Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

View attachment 3215307
Moja ya viungo bora ndani ya Premier league, Liverpool haukutunia pesa nyingi sana kupata saini ya vijana hawa

⚡️Mac Allister: £35m
⚡️Szoboszlai: £60m
⚡️ Gravenberch: £34m

£129m imetumika kuleta furaha kwa mashabiki, kuna team inatoa 100m kwa kiungo mmoja
Na ni 100m hiyo hiyo Liverpool walitoa kumnasa huyo kiungo wakamkosa ,nimalize kusema kuna kitu kwenye huyo kiungo
 
Jezi nipe mkuu
Nikupe lipa namba ya muuzaji
Ukiweza ninunulie hata 2
Yaani utakuwa umeupiga mwingi, arsenal jezi yenu unyama ni mwingi Mwaisa
Ni timu tu hainaga vikombe.
Umejua kuipamba jersey yetu utasema umekuwa kweli shabiki wa Arsenal

Nitasubiri kuona ujumbe wako
 
Liverpool travelling party for PSV Eindhoven: Endo, Nunez, Chiesa, Gakpo, Elliott, Tsimikas, Robertson, Kone-Doherty, Mabaya, McConnell, Jaros, Kelleher, Nallo, Morrison, Danns, Norris, Quansah, Morton, Bradley, Davies, Nyoni

No Salah, Van Dijk, Gravenberch, Alexander-Arnold, Alisson, Konate, Mac Allister, Szoboszlai, Diaz for Liverpool's trip to Eindhoven (plus no Jones, Gomez, Jota who are not fit yet)
 
Like Slot's move here. It's much wiser to rest the key players for Bournemouth away, which has proven to be a very tough away game, when Liverpool already has secure a top-eight placement. Plus the young players will get very valuable experience and playing time
 
IMG-20250128-WA0041.jpg
 
Kuipamba ni kweli nzuri sana ila siwezi shabikia timu ambayo haichukuagi makombe ya maana😂
Hahaha.........naona unaamua kutusagia kunguni sasa 🙌

Kumbukeni mkiteleza kidogo tu tunachukua EPL 💪
 
🚨❌ Liverpool have REJECTED two bids from SAUDI for Darwin Nunez, not leaving in January.

How much’s he worth in your opinion? 👀💰
 
If we fail to beat them maana yake we are not champions material. Hizo ndio mechi za kibingwa
Yeah.

Nafikiri vs PSV, najua Slot anataka 100% record na kutop CL table, but sometimes unatakiwa ujue which is better than which ili ufanye maamuzi sahihi.

B'mouth wana good form na wana mapumziko wiki nzima, it should be a wise decision kama watapumziahwa 95% ya wachezaji watakao kabiliana na PSV.

Ki vyovyote hii mechi i have positive feelings with it.

Ynwa
 
View attachment 3215307
Moja ya viungo bora ndani ya Premier league, Liverpool haukutunia pesa nyingi sana kupata saini ya vijana hawa

⚡️Mac Allister: £35m
⚡️Szoboszlai: £60m
⚡️ Gravenberch: £34m

£129m imetumika kuleta furaha kwa mashabiki, kuna team inatoa 100m kwa kiungo mmoja
Kama FSG wangelifungua pochi wampe Klopp na Caicedo, trust me mpaka leo tungekuwa na Klopp as our coach.

Ynwa
 
Na kibaya zaidi wana chuki ya mwaka 2006 ambayo haiwezi kuwatoka wataibeba milele na milele.

2005 tulishinda Kombe la UCL lakini kwenye Ligi tukashindwa kuingia Top Four tukashika nafasi ya 5. Everton ndiyo wakashika nafasi 4.

Ikumbukwe kipindi kile Sheria za UEFA zilikuwa hazijafanyiwa marekebisho hivyo ilikuwa Timu za kushiriki mwisho ni 4 tu haziruhusiwi kushiriki timu 5.
Sasa Liverpool 2006 lazima ashiriki kama bingwa Mtetezi kwasababu kwenye Ligi hakuingia Top Four.
Hapo Sheria ikabidi Everton aliyeshika nafasi ya 4 akaenguliwa asishiriki UCL ili nafasi yake ashiriki Liverpool kama bingwa Mtetezi.

Ukawa uhasama mkubwa kwa Everton kuzidi kutuwekea chuki mpaka leo.

Hivyo game na wato watalazimisha kutuharibia lazima tujipange vizuri na tuwes

Na kibaya zaidi wana chuki ya mwaka 2006 ambayo haiwezi kuwatoka wataibeba milele na milele.

2005 tulishinda Kombe la UCL lakini kwenye Ligi tukashindwa kuingia Top Four tukashika nafasi ya 5. Everton ndiyo wakashika nafasi 4.

Ikumbukwe kipindi kile Sheria za UEFA zilikuwa hazijafanyiwa marekebisho hivyo ilikuwa Timu za kushiriki mwisho ni 4 tu haziruhusiwi kushiriki timu 5.
Sasa Liverpool 2006 lazima ashiriki kama bingwa Mtetezi kwasababu kwenye Ligi hakuingia Top Four.
Hapo Sheria ikabidi Everton aliyeshika nafasi ya 4 akaenguliwa asishiriki UCL ili nafasi yake ashiriki Liverpool kama bingwa Mtetezi.

Ukawa uhasama mkubwa kwa Everton kuzidi kutuwekea chuki mpaka leo.

Hivyo game na wato watalazimisha kutuharibia lazima tujipange vizuri na tuwe makini.
Game tough sana hiyo. Walinuna Rafa alipoajiriwa wakajua pandikizi hili, kwanzi hatuwezi kuletewa mafanikio na Ex LFC, hatutaki

Moyes amemteuwa Charlie Adam (Ex LFC player) kwenye technical bench lake. Naona hajapiga kelele kwa sababu hakua real blood LFC.

HII Mechi itaanza kutengenezwa kwenye media,
Last match between City rivals at Goodson park, will Wverton hold LFC toward thier tittle race?? Vimaneno hapo vitawatia wazimu.

Kwanza kuongoza tu ligi ni kigezo tosha cha mechi kuwa ngumu.

We shall see next
Ynwa'
 
Jezi nipe mkuu
Nikupe lipa namba ya muuzaji
Ukiweza ninunulie hata 2
Yaani utakuwa umeupiga mwingi, arsenal jezi yenu unyama ni mwingi Mwaisa
Ni timu tu hainaga vikombe.
Heheh au sio??

Umepotea huku sana, au kisa Trent amegoma ku saini??

Ynwa
 
Back
Top Bottom