Emre Can anakaa bench kwenye team yenye mkusanyiko wa average players kama Hii...
Tunapoteza game hii sababu ya Raheem Sterling!Kijana huyu hana lolote zaidi ya kukimbia kimbia tu
NB Bao la Matta was clear offside
Tunapoteza game hii sababu ya Raheem Sterling!Kijana huyu hana lolote zaidi ya kukimbia kimbia tu
NB Bao la Matta was clear offside
Bao la Matta hata kipofu angeweza kuona kwamba ni off side. Hata yeye mwenyewe hakuwa ana amini kama lingekubaliwa. Ila wachezaji wetu wakakaa kimya kana kwamba wanamkomoa Rodgers.
.......mjomba umeshindwa kujizuia, Ikwiriri umechukua ka mtandao vile vile....
Nipo kibandani hapa kwa Sadallah ka TV kenyewe kadogo!
Drop Sterling entire season then mruhusu aongee na team yyt aondoke
Bao la Matta hata kipofu angeweza kuona kwamba ni off side. Hata yeye mwenyewe hakuwa ana amini kama lingekubaliwa. Ila wachezaji wetu wakakaa kimya kana kwamba wanamkomoa Rodgers.
Tunapoteza game hii sababu ya Raheem Sterling!Kijana huyu hana lolote zaidi ya kukimbia kimbia tu
NB Bao la Matta was clear offside
Sterling ndiyo kaifanya mechi hii tupigwe!Nafasi hizi 4 za ana kwa ana na De Gea angekuwa RVP/ROONEY ni bao hizi!
Drop huyu mtoto for entire season
Uliposema unaenda ikwirir nilijua unajidanganya tu, lazima utabeba kamchina kako
Pole sana,basi isiwe inshu tufanye tumewafunga 2-0