifanyika hivi pia.

Ynwa’
 

It is called Monster Mentality.

Lost to NF was a crucial moment in our journey.

It is called learn from mistakes.

Ynwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…